John Wickzer Mulholland
JF-Expert Member
- Apr 13, 2023
- 6,656
- 14,403
Hivi ktk akili yako ya kawaida unafikiri ya kwamba Bunge hili la Tanzania lingekataa kupitisha mkataba huo?? Seriously????!???Jamani namba tuta soma wote. CCM na Wapagani. Uzeni kila kitu. Mmeuza Ngorongoro, Bandari, Mafuta, Migodi, Mkaa, Hadi vyeo.
Ndiyo maana tupo hapa ukumbi wa jamii, lete hoja zako tuzijadili.Wabunge wanaongea kwa tumia HAMASA na kufukuzia TEUZI badala ya kutumia WELEDI
Huku mitaani kuna WASOMI wa kila aina kuliko huko bungeni hivyo lazima wajue kuwa kila wanachoongea na kuchambua watu huku mitaani wanafanyia PERFORMANCE APPRAISAL kwa maslahi mapana ya Tanganyika.
Sio kwamba miradi haiwezi kuendeshwa, tatizo Wala rushwa na wazembe hawawajibishwi kwenye kitu chochote kinachomilikiwa na serikaliYote Tuwape wenye uwezo wa kuendesha miradi Sio kosa ndio walichofanya waarabu wamewapa wazungu thus wakaendelea.
Hatuwezi jiongoza
Udini umekufanya uwe taahira?Ahaa...kwahiyo ulitaka tuwe na fikra moja kama wale Wanyamapori maarufu ambao mmoja wao akivuka Mto Mara woote wanamfuata hata kama yeye analiwa na Mamba? Sijui wanaitwaje wale.
Look Bro, mimi fikra zangu ni HURU huwa nayaangalia mambo kivyangu
Ningekuwa namtuka Samia ungenipa likes nyingi sana, huo ni utoto.
Ndo maana ya hawaweziSio kwamba miradi haiwezi kuendeshwa, tatizo Wala rushwa na wazembe hawawajibishwi kwenye kitu chochote kinachomilikiwa na serikali
Hawawezi maana yake hawana upeo wala weledi,tatizo wanavyo vyote hivyoNdo maana ya hawawezi
Mimi ni mpinga Udini na Ubaguzi mkubwa humu JF.Udini umekufanya uwe taahira?
Reli, mwendokas, mbuga zote, viwanj vyote vya ndege, serikali na walinda legacy wote kuuzwa kwa wamanga!!Mwl Nyerere aliwahi kusema huko nyuma kwamba , nanukuu "ANAYEKULA NYAMA YA MTU HAACHI" Mwisho wa kunukuu , kwa tafsiri pana maana ya usemi huu wa Nyerere ni kama ile methali ya wahenga iliyosema MAZOEA HUJENGA TABIA
Kwamba ukizoea kufanya jambo fulani basi utaendelea tu kulifanya hata kama ni baya , ili mradi wewe binafsi au familia yako inafaidika .
Bandari zetu wamepewa Waarabu kibwege kabisa kwa vile tu wenye mamlaka wameamua kuigawa ili wao wafaidike , nakuhakikishieni kwamba hakuta kuwa na ufanisi wowote ule , NIPO HAPA JF NIMEKAA , Yaani tunauza mali zetu kwa ajili ya uvivu tu wa kazi na fikra , yaani tunaamini tu kwamba hatuwezi , ila wanaoweza ni waarabu ! Poor Tanzania !
Tumesahau ya NET GROUP , ATCL , TRL , TTCL na hata RICHMOND , tulitumia nguvu kubwa kushawishi na kudanganya umma kwamba kutakuwa na Tija , leo kiko wapi ?
Haya mmeuza Bandari kwa watu wenu ni Shirika lipi lingine mnafuatia kuliuza ili tujiandae ?
Nakulilia Tanzania .
View attachment 2652644
Haki yangu kufa. Vipi wewe?We mwenyewe utakufa kabla ya 2030