Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Yaaniii I.....nap wakatafute hela sasa ....unadhani wana mitaji kumbe nao wanakwenda kutafuta
 

Hivi DUBAI ni serekali …… tunaingiaje mkataba na jimbo la UAE na kusema ni serekali ??? Hivi Dubai ni sorveign?
 
Leo ni siku ya huzuni kwa wapenda Tanganyika
 
Ina maana haya mabadiliko yalishindwa kufanyika kwenye uongozi wa uliopo sasa?

Kupunguza muda wa kukaa nangani, hili nalo tulishindwa kuli manage kweli?
Hivi ni kweli hujui kwamba bandarini upumbavu mwingi kwa zaidi ya miaka 20 Sasa!?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…