Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Ukweli ni kua Mh.Rais na timu yake ya uongozi chini ya CCM,wamefanya maamuzi safi wakati sahihi. Zilipigwa sana kelele kuhusu wawekezaji,mizigo kuchelewa bandarini na rushwa kuwepo bandarini.Kwa kiasi kikubwa naona sasa serikali ya awamu ya sita imefanya maamuzi sahihi ili kutatua matatizo tuliokua tumezoea.

Mwisho,wanasiasa wengi waliomba nchi yetu pamoja na serikali kufanya paradigm shift ya kutoka kwenye diplomasia ya kiasa (political diplomacy)kwenda kwenye diplomasia ya uchumi(economic diplomacy). Sasa Mama Samia Suluhu na serikali yake wamejua faida yake na kuanza kutekereza ilo lakini wanatokea watu wanaanza kupotosha. Sote tukiungana kwa pamoja na kushirikiana na serikali yetu uhakika kwa kupiga hatua kubwa hupo kwenye uchumi wa bandari yetu na uchumi wa blue.

MUNGU IBARIKI TANZANIA
[emoji7]
 
Jamani eeh, mimi natoka kidogo. Likishapitishwa hili naomba mnistue nianze kunywa bia hukohuko nitakapokuwepo.
Halafu tukimaliza hili tugeukie Mwendokasi na SGR.
Mwendokasi hadi inatia huruma, zile barabara zimeshaanza kuota majani, vituo vimeshachakaa, mabasi nayo yapoyapo yanatangaza biashara.
DP WORLD wanakwenda kukuongezea bajeti yako ya BIA....uchumi unakaribia kupaa.....utazioga CIROC bwasheee [emoji1787][emoji1787]
 
2020 wakati wabunge wanapita hovyohovyo, sikuwahi kujua kama hili bunge litakuja kuwa la kipumbavu namna hii.
Wee unafikir ile hali ya nireteeeenii gwajimaaaa nireteeeenii gwajimaaaa nireteeeenii gwajimaaaa ilikua ya kawaida? Ile ilikua kuleta wabunge ambao watapitisha ule mpango mahsusi chaap, na madhara yake ndo haya!!
 
Back
Top Bottom