Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Kwa population uko sawa

Screenshot_20230712-083140_Chrome.jpg
 
Kwa hiyo wewe na NBS nani wanajua mipaka ya Jiji la Dodoma na population yake? Wewe ni mzima kichwani kweli au unasumbuliwa na wivu?

Hiyo 450 ilikuwa ndio population ya Dom 2012.

Unaposema Dodoma Bado uwage unataka Bado kwenye area ipi maana Dom imezidi Arusha Kwa Kila kitu kasoro miti na wavuta bangi tuu.
Acha chupli chupli .dodoma area ni km za mraba 2500 Ina tarafa 4..tarafa ya dodoma mjini ,hombolo ,zuzu ... tarafa ya dodoma mjini ndo mitaa mnayotutajia humu... population ya tarafa hii haizidi watu laki nne na nusu kutoka watu laki 2 mwaka 2012 ...acha kudanganya wapumbavu
I stand with Arusha [emoji91]
 
Nani amekuambia inauzwa? Ndio maana mkablokiwa na dpw msichangie chochote, uliza upate uhakika na sio kuongea usichokijua, olenimala nkoi? Au niongee kichina utanielewa!
Watanzania wamewekeza zaidi ya Trilioni mbili pale halafu ndio uje useme hatujachangia chochote? Kwamba DPW wanachangia?

Hivi Unajua mwaka jana wametoa kiasi gani(Investment)kwa miradi yao yote........robo ya fedha tuliyowekeza kwenye Bandari yetu ! Sisi Watanzania ndio tunaokwenda kulipia Vifaa vipya tulivyoviweka Bandarini halafu ulete uarabu wako uchwara hapa
Mfyuuuuuuu Nenda ukamwadithie Msigwa upotoshajibl wako
 
Msitutoe Relini na kufunika funika na picha za Miji yetu wenyewe Tanzania tunaijua na tunayajua na tunayatembelea Kila siku.....Watanganyika tunahitaji Bandari yetu.

Wananchi Vs DPW

No to Neo-Colonialism
 
Watanzania wamewekeza zaidi ya Trilioni mbili pale halafu ndio uje useme hatujachangia chochote? Kwamba DPW wanachangia?

Hivi Unajua mwaka jana wametoa kiasi gani(Investment)kwa miradi yao yote........robo ya fedha tuliyowekeza kwenye Bandari yetu ! Sisi Watanzania ndio tunaokwenda kulipia Vifaa vipya tulivyoviweka Bandarini halafu ulete uarabu wako uchwara hapa
Mfyuuuuuuu Nenda ukamwadithie Msigwa upotoshajibl wako

Punguza jazba, kwanza umeelewa nilichomaanisha? Kuchangia comments na sio pesa, uwe unauliza kwanza. Ndio maana wakablokiwa wasicomment, wanafikiri dpw ni jukwaa la udaku eee, tujirekebishe. Halafu uarabu umeingiaje hapa!
 
Kama tumeshindwa kuwekeza kwenye bandari , maji yetu tuogele tu ,mizigo tutapitishia Mombasa
Bandari yetu isiuzwe.
Msitutoe Relini na kufunika funika na picha za Miji yetu wenyewe Tanzania tunaijua na tunayajua na tunayatembelea Kila siku.....Watanganyika tunahitaji Bandari yetu.

Wananchi Vs DPW

No to Neo-Colonialism
Acheni upuuzi wenu wa kuchafua Uzi wangu Kwa Ajili ya huo ujinga wenu..

Nyuzi za Bandari ziko kibao humu nendeni mkachangie huko.

Hapa ni Arusha vs Dodoma
 
Acheni ujinga wenu wa kuchafua Uzi wangu Kwa Ajili ya huo ujinga wenu..

Nyuzi za Bandari ziko kibao humu nendeni mkachangie huko.

Hapa ni Arusha vs Dodoma
Sawa Dodoma , kuna meneo kama Airport ,makole ,chadulu ,Area A ,majengo, Kikuyu ya magengeni ,Chamwino ,maili mbili,barabara ya Tisa pia ,maeneo hayo unapata Malaya kwa bei nafuu kabisa ,

Maeneo mazuri na mitaa mizuri kidogo ya kuishi ,ni Kisasa ,Nkhuhungu, ilazo ,Kikuyu ya magorofani , Mlimwa C, area D, Mahungu ,swaswa kuna mbuu sana , Nzuguni uswahilini pia kimtindo , Changombe ni uswazi pia na kuna warangi wengi,,

Michese kuna vumbi sana ,Mkonze kuna wenyeji sana wanaowana na mapema mno ,

Ntyuka kuna vumbi pia vijana wa huko wanapenda madili ya kuuza mkaa sana , pia wanafaidi pisi Kali za udom zenye njaa,

Ngongona , huko ndoa nyingi sio salama sababu ya mabinti wa udom.

