Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Dodoma: Bunge lapitisha azimio la kuunga mkono mkataba wa Tanzania na DP World

Mijadala ya Leo zilikuwa pumba tupu yani jitu linaropoka tu nakutoa vitisho Kwa wapinzani wanaanza kupiga kampeni kabla ya 2025 wanaacha hoja ya msingi ya kujadili uhalali wa mkataba wa bandari

Kuna mda wanasema huu sio mkataba ni agreement, wengine wanasema ni mkataba, wengine wanasema ni maridhiano yani hata wao hawajui wanajadili nini masikini ya Mungu

Sasa Kwa hali hii Kuna utofauti na akili za walimu zilivyo mgando kweli? Maana hayajui chochote kile yanasema tunaunga mkono hoja fuckn, wengine wanasema kama hutaki kuunga mkono hoja toka ccm utafute Chama chako Sasa kulikuwa Kuna haja Gan ya kujadili kama hoja ndio hiyo

Bunge letu nalifananisha na walimu wa nchi hii maana Hawana ujasiri wa kupinga maamuzi ya serikali, nilitegemea waseme hatuwez kujadili mkataba hatujui mda wake au ukomo wake maana yake serikali iende wakae upya watuambie ni mkataba wa miaka mingapi

Hili taifa ni chaka la wapumbavu tu
 
Tunakumbushana tu

Mwenyekiti wa Chadema alipaswa kuwaagiza Wanachama wake na wote wenye Mapenzi mema kuandamana hadi Bungeni kuweka shinikizo Azimio lisipite

Azimio limepita kwa 100% hakuna namna Mbowe ataamsha Nchi bila kuvunja sheria

Mlale Unono!
 
Haya yote kasabisha mwenda zake,,,,,,sijui anajibu nini huko mbele ya muumba wake[emoji57]


Mungu tusaidie
 
Tumefikia kuonekana hatuna akili kabisa

Tunagombana sisi kwa sisi kama watangangika badala ya kuungana kukabiliana na huu upuuzi wa kuuza bandari

Mtu kwao walisema waswahili, anachotazama Samia ni kwao tu!!Mnadhan angekua rais wa ZANZIBAR angeruhusu haya mambo?Kila mtu atawale upande wake ZANZIBAR ipate mzanzibar Tanganyika itawaliwe na mtanganyika sio kwa yanayoendelea sasa

Atakuaje na uchungu na Tanganyika wakati Tanganyika sio hatma yake?Yaani ni sawa na mtz achukuliwe akatawale Kenya baada ya muda wa kustaafu atarudi Tz huo ndo ukweli wa yanayoendelea

Anachokifanya Samia na Mbarawa wanatengeneza future yao tu na maisha yao wakimaliza watarejea zao ZANZIBAR wataiachia bara makovu ya karne na karne huu ndo ukweli mchungu ambao machawa wa mama hawautaki kuusikia

Walichokifanya kina tulia na genge lake bungeni watakilipa iwe kwa gharama yoyote ile, tukubali tulifanya makosa makubwa 2020, tulijikwaa na tunyanyuke tuangalie tulipokosea kama Watanganyika tushikamane bila kujali ni chama gani au ni kabila gani tuukatae huu udhalimu wa Tulia ackson na Samia na magenge yao

Huu ni wakati wa kujitayarisha na mapambano makali dhidi ya huu udhalimu wa kuuza bandari kisa walipewa dola elfu 50, v8 na wengine wakapewa nyumba mwingine huyo mkuu akapewa bilioni 500 na picha yake kuwekwa kwenye jengo refu.

Lazima tuhakikishe tunapambana hadi tumtoe ikulu kwa gharama zozote na kuhakikisha kila tulia na genge lake ya wabunge wa ccm tunawachomoa bungeni kwa njia zozote zile hawa ni maadui wa taifa tena wachumia tumbo wakubwa

Leo siku yangu iliharibika vibaya sana sijawahi kujisikia vibaya kama siku ya leo!!Nilikua namheshimu huyo mama enu ila kuanzia leo No!!
 
