Mac Alpho
JF-Expert Member
- Aug 5, 2019
- 13,953
- 27,825
Huyu jamaa imhotep amekuja kuwa chawa wa SHH ghafla sana ilhali huko nyuma (2016-2020) alikuwa ni mtukanaji mkubwa sana humu, jibu ni either uZanzibar au uDini (sina uhakika).
Kwasasa kila sehemu anayopita ana kazi ya kuimba SAMIA SAMIA SAMIA SAMIA SAMIA kama zoba 😂.