Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Mbona viti vipo tupu WABUNGE Wameenda wapi? Au wamewaacha darasa la Saba ndio Kila siku wanaongea na kukandya wasomi?
Albert Einstein aliwahi kuulizwa akili ni nini? What is intellect? Akasema akili ni kile kinachobakia baada ya kuondoa yote uliyofundishwa darasani.


[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tegemeeni kusikia NDIOOOOOOOOOO kisha meza kugongwa na hoja itapitishwa.

Kitu kilichokisha kusainiwa hakiwezi kurudi nyuma kirahisi katika namna ambayo wengi mlitegemea. Kilichopo sasa ni kutafuta namna ya kuihalalisha kwa namna yoyote ile.
 
Hili Bunge linaenda kuandika historia mbaya zaidi kuwahi kutokea au linaenda kufanya tukio la kishujaa. Kila dalili ni Bunge kuingia kwenye historia mbaya!

Mh Tulia is very young kuingia kwenye uchafu huu.
 
Manufaa


Kupunguza muda wa Meli kukaa Nangani kutoka Siku 5 hadi Siku 1

Muda wa kushusha Makasha utakuwa siku 2

Gharama za kusafirisha kupungua

Gharama za usafirishaji utatoka dollar 12,000 hadi 6000

Kuongezeka kwa Tani za mizigo

Kuongezeka kwa mapato kutoka Tril 7 hadi 29
Ina maana haya mabadiliko yalishindwa kufanyika kwenye uongozi wa uliopo sasa?

Kupunguza muda wa kukaa nangani, hili nalo tulishindwa kuli manage kweli?
 
Napenda kufahamu akidi halisi ya wabunge walio ndani ya bunge kupitisha huu mswaada

Nakumbuka ya Simbachawene akiwa waziri wa madini na nishati,alipitisha mswaada bungeni kwa wabunge 60 tu na azimio likapita,
Hii nchi hii?
 
Back
Top Bottom