KING KIGODA
JF-Expert Member
- Dec 28, 2018
- 3,893
- 3,145
Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani.Mbona viti vipo tupu WABUNGE Wameenda wapi? Au wamewaacha darasa la Saba ndio Kila siku wanaongea na kukandya wasomi?
Kwani wewe ni mwekezaji?Hamna mwekezaji atakubali hilo. Hamna.
Amandla...
Kwahiyo mwekezaji alete mitambo yako na kuwekeza pesa zake, kisha management ibaki kuwa ileile ya TPA ambayo mnakubali kuwa imefeli?Kwani wewe ni mwekezaji?
Kwa kutumia sheria ipi? Hujui muenendo wa bunge ni legalSifahamu kama tuna BUNGEI au tuna matapeli. Wanasheria waende mahakamani wapinge hii kama wanaona haifai
Hata mim nimemuangalia pm nikagundua kuna kitu hakipo sawa huenda yasomwayo mengine hayana ukweliKinachonipa wasiwasi wabunge wote na PM wana huzuni!!!!why????
Ina maana haya mabadiliko yalishindwa kufanyika kwenye uongozi wa uliopo sasa?Manufaa
Kupunguza muda wa Meli kukaa Nangani kutoka Siku 5 hadi Siku 1
Muda wa kushusha Makasha utakuwa siku 2
Gharama za kusafirisha kupungua
Gharama za usafirishaji utatoka dollar 12,000 hadi 6000
Kuongezeka kwa Tani za mizigo
Kuongezeka kwa mapato kutoka Tril 7 hadi 29
Namsubiri ajichanganye😄😄😄😄Mkuu kulikoni😂
Daaah inauma sn,wamepigwa mahela ya kutosha kwa kuuza bandari huku sie tukilala njaa.Kwani wewe unategemea lisipite??