Wyatt Mathewson
JF-Expert Member
- Dec 22, 2017
- 10,432
- 25,124
Mkuu acha bangi basiUnachekesha eti case closed πππ.Ulinganisho ni hali ya hewa ya Arusha Jiji na Dodoma Jiji sio hali ya hewa ya Arusha mkoa na Dodoma mkoa. Rudi shule ujue kwamba Dodoma kuna halmashauri nane na kila eneo linatofautiana hali ya hewa na jingine.
Ni sawa na Mkoa wa Arusha wilaya ya Monduli kuna ukame lakini huwezi kugeneralize kwamba mkoa wote wa Arusha hali ya hewa inafanana
GDP ya Dodoma ni ngapi?huwa najibu facts kwa facts ,hoja kwa hoja.Hiyo michambo na taarabu plus kubadili badili topics nenda kachambane Facebook ndio level zako.Unaulizwa maswali unaruka ruka tu hujajibu hata moja yaani unajitekenya na kucheka mwenyewe.
Angalia facts apaππ
DODOMA YAONGOZA KUKUSANYA MAPATO, MBEYA YA MWISHO β VIDEO
Jiji la Dodoma limekuwa la kwanza kati ya majiji sita hapa nchini kwa kusanya bilioni 25.5 toka kwenye lengo la kukusanya bilioni 19.3 Sawa na 130% huku Jiji la Mbeya likiwa la mwisho kwa kukusanya bilioni 7 toka kwenye lengo la kukusanya bilioglobalpublishers.co.tz
Kwa hyo mapato ya TRA ndio uchumi???GDP ya Dodoma ni ngapi?
Unajua maana ya kukusanya mapato?
Mapato rasmi ni ya kodi na sio huu ujinga!
Halafu hapo ni comparison na Mbeya,another mfu!
You cant touch Arusha you kindergarten kids!
Keep playing!
Hayo ndio uchumi wa kweli maana yanatokana na kazi za mikono za uzalishaji za wananchiKwa hyo mapato ya TRA ndio uchumi???
Israel na Misri ni Jangwa na wanatumia Irrigation Farming .Misri kwamfano wanategemea maji ya mto Nile. Sasa imagine Ardhi ya Dodoma hawatumii Irrigation System,wala hawatumii Mbolea za kisasa,wala hawatumii madawa ya Kilimo lakini wanaongoza kwa uzalishaji wa Zabibu,Mtama,Tende,Uwele,Alizeti,Rosella Tanzania nzimaπππhawa watu ardhi yao itakua imebarikiwa sana aiseeNan kasema jangwa halisupport kilimo?
[emoji3]
Mama ntilie,,,,muuza matunda , machinga, biashara ndogo zinalipa TRA ?? .kama hazilipi mapato Yao yanapimwa wapi?Hayo ndio uchumi wa kweli maana yanatokana na kazi za mikono za uzalishaji za wananchi
Ulikua hujui hilo?
Au mapato unadhani ni huo ushuru unaotoka na uonevu wa kukuta kagari kamtu kamepaki wanakashika ndio mapato?Huo ni wizi na sio indication ya uzalishaji wa mwananchi mmoja mmoja!
Takwimu ziko wapi[emoji116]Israel na Misri ni Jangwa na wanatumia Irrigation Farming .Misri kwamfano wanategemea maji ya mto Nile. Sasa imagine Ardhi ya Dodoma hawatumii Irrigation System,wala hawatumii Mbolea za kisasa,wala hawatumii madawa ya Kilimo lakini wanaongoza kwa uzalishaji wa Zabibu,Mtama,Tende,Uwele,Alizeti,Rosella Tanzania nzima[emoji38][emoji38][emoji38]hawa watu ardhi yao itakua imebarikiwa sana aisee
Umewahi kujiuliza kwanini soko la kimataifa la mahindi na nafaka Afrika Mashariki yote lipo kijijini Kibaigwa...kama soko plus maghala sio kipimo cha hali ya kilimo kwanini yawe apo tu na sio kwingine πππKuwepo kwa soko na maghala sio kipimo cha hali ya kilimo hapo. Mbona dhahabu zipo geita HQ zipo dar.
Ilikuaje Tanzanite ichimbwe Tanzania ila soko liwe S.A na Ke?
Jitahidi kusoma vizuri wewe huku sio hoja za Facebook yaani unaambiwa kabisa Dodoma tops up majiji yote kwa kukusanya mapato wewe unasema eti ni comparison na MbeyaππGDP ya Dodoma ni ngapi?
Unajua maana ya kukusanya mapato?
Mapato rasmi ni ya kodi na sio huu ujinga!
Halafu hapo ni comparison na Mbeya,another mfu!
You cant touch Arusha you kindergarten kids!
Keep playing!
Wewe jamaa unanichekeshaga sana yaani unataka Takwimu za kuonesha Dodoma inaongoza kwa uzalishaji wa hayo mazao wakati mazao mengine kwamfano Zabibu,Tende,Rosella yanazalishwa Dodoma pekeeππ.Takwimu ziko wapi[emoji116]View attachment 2689289
Leta takwimu tuone hizo ngonjera hatutaki!!Wewe jamaa unanichekeshaga sana yaani unataka Takwimu za kuonesha Dodoma inaongoza kwa uzalishaji wa hayo mazao wakati mazao mengine kwamfano Zabibu,Tende,Rosella yanazalishwa Dodoma pekee[emoji38][emoji38].
Takwimu bila mshindani [emoji116][emoji116]
Naona unataka kupingana na uhalisia ππLeta takwimu tuone hizo ngonjera hatutaki!!
Yapo hapo kwa ujinga wa baadhi ya viongozi kama ambayo waliamua almasi ichimbwe shinyanga kodi ilipwe dar.Umewahi kujiuliza kwanini soko la kimataifa la mahindi na nafaka Afrika Mashariki yote lipo kijijini Kibaigwa...kama soko plus maghala sio kipimo cha hali ya kilimo kwanini yawe apo tu na sio kwingine [emoji38][emoji38][emoji38]
Mkuu acha bangi basi
Arusha jiji ni even more cold than rural areas such as Ngorongoro,Longido and so on
Yaani unayumba yumba sana..unabadili goal post unavyotaka lakini bado unafeli!
Endeleza blah blah utakavyo
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mkuu
Naona umepaniki..na sina muda wa kudeal na watu emotional,maana watu emotional rationality ni msamiati kwao
Maghala ndio hali ya hewa?
Yote ni blah blah tu....
Ni kichaa na unafiki wa hali ya juu kusema Dodoma na Arusha ni mikoa yenye heli ya hewa sawa
Case closed.
Haya Jichatishe!
Kwani Arusha maji yanatoka 24/7 mitaa yote mwaka mzima πππKumbe dodoma Kuna shida ya maji afu mnashindana na ArushaView attachment 2690981
Kam mim napokaa ni uswahiln lakin sijawah pata kero ya majiKwani Arusha maji yanatoka 24/7 mitaa yote mwaka mzima [emoji3][emoji3][emoji3]
Nenda kule maeneo ya unga limited alafu utapata jibuKam mim napokaa ni uswahiln lakin sijawah pata kero ya maji
Dodoma maji ni shida ..na Maji unayopata yamejaa chumvi ..maji ya dodoma hayafai kufulia nguo Wala kunywa ..labda kumwagilia mchicha ....hovyo kabisaNenda kule maeneo ya unga limited alafu utapata jibu