Nimeshakwambia huwa najibu hoja kwa hoja ...facts kwa facts hizo ngonjera na michambo peleka Facebook kachambane na akina Juma Lokole.Mzee
Punguza ufala basi
Dodoma inalima mahindi au inabeep kulima mahindi?
Darasa la nne ulijifunza Dodoma inaongoza kwa kulima zao gani Tanzania?
Au la Nne ulifeli?
Dodoma wanabeep kulima mahindi kama mikoa mingine yote..mahindi yanaongoza kwa kulimwa Morogoro ndio kuna temperate climate favorable na sio mavini Dodoma!
Fvck outta here!
Maswali yangu unakwepa unabadili badili topics
1.Swali la kwanza kama Dodoma kuna ukame na jangwani kama unavyosema inakuaje tena Soko la kimataifa la mahindi lipo Kibaigwa-Kongwa.
2.Swali la pili kama Dodoma ni ukame na jangwa kama unavyotuaminisha inakuaje tena Dodoma iwe ya pili baada ya Songea kwa kuwa na vihenge/maghala makubwa na ya kisasa ya kuhifadhia nafaka refer maghala ya NFRA na yale ya WFP pamoja na FAO
Ukiweza kujibu haya maswali mawili tu nitag plz