Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani wewe utaishi milele?Hao aliwaanda ili atawale milele. Hakujua kuwa Mungu nae analipenda sana Taifa hili, akapita nae
Tulishaga jua wewe ni mwarabu tutawafukuza soon mkale maurojo na matokolonyo yenu ya ushoga huko pembaMara [emoji736]️
Mala [emoji777]️
Hii nchi inavituko sana, mtu hanyumbuliki kakakamaa kama gogo.Yaani huyu anaeongea kama li_robot la Elon Musk. LIMEZUBAAAAA
Kwa hiyo hofu yetu sio muhimu?Kikubwa Watanzania jifunzeni kuongea kwa research, sio kwa mihemko na ushabiki.
Fuatilia kwa umakini ujue, elewa na ufahamu kwanza.
Elimu duni ni mzigoo
Ukiona jambo linasukumwa kwa nguvu zote, ujue wamelamba. Kama sio, wakiacha watapungukiwa niniAisee nimemuona jenista mhagama na bashungwa wanashangilia sana.
Azimio la Bunge kuhusu Pendekezo la Kuridhiwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii katika Uendelezaji wa Maeneo ya Bandari Nchini leo Juni 10, 2023.
Azimio la Bunge kuhusu Pendekezo la Kuridhiwa Mkataba baina ya Serikali ya Jamhuri ya Mungano wa Tanzania na Serikali ya Dubai kwa lengo la kuanzisha Ushirikiano wa Kiuchumi na Kijamii katika Uendelezaji wa Maeneo ya Bandari Nchini leo Juni 10, 2023.
Pisi ikila hela halafu isitokee, nini kitatokeaHivi ukisitishaa mkatabaaa huwaa nini kinatokeaa?...
Hivi ni kweli hujui kwamba bandarini upumbavu mwingi kwa zaidi ya miaka 20 Sasa!?Ina maana haya mabadiliko yalishindwa kufanyika kwenye uongozi wa uliopo sasa?
Kupunguza muda wa kukaa nangani, hili nalo tulishindwa kuli manage kweli?