Tumefikia kuonekana hatuna akili kabisa

Tunagombana sisi kwa sisi kama watangangika badala ya kuungana kukabiliana na huu utawala wa Zanzibar na kuukataa

Mtu kwao walisema waswahili, anachotazama Samia ni kwao tu!!Mnadhan angekua rais wa ZANZIBAR angeruhusu haya mambo?

Atakuaje na uchungu na Tanganyika wakati Tanganyika sio hatma yake?Yaani ni sawa na mtz achukuliwe akatawale Kenya baada ya muda wa kustaafu atarudi Tz huo ndo ukweli wa yanayoendelea

Anachokifanya Samia na Mbarawa wanatengeneza future yao tu na maisha yao wakimaliza watarejea zao ZANZIBAR wataiachia bara makovu ya karne na karne huu ndo ukweli mchungu ambao machawa wa mama hawautaki kuusikia

Walichokifanya kina tulia na genge lake bungeni watakilipa iwe kwa gharama yoyote ile, tukubali tulifanya makosa makubwa 2020, tulijikwaa na tunyanyuke tuangalie tulipokosea kama Watanganyika tushikamane bila kujali ni chama gani au ni kabila gani tuukatae huu udhalimu wa Tulia ackson na Samia na magenge yao

Huu ni wakati wa kujitayarisha na mapambano makali dhidi ya huu udhalimu wa kuuza bandari kisa walipewa dola elfu 50, v8 na wengine wakapewa nyumba mwingine huyo mkuu akapewa bilioni 500 na picha yake kuwekwa kwenye jengo refu.

Lazima tuhakikishe tunapambana hadi tumtoe ikulu kwa gharama zozote na kuhakikisha kila tulia na genge lake ya wabunge wa ccm tunawachomoa bungeni kwa njia zozote zile hawa ni maadui wa taifa tena wachumia tumbo wakubwa

Leo siku yangu iliharibika vibaya sana sijawahi kujisikia vibaya kama siku ya leo!!Nilikua namheshimu huyo mama enu ila kuanzia leo No!!
Acha ubaguzi mbona hao wazazibar wanatutawala vizuri hat a kuliko hao wa bara wako.
 
Tumefikia kuonekana hatuna akili kabisa

Tunagombana sisi kwa sisi kama watangangika badala ya kuungana kukabiliana na huu utawala wa Zanzibar na kuukataa

Mtu kwao walisema waswahili, anachotazama Samia ni kwao tu!!Mnadhan angekua rais wa ZANZIBAR angeruhusu haya mambo?

Atakuaje na uchungu na Tanganyika wakati Tanganyika sio hatma yake?Yaani ni sawa na mtz achukuliwe akatawale Kenya baada ya muda wa kustaafu atarudi Tz huo ndo ukweli wa yanayoendelea

Anachokifanya Samia na Mbarawa wanatengeneza future yao tu na maisha yao wakimaliza watarejea zao ZANZIBAR wataiachia bara makovu ya karne na karne huu ndo ukweli mchungu ambao machawa wa mama hawautaki kuusikia

Walichokifanya kina tulia na genge lake bungeni watakilipa iwe kwa gharama yoyote ile, tukubali tulifanya makosa makubwa 2020, tulijikwaa na tunyanyuke tuangalie tulipokosea kama Watanganyika tushikamane bila kujali ni chama gani au ni kabila gani tuukatae huu udhalimu wa Tulia ackson na Samia na magenge yao

Huu ni wakati wa kujitayarisha na mapambano makali dhidi ya huu udhalimu wa kuuza bandari kisa walipewa dola elfu 50, v8 na wengine wakapewa nyumba mwingine huyo mkuu akapewa bilioni 500 na picha yake kuwekwa kwenye jengo refu.

