Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naomba link ya post iliyopost huo mkataba, plzUli
Tegemea aseme mabaya ya Mkataba..kama unajua Kingreza upo humu we usome!
Jimmy ! Haya mambo ya mtandaoni ni udhalimu haswaMbona mawasilisho ya Waziri Mbalawa ni Mazuri tu tofauti na yanayoendelea na kusemwa huku mtandaoni? Hakuna baya lolote katika Mkataba huo.
Weka number ya whaup ni kurushieNaomba link ya post iliyopost huo mkataba, plz
Na ndio mwenyekiti wa kamati iliyoridhia huko mkataba.Huyu mbunge hajui kutamka "intergovernmental"
Kiingereza ni janga la taifa ref jpmHuyu mbunge hajui kutamka "intergovernmental"
niliona aibu mpaka nikachange channel aisee hata economy kashindwa kuitamka vyema, ni aibu.Huyu mbunge hajui kutamka "intergovernmental"
Aibu unaona ya bure ni kawaida sana kwetu kutojua kiingerezaniliona aibu mpaka nikachange channel aisee hata economy kashindwa kuitamka vyema, ni aibu.
kwanza kasimama kama roboti manina huyu, sijui nani alimpa huo uenyekiti.Na ndio mwenyekiti wa kamati iliyoridhia huko mkataba.
Utajutia bureLeo kwa mala ya kwanza nasikiliza kikao cha Bunge, nukta hadi nukta, sichezi mbali.
Mara [emoji736]️Leo kwa mala ya kwanza nasikiliza kikao cha Bunge, nukta hadi nukta, sichezi mbali.