Utakuwa NapeSijakuelewa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utakuwa NapeSijakuelewa wewe
Soma toka mwazo utaona shida nini.....Sio zaidi ya siku 2=siku moja na nusu
Shida nini
Ipe miaka 2Bandari ya Mombasa inaenda kuisoma kwa Dar muda sio mrefu.
Wacha kupotisha, yaliyojadiliwa leo siyo mkataba.Imekwisha, miaka watayokubaliana Asilimia 90 ya waliyopitisha hawatakuwepo duniani
Sabato NjemaWacha kupotisha, yaliyojadiliwa leo siyo mkataba.
Hakuna kwenye makubaliano yoyote ya ushirikiano wa kimaendeleo wa nchi na nchi ambao unakuwa na kikomo, kunakuwa na mwanzo tu.
Hivi hizo shule mlienda kusomea ujinga?
Hii ngoma iliisha kitambo san leo ilikua kuigiza tu kupitia bungeni kama sheria isemavyo!!Rasmi: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World
Bunge limepitisha Mkataba kuhusu Ushirikiano wa Tanzania na Kampuni ya Dubai ya DP World katika Uendeshaji, Uendelezaji na Uboreshaji wa Bandari zote za Baharini na Maziwa zilizopo Tanzania Bara ikiwemo Bandari ya Dar es Salaam
Mkataba huo uliibua maswali kutoka kwa Wananchi ikiwemo thamani na muda wa mradi na sababu za Tanzania kuingia mkataba na kampuni inayotajwa katika kesi za ukwepaji kodi, migogoro katika utekelezaji mikataba
Tulia!Nape kafananisha mkataba wa Uganda na Tanzania na huu wa Dubai na Tanzania. Hovyo kabisa hili bunge. Huyu spika Betina hafai kbs.
Washafanya udwanzi hukuMungu aingilie kati suala hili, wabunge wetu hawatabiriki.
Kajichanganya, hizo gati zimejengwa kwa mkopo wa awamu ya 5 kutokea 2017Gati namba 8-11 ndo ilikuwa TICTS. Hatuna hizi Gati tangu enzi za Mkapa.
CCM ni adui mkubwa wa hili Taifa.
Kama Taifa hapa tumeliwa.
Lazima wananchi tuelewe nchi yetu imeingia makubaliano yepi.Maelezo meeeeeeengi