Wajua tunapo zungumzia bandari Kuna vijana hamwelewi
Tupo sisi ambao tulisomea karibu na Hiyo na Bandari tukiwa na matumaini ya kumaliza kazi tuombe bandari.
Hasikwambie mtu bandari lilkuwa lango zuri la upigaji FEDHA bhana,ukiachana na upigaji Bado pia ni miongoni mwa pahala palipo kuwa panalipa vizur sana.
Yaani wafanyakazi wangeacha tamaa,kuikataa RUSHWA hakika hayo yanayo kuja ya Dp yangelikuja ila sio kwa Leo.
Nina uhakika Kwa wizi RUSHWA na mambo mengine yaliyokuwa yanaendelea bandarini Bora tuwape DP World na hapo Nataka tuelewane hakuna anae wakataa ila mikataba ibadilishwe kidgo iboreshwe,
Lazima watanzania tukubaliane wizi na RUSHWA vikomeshwe
Sasa Kwa kuwa tumeona technologia ya namna hii ni vema Sasa tukubaliane yafatayo;
Jeshi la polisi libinafusishwe walau miezi 6 tu Ili nao wapunguzwe tulindwe ma maroboti Nina hakika yapo ya kulinda kama yapo ya kufanya nayo mapenzi Kwa Nini tukose ya kulinda?
Takukuru IBINAFSISHWE Nina hukakika tutapata roboti la KUKAMATA wara RUSHWA wachache.
Tiss inabinafusishwe wiki moja tu.
TRA nao wabinafusishwe Kodi ikusanywe na roboti halipokei RUSHWA linakuja kudai ukizingua unakula mbata mbili tatu mwenyewe unatoa pesa.
Mwisho nakubaliana na technolojia mijizi ya Bandari ifukuzwe tuajili roboti tu zitusaidie.