Huyu jamaa imhotep amekuja kuwa chawa wa SHH ghafla sana ilhali huko nyuma (2016-2020) alikuwa ni mtukanaji mkubwa sana humu, jibu ni either uZanzibar au uDini (sina uhakika).
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Anaongea kwa lugha ya picha[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Muda wake umeisha kweli....Mwandisi aliyepita,ametoa mapendekezo ya miaka 25 kabda hajamaliza mda umeisha
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kanichekesha, kaishia kumnukuu rais jana.Hili li mama hata mkataba wa makubaliano halijausoma .
Msomi Dr. Tulia v. Msomi MdeeTulia leo kanifurahisha sana.
Sekta ya Sheria raha yake pale unapomuonesha mwenzako kuwa wewe unajua kuliko yeye
Hahaha.....Bashiru ana swing tuMy nigga Bashiru Alli anazunguka na kiti tu hahahaa.
Alikuwa smart sana tena sana ndiyo maana akaweza kuwa mwanamke Makamo(u) wa kwanza wa Rais wa Tanzania.
Umeuliza swali muhimu sana...Kwa vioi?
Kwani ni makubaliano ya kwanza ya ushirikiano wa maendeleo kwa Tanzania na nchi zingine?
Tunaposema anaupigwa mwingi tunaonekana majuha...tunatukanwa kila uchao....hawa wanaomtukana na kumbagua iko siku watamuombea maombi ya heri....[emoji1787][emoji1787]Samia yuko smart sana.
Lakini kwenye hili la uwekezaji wa Bandari Samia kaileta Kampuni sahihi ya DPWorld
Hapa Samia kaibuka kidedea.
Unaongea usichoelewaBandari kavu Rwanda ipo under operation na DP WORLD na sisi tunataka kumpa DP WORLD bandari zetu zote apakue mzigo bila sisi kujua. Aje apakue shehena za silaha apeleke kwenye bandari zake kavu huko Rwanda. Najaribu kuwaza usalama wetu utakuwaje na TISS yetu iliojaza UVCCM wa aina ile???????
Nani amewaza kama mimi?????
Kitu kizuri kinashindwa kuonekana?!!!!Maajabu ni kwamba wabunge wote wana msimamo sawa,wanaunga mkono hoja[emoji57][emoji57].
Umetumwa, huna hojaAlikuwa smart sana tena sana ndiyo maana akaweza kuwa mwanamke Makamo(u) wa kwanza wa Rais wa Tanzania.
Hata sasa!Alikuwa !
Tulikuwa tumegubikwa na chuki za Kitanganyika.Tunaposema anaupigwa mwingi tunaonekana majuha...tunatukanwa kila uchao....hawa wanaomtukana na kumbagua iko siku watamuombea maombi ya heri....[emoji1787][emoji1787]
Jifurahishe. Upo huru.Hili li mama hata mkataba wa makubaliano halijausoma .