Njedengwa , nako ni kuzuri zuri ila unatakiwa uwe na usafir wako hamna daladala ,

Nala ,kuna waburundi wengi sana wanafanya maombi sana ,wanajenga kiwanda cha mbole cha Rais Everist Ndashikiye , sio sehemu ya hovyo sana kihivo .

Kizota ,kuna Malaya wengi,, wavuta bangi ,unga etc,, pia supu za mapupu ni nyingi sana ,,

Ndachi kuna ndugu zetu wengi ,hawa watu wa fitna sana ,


Majengo,, kuna soko kuu ,, wanaofanya biashara huko asilimia kubwa ni warangi na waanguu , warangi wengi wanaibia ibia wakulima na waanguu wanauza ugoro na viungo , kufanya biashara sokoni pale inabidi ujipange kweli kweli kwenye dunia ya pili.

Barabara ya sita,, ipo kata ya madukani,, kuna maduka mengi ya phone accessories ,madalali ni wengi mno , wako wameva vikaptura vyao wamekaa zao na maji wakiwasubir watu wa iPhone,

Kwa Leo tuishie hapa , ila mashoga wakujiuza wapo Makole , wanapiga gim sana ,wanafuga na ndevu ,wananyoa upara . Tuliombe taifa kwa kweli
 
Unasema wewe, statistics ndio inaongea

Dar then Mwanza
😀😀endelea kujifariji...
statistics zipi zaidi ya population. Hilo la Mwanza Jiji kushika nafasi ya pili kwa population halina ubishi. Statistics zingine kwamfano miundombinu,barabara za lami,ubora wa mipango miji,huduma za jamii,vyuo vikuu,uwingi wa ofisi+idara za serikali,ujenzi unaoendelea wa maghorofa n.k Mwanza mnapigwa knock out.....😀😀😀
 
[emoji3][emoji3]endelea kujifariji...
statistics zipi zaidi ya population. Hilo la Mwanza Jiji kushika nafasi ya pili kwa population halina ubishi. Statistics zingine kwamfano miundombinu,barabara za lami,ubora wa mipango miji,huduma za jamii,vyuo vikuu,uwingi wa ofisi+idara za serikali,ujenzi unaoendelea wa maghorofa n.k Mwanza mnapigwa knock out.....[emoji3][emoji3][emoji3]
Arusha imewanyea mbali [emoji116]
Ukiniletea jengo refu kuzidi hili nitag [emoji28][emoji28][emoji28]
20230628_092116.jpg
 
Kwa miaka Mingi Arusha na Dar zilikosa Washindani wao hapa Tanzania ila Kwa Sasa kuibuka Kwa Jiji la Dodoma kumeanza kuificha Arusha.

Utawala wa Jiji la Arusha(Geneva of Africa) imefunikwa Kwa mbali kiasi kwamba machalii wa Chuga hawaelewi wahame au wasalie licha ya Serikali.

Serikali inajaribu kupambana Ili kuhakikisha hadhi ya Arusha kama kitovu Kikuu Cha Utalii haipokwi Kwa kufufua ujenzi wa Kituo Cha Kimataifa Cha Mikutano KICC,jengo la PAP,Makao Makuu ya Mahakama ya Africa ya Haki,Makao Makuu ya EAC na Baraza la michezo.

Hata hivyo Jiji la Didoma limeibuka Kwa Kasi na kuwa Jiji kubwa na la 3 Kwa wingi wa watu baada ya Dar na Mwanza kufuatia Msukumo mkubwa ukiofanywa na Hayati Magufuli Kwa Serikali kuhamia Dodoma na kuwasha mwenge wa ujuaji wa Jiji.

Dodoma Sasa ni kama kiwanda kikubwa ,Kimaoato Dom imeipiku Arusha na Mwanza just to rival Dar.Kwa maoni Yangu Baada ya Dar Jiji la ukweli Kwa Sasa ni Dodoma..

Dodoma City
View attachment 2685450
View attachment 2685401View attachment 2685403



Arusha City
View attachment 2685446
View attachment 2685411View attachment 2685412
Umesahwahi kufika Arusha au umekusanya tu picha mitandaoni ukaleta uzi?
 
Back
Top Bottom