Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Mtoa mada umeandika kihisia sana na mahaba ya kutosha, kwanza rekebisha baada ya Dar ni Mwanza then Arusha kisha Dodoma

Nasema hivi kwa sababu Dodoma inakua ndio inajengwa ila haina hadhi hiyo unayoipa lkn pia unaikosea heshima nchi yetu kimataifa haiwezekani jiji la pili baada ya Dar (kwa maelezo yako) iwe Dodoma mji ambao usafiri mkuu ni bajaji,

Tusiifananishe Dom this time na miji kama Mwanza na Arusha, lkn pia kuondoa utata kati ya Mwanza na Arusha ipi ni the second after Dar

Serikari inagawa wilaya na halmashauri (manispaa) kufuatana na ukubwa wa eneo na mahitaji wa watu kuopata huduma za kiserikali, lkn pia kuirahisishia serikali kuihudumia jamii, yaani kupunguza mzigo wa serikali kuwafikia watu
Mfano Manyara ni mkoa uliotokana na Arusha ilikuwa ni kazi sana kwa viongozi wa mkoa wa Arusha kutatua changamoto za mkoa mzima ikabidi waupunguze ili sehemu ingine iwe na viongozi wao pia

Mwanza ina manispaa 2 za Ilemela na Nyamagana ambazo pia ni wilaya zipo eneo moja la mji, Arusha ina manispaa 1 na wilaya moja ya Arusha the same kwa Dom pia

Mwanza inafanya mchakato wa kuitangaza Kisesa kuwa wilaya na itakuwa na wilaya 3 ndani ya eneo moja wakati hiyo miji mingine yote ina wilaya moja moja na zinahudumika

Arusha sio mji wa serikali ila uwepo wa makao makuu ya EAC imerahisisha jumuia kujenga majengo ambayo yanapendezesha mji, Dodoma inajengwa na serikali 70% ya majengo marefu ya Dodoma mmiliki ni serikali Mwanza 86% ya majengo ni sekta binafsi (hii inatosha kusema kibiashara Mwanza haina mpinzani)

Nimekuwepo Dom vipindi tofauti tofauti ni mji naufahamu vizuri ni mji unaokua, tusiiweke tayari fikiria sehemu kama Kisasa, Makulu, Kikuyu ni mitaa mikubwa ila haina route za daladala ni mwendo wa bajaji, Sehemu kama Iyumbu na Michese unaweza kaa saa nzima na zaidi bila kupata daldala zinazoenda maeneo hayo Dom inakua lkn Mwanza na Arusha pia hazijasimama, Mwanza ujenzi wa daraja la Busisi-Kigongo unaendelea, soko kuu ambalo ni kubwa kuliko yote nchini linakamilika mwaka huu, ujenzi wa meli kubwa kuliko zote ukanda wa maziwa makuu upo mwishoni kabisa, meli ambayo itaiunganisha nchi yetu na EAC five star hotel mbili soon zitaanza kutumika (NSSF 5 Star hotel na Kapri 5 star hotel) trust me hivi vitu vitaiamsha sana Mwanza, kibiashara Dom inamisi vitu vingi sana hakuna maduka makubwa ukiwa Dom kuna bidhaa bado ili kuipata ni lazima uifuate Dar

Kwenye population hapa ndio bado kabisa nenda Dodoma kipindi bunge halipo lkn pia vyuo vimefunga utashangaa asilimia kubwa nyumba za Dodoma wanaishi watu sio zaidi ya 4-6 nyumba moja na kuna nyumba zingine zimejengwa hazina watu kabisa tembea Mkonze, Chidachi, Kisasa, Iyumbu kuna nyumba nyingi sana zimekamilika lkn hawaishi watu, watu walijenga kwaajili ya kupangisha

Mwanza nyumba yako kukosa mpangaji utake wewe, vile vile kwa Arusha
Mwanza hakuna sehemu ya mji Daladala hazifiki the same to Arusha
 
Then unaongelea historia fika sasa halafu linganisha na Dodoma yako
Sasa Kuna jipya gani ambalo hatulijui hata Kwa njia ya mitandao? Nilikuwepo huko miaka 3 tuu iliyopita,hakuna kipya kimeongezeka..

Dom ukienda Kila baada ya miezi 6 unakuta Mji Mpya,Dom ni kama kiwanda kikubwa Kwa Sasa huwezi linganisha na Kijiji Cha Utalii Cha Arusha.
 
Mtoa mada umeandika kihisia sana na mahaba ya kutosha, kwanza rekebisha baada ya Dar ni Mwanza then Arusha kisha Dodoma

Nasema hivi kwa sababu Dodoma inakua ndio inajengwa ila haina hadhi hiyo unayoipa lkn pia unaikosea heshima nchi yetu kimataifa haiwezekani jiji la pili baada ya Dar (kwa maelezo yako) iwe Dodoma mji ambao usafiri mkuu ni bajaji,

Tusiifananishe Dom this time na miji kama Mwanza na Arusha, lkn pia kuondoa utata kati ya Mwanza na Arusha ipi ni the second after Dar

Serikari inagawa wilaya na halmashauri (manispaa) kufuatana na ukubwa wa eneo na mahitaji wa watu kuopata huduma za kiserikali, lkn pia kuirahisishia serikali kuihudumia jamii, yaani kupunguza mzigo wa serikali kuwafikia watu
Mfano Manyara ni mkoa uliotokana na Arusha ilikuwa ni kazi sana kwa viongozi wa mkoa wa Arusha kutatua changamoto za mkoa mzima ikabidi waupunguze ili sehemu ingine iwe na viongozi wao pia

Mwanza ina manispaa 2 za Ilemela na Nyamagana ambazo pia ni wilaya zipo eneo moja la mji, Arusha ina manispaa 1 na wilaya moja ya Arusha the same kwa Dom pia

Mwanza inafanya mchakato wa kuitangaza Kisesa kuwa wilaya na itakuwa na wilaya 3 ndani ya eneo moja wakati hiyo miji mingine yote ina wilaya moja moja na zinahudumika

Arusha sio mji wa serikali ila uwepo wa makao makuu ya EAC imerahisisha jumuia kujenga majengo ambayo yanapendezesha mji, Dodoma inajengwa na serikali 70% ya majengo marefu ya Dodoma mmiliki ni serikali Mwanza 86% ya majengo ni sekta binafsi (hii inatosha kusema kibiashara Mwanza haina mpinzani)

Nimekuwepo Dom vipindi tofauti tofauti ni mji naufahamu vizuri ni mji unaokua, tusiiweke tayari fikiria sehemu kama Kisasa, Makulu, Kikuyu ni mitaa mikubwa ila haina route za daladala ni mwendo wa bajaji, Sehemu kama Iyumbu na Michese unaweza kaa saa nzima na zaidi bila kupata daldala zinazoenda maeneo hayo Dom inakua lkn Mwanza na Arusha pia hazijasimama, Mwanza ujenzi wa daraja la Busisi-Kigongo unaendelea, soko kuu ambalo ni kubwa kuliko yote nchini linakamilika mwaka huu, ujenzi wa meli kubwa kuliko zote ukanda wa maziwa makuu upo mwishoni kabisa, meli ambayo itaiunganisha nchi yetu na EAC five star hotel mbili soon zitaanza kutumika (NSSF 5 Star hotel na Kapri 5 star hotel) trust hivi vitu vitaiamsha sana Mwanza, kibiashara Dom inamisi vitu vingi sana hakuna maduka makubwa ukiwa Dom kuna bidhaa bado ili kuipata ni lazima uifuate Dar

Kwenye population hapa ndio bado kabisa nenda Dodoma kipindi bunge halipo lkn pia vyuo vimefunga utashangaa asilimia kubwa nyumba za Dodoma wanaishi watu sio zaidi ya 4-6 nyumba moja na kuna nyumba zingine zimejengwa hazina watu kabisa tembea Mkonze, Chidachi, Kisasa, Iyumbu kuna nyumba nyingi sana zimekamilika lkn hawaishi watu watu walijenga kwaajili ya kupangisha

Mwanza nyumba yako kukosa mpangaji utake wewe, vile vile kwa Arusha
Mwanza hakuna sehemu ya mji Daladala hazifiki the same to Arusha
Sasa ndugu yangu Dodoma.sio Jiji la hovyo kama.huko kwingine kiasi kwamba Kila sehemu kuwe na madaladala..

Miji ya kienyeji kienyeji ndio inaona madaladala kama usafiri..

Mwisho badala uje na hoja unakuja na blaa blaa,sema Arusha inaizidi nini Dodoma?
 
Mtoa mada umeandika kihisia sana na mahaba ya kutosha, kwanza rekebisha baada ya Dar ni Mwanza then Arusha kisha Dodoma

Nasema hivi kwa sababu Dodoma inakua ndio inajengwa ila haina hadhi hiyo unayoipa lkn pia unaikosea heshima nchi yetu kimataifa haiwezekani jiji la pili baada ya Dar (kwa maelezo yako) iwe Dodoma mji ambao usafiri mkuu ni bajaji,

Tusiifananishe Dom this time na miji kama Mwanza na Arusha, lkn pia kuondoa utata kati ya Mwanza na Arusha ipi ni the second after Dar

Serikari inagawa wilaya na halmashauri (manispaa) kufuatana na ukubwa wa eneo na mahitaji wa watu kuopata huduma za kiserikali, lkn pia kuirahisishia serikali kuihudumia jamii, yaani kupunguza mzigo wa serikali kuwafikia watu
Mfano Manyara ni mkoa uliotokana na Arusha ilikuwa ni kazi sana kwa viongozi wa mkoa wa Arusha kutatua changamoto za mkoa mzima ikabidi waupunguze ili sehemu ingine iwe na viongozi wao pia

Mwanza ina manispaa 2 za Ilemela na Nyamagana ambazo pia ni wilaya zipo eneo moja la mji, Arusha ina manispaa 1 na wilaya moja ya Arusha the same kwa Dom pia

Mwanza inafanya mchakato wa kuitangaza Kisesa kuwa wilaya na itakuwa na wilaya 3 ndani ya eneo moja wakati hiyo miji mingine yote ina wilaya moja moja na zinahudumika

Arusha sio mji wa serikali ila uwepo wa makao makuu ya EAC imerahisisha jumuia kujenga majengo ambayo yanapendezesha mji, Dodoma inajengwa na serikali 70% ya majengo marefu ya Dodoma mmiliki ni serikali Mwanza 86% ya majengo ni sekta binafsi (hii inatosha kusema kibiashara Mwanza haina mpinzani)

Nimekuwepo Dom vipindi tofauti tofauti ni mji naufahamu vizuri ni mji unaokua, tusiiweke tayari fikiria sehemu kama Kisasa, Makulu, Kikuyu ni mitaa mikubwa ila haina route za daladala ni mwendo wa bajaji, Sehemu kama Iyumbu na Michese unaweza kaa saa nzima na zaidi bila kupata daldala zinazoenda maeneo hayo Dom inakua lkn Mwanza na Arusha pia hazijasimama, Mwanza ujenzi wa daraja la Busisi-Kigongo unaendelea, soko kuu ambalo ni kubwa kuliko yote nchini linakamilika mwaka huu, ujenzi wa meli kubwa kuliko zote ukanda wa maziwa makuu upo mwishoni kabisa, meli ambayo itaiunganisha nchi yetu na EAC five star hotel mbