Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Mahindi ni mazao ya sehem zenye joto mzee,huelewi tu?Mahindi,Nafaka na Mbaazi eti ni mazao ya joto😀😀😀.....kwamba Arusha hawalimi mahindi au😀😀.
Swali la kwanza inakuaje soko la kimataifa la mahindi na nafaka liwe Kibaigwa..?
Swali la pili inakuaje Dodoma ishike nafasi ya pili baada ya Songea kwa ujenzi wa vihenge/maghala makubwa ya kuhifadhia Mahindi yanayomilikiwa na NFRA pamoja na yale yanayomilikiwa na WFP pamoja na FAO kule Kizota
Ukiweza kujibu hayo maswali mawili naomba unitag plz
Maeneo ya tambarare
Na hapa hatuzungumzii mazao,tunazungumzia wapi kuna baridi na wapi hakuna baridi
Arusha kuna baridi,Dodoma hakuna baridi kuna joto,FULL STOP!
Sijui choroko,mahindi,dengu,etc and other blah blah na matamahuluku ni unatujazia server tu!
Dodoma kuna joto na Arusha kuna baridi,case closed!