Lazima tuhakikishe tunapambana hadi tumtoe ikulu kwa gharama zozote na kuhakikisha kila tulia na genge lake ya wabunge wa ccm tunawachomoa bungeni kwa njia zozote zile hawa ni maadui wa taifa tena wachumia tumbo wakubwa

Leo siku yangu iliharibika vibaya sana sijawahi kujisikia vibaya kama siku ya leo!!Nilikua namheshimu huyo mama enu ila kuanzia leo No!!
Bora ufe
 
Adhari Za katiba ya mwaka 1977 Za mtu kujua kusoma na kuandika Kuwa ndicho kigezo cha kuchaguliwa kuwa mbunge ili ukatunge sheria na kupitia mikataba iliyoandikwa kisheria zimeanza kuitafuna Tanganyika.

Ushauri wa bure, watanganyika wasiingie kwenye uchaguzi mkuu 2025 bila katiba mpya, na kwenye katiba mpya kuwepo na kipengele cha elimu ya mtu kuwa mbunge awe na degree moja na Kuendelea kutoka chuo kikuu chenye sifa.

Madiwani lazima wawe wamemaliza kidato cha sita na kuendelea.

Rais awe na PhD ya kusomea na Sio ya kupewa kama ya Musukuma.
 
Tumefikia kuonekana hatuna akili kabisa

Tunagombana sisi kwa sisi kama watangangika badala ya kuungana kukabiliana na huu utawala wa Zanzibar na kuukataa

Mtu kwao walisema waswahili, anachotazama Samia ni kwao tu!!Mnadhan angekua rais wa ZANZIBAR angeruhusu haya mambo?

Atakuaje na uchungu na Tanganyika wakati Tanganyika sio hatma yake?Yaani ni sawa na mtz achukuliwe akatawale Kenya baada ya muda wa kustaafu atarudi Tz huo ndo ukweli wa yanayoendelea

Anachokifanya Samia na Mbarawa wanatengeneza future yao tu na maisha yao wakimaliza watarejea zao ZANZIBAR wataiachia bara makovu ya karne na karne huu ndo ukweli mchungu ambao machawa wa mama hawautaki kuusikia

Walichokifanya kina tulia na genge lake bungeni watakilipa iwe kwa gharama yoyote ile, tukubali tulifanya makosa makubwa 2020, tulijikwaa na tunyanyuke tuangalie tulipokosea kama Watanganyika tushikamane bila kujali ni chama gani au ni kabila gani tuukatae huu udhalimu wa Tulia ackson na Samia na magenge yao

Huu ni wakati wa kujitayarisha na mapambano makali dhidi ya huu udhalimu wa kuuza bandari kisa walipewa dola elfu 50, v8 na wengine wakapewa nyumba mwingine huyo mkuu akapewa bilioni 500 na picha yake kuwekwa kwenye jengo refu.

Lazima tuhakikishe tunapambana hadi tumtoe ikulu kwa gharama zozote na kuhakikisha kila tulia na genge lake ya wabunge wa ccm tunawachomoa bungeni kwa njia zozote zile hawa ni maadui wa taifa tena wachumia tumbo wakubwa

Leo siku yangu iliharibika vibaya sana sijawahi kujisikia vibaya kama siku ya leo!!Nilikua namheshimu huyo mama enu ila kuanzia leo No!!
Chuki ya ubaguzi sio nzuri mtoa mada
 
Tumefikia kuonekana hatuna akili kabisa

Tunagombana sisi kwa sisi kama watangangika badala ya kuungana kukabiliana na huu upuuzi wa kuuza bandari

Mtu kwao walisema waswahili, anachotazama Samia ni kwao tu!!Mnadhan angekua rais wa ZANZIBAR angeruhusu haya mambo?Kila mtu atawale upande wake ZANZIBAR ipate mzanzibar Tanganyika itawaliwe na mtanganyika sio kwa yanayoendelea sasa

Atakuaje na uchungu na Tanganyika wakati Tanganyika sio hatma yake?Yaani ni sawa na mtz achukuliwe akatawale Kenya baada ya muda wa kustaafu atarudi Tz huo ndo ukweli wa yanayoendelea

Anachokifanya Samia na Mbarawa wanatengeneza future yao tu na maisha yao wakimaliza watarejea zao ZANZIBAR wataiachia bara makovu ya karne na karne huu ndo ukweli mchungu ambao machawa wa mama hawautaki kuusikia

Walichokifanya kina tulia na genge lake bungeni watakilipa iwe kwa gharama yoyote ile, tukubali tulifanya makosa makubwa 2020, tulijikwaa na tunyanyuke tuangalie tulipokosea kama Watanganyika tushikamane bila kujali ni chama gani au ni kabila gani tuukatae huu udhalimu wa Tulia ackson na Samia na magenge yao

Huu ni wakati wa kujitayarisha na mapambano makali dhidi ya huu udhalimu wa kuuza bandari kisa walipewa dola elfu 50, v8 na wengine wakapewa nyumba mwingine huyo mkuu akapewa bilioni 500 na picha yake kuwekwa kwenye jengo refu.

Lazima tuhakikishe tunapambana hadi tumtoe ikulu kwa gharama zozote na kuhakikisha kila tulia na genge lake ya wabunge wa ccm tunawachomoa bungeni kwa njia zozote zile hawa ni maadui wa taifa tena wachumia tumbo wakubwa

Leo siku yangu iliharibika vibaya sana sijawahi kujisikia vibaya kama siku ya leo!!Nilikua namheshimu huyo mama enu ila kuanzia leo No!!
Kuanzia leo Samiah sio Rais wangu.
 
Tumefikia kuonekana hatuna akili kabisa

Tunagombana sisi kwa sisi kama watangangika badala ya kuungana kukabiliana na huu upuuzi wa kuuza bandari

Mtu kwao walisema waswahili, anachotazama Samia ni kwao tu!!Mnadhan angekua rais wa ZANZIBAR angeruhusu haya mambo?Kila mtu atawale upande wake ZANZIBAR ipate mzanzibar Tanganyika itawaliwe na mtanganyika sio kwa yanayoendelea sasa

Atakuaje na uchungu na Tanganyika wakati Tanganyika sio hatma yake?Yaani ni sawa na mtz achukuliwe akatawale Kenya baada ya muda wa kustaafu atarudi Tz huo ndo ukweli wa yanayoendelea

Anachokifanya Samia na Mbarawa wanatengeneza future yao tu na maisha yao wakimaliza watarejea zao ZANZIBAR wataiachia bara makovu ya karne na karne huu ndo ukweli mchungu ambao machawa wa mama hawautaki kuusikia

Walichokifanya kina tulia na genge lake bungeni watakilipa iwe kwa gharama yoyote ile, tukubali tulifanya makosa makubwa 2020, tulijikwaa na tunyanyuke tuangalie tulipokosea kama Watanganyika tushikamane bila kujali ni chama gani au ni kabila gani tuukatae huu udhalimu wa Tulia ackson na Samia na magenge yao

Huu ni wakati wa kujitayarisha na mapambano makali dhidi ya huu udhalimu wa kuuza bandari kisa walipewa dola elfu 50, v8 na wengine wakapewa nyumba mwingine huyo mkuu akapewa bilioni 500 na picha yake kuwekwa kwenye jengo refu.

Lazima tuhakikishe tunapambana hadi tumtoe ikulu kwa gharama zozote na kuhakikisha kila tulia na genge lake ya wabunge wa ccm tunawachomoa bungeni kwa njia zozote zile hawa ni maadui wa taifa tena wachumia tumbo wakubwa

Leo siku yangu iliharibika vibaya sana sijawahi kujisikia vibaya kama siku ya leo!!Nilikua namheshimu huyo mama enu ila kuanzia leo No!!
Huko misikitini we hupitishiwa sahani ya pilau eeh?
 
Back
Top Bottom