Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nyie watu khaaaahLeo ndo siku babu tale anatoka kapa humo bungeni, sidhani kama anaelewa kitu humo hahahahahaha
Wamemkata mapema sana.. alipoanza miaka 25 na na miaka mitabo[emoji16]Jamaa kataka kuingiza hoja ya ukomo wa mkataba, spika kamla kichwa, hii nchi bwana[emoji23].
Hakuna matatizo yoyote....Magufuli ametuachia matatizo makubwa Sana,
Spika ndiye mdhibiti wa bunge....yuko sahihi sanaJamaa kataka kuingiza hoja ya ukomo wa mkataba, spika kamla kichwa, hii nchi bwana[emoji23].
[emoji1787][emoji1787]
Mkuu unajitia aibu....hakuna mkataba hapo.....
Sheria ya Tanzania iliyopitishwa zamani ni kuwa maridhiano yoyote ya nchi nyingine na Tanzania lazima yapite bungeni baada ya kusainiwa.Kwa kifupi ni kwamba hawajadili mkataba Bali wanatueleza/wanatushauri na Sisi tuwaunge mkono kwenye mambo yao yaliyokwishafanyiwa maamuzi. Upuuzi mtupu.
Huyu hakua kwenye kikao cha jana, kutotoa mda ndo sharti kubwa kwa DP World kuwekeza kwasbb ni huge investment ya miaka sio chini ya 100.Jamaa kataka kuingiza hoja ya ukomo wa mkataba, spika kamla kichwa, hii nchi bwana[emoji23].
Samia yuko smart sana.Hata reli zetu zote tatu zifanye kazi hazitatosha.
Tutegemee uwekezaji mkubwa sana wa viwanda ukanda wa pwani yote.
Kwala yenyewe bandari ya nchi kavu ni ndogo sana na inajengwa kizamani, DP world lazima wataiboresha. Napajuwa.
[emoji7]Imagine,
Bandari ya Tanga kwa kwa asilimia kibwaniwe kwa ajili ya Uganda na Sudan ya Kusini tu.
Bandari ya Dar kwa asilimia kubwa iwe kwa ajili ya Rwanda na Burundi tu.
Bandari ya Mtwara kwa asilimia kubwa iwe kwa ajili ya Malawi na Zambia tu.
Bandari ya Bagamo kwa asilimia kubwa iwe kwa ajili ya Congo na Tanzania tu.
Mama anauoiga nwingi, tena sana.
Miaks 5 kuanzia leo tutegemee bajeti yetu kuwa surplus.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tumeshindwa kwasababu watalaamu na wenye akili hawako kwenye circle ya uongozi wa nchi, uongozi umeshikwa na wengi wasiokuwa na akili na mawazo bunifu.
Mtu kutoka kuwa msambaza chai maofisini hadi kuwa mkulu wa nchi ataweza nini? Wabunge 80% ni la saba na form four division IV ya 28 wengi, na hata wanaosemekana kuwa ni wasomi wengi walinunua majina ya wenye akili kama Madelu.
Si kweli kwamba Watz hatuna akili kiasi hicho
Maajabu ni kwamba wabunge wote wana msimamo sawa,wanaunga mkono hoja😏😏.Nimeacha kuangalia huo ushetani unaoendelea Bungeni.
Chezea tumbo?Yaani tunavyochambwa kama namuona mange uko
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Mwanaisha anatuchamba Watanzania hatujui kusoma [emoji23] na tukome kujilinganisha na Malaysia, Singapore na South Korea
Bashiru aliamua kukaa kimya kitambo maana mara zote ambazo aliongea, alijikuta anaingia kwenye mgogoro na wajinga wengi.Hivi bashiru kumbe ni bench warmer siku izi.....