Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Sasa inaboa siwamuache amalize kuongea kila saa taarifa
 
Leo ndo siku babu tale anatoka kapa humo bungeni, sidhani kama anaelewa kitu humo hahahahahaha
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂

Babutale na kibajaji leo ndio siku ambayo wanatoka kapa hawaelewi chochote

Wanaona maandishi ya kiarabu tu 😂😂
 
Back
Top Bottom