Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Akili kama hizi za Waitara zinapewa nafasi ya kuamua mambo muhimu ya Taifa na spika hataki kusikia hata Taarifa.

😂😂
Waitara ameaibisha sana leo asee. Kama Wakurya hawatamtandika akirudi Mara basi labda atakuwa kawaloga.
 
Kwa uharo huo!
Kwa ujinga huo!
Kwa unafiki huo!
Kwa uchumia tumbo huo....

Wananchi kama mnajitambua,basi tuseme wazi...
2025 CCM BYE BYE!
Alishaondoshwa ila asante kijani ikambeba tuu😂
 
Kwa uharo huo!
Kwa ujinga huo!
Kwa unafiki huo!
Kwa uchumia tumbo huo....

Wananchi kama mnajitambua,basi tuseme wazi...
2025 CCM BYE BYE!
"Serikali ya ccm haiwezi kuondolewa kwa sanduku la kura". Samia suluhu 2020 akiwa makamu wa rais.
 
Askari polisi watuache tukabiliane nanyi.....

GREEN GUARDS tuko tayari kwa hilo........[emoji1787][emoji1787]

#MamaAnaupigaMwingi[emoji120]
 
Inawezekana mkuu huko sahihi yaani ugonjwa huu wa unyonge(inferiority feelings) Ni muda sasa tuondokane na hizi fikra zisizo kua na maana . Mabus yao tunayapanda,bidhaa wanazo tengeneza tunazitumia pia.Mwenye fikra za udini na uarabu sio wenye tija.
[emoji106][emoji120][emoji123][emoji1666][emoji7][emoji7]
 
Mchaga kaongelea DP kukataliwa marekani, ila hapa ndo tuukubaliii [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]

Hivi mtu ukiwa CCM akili inahama?? Khaaaah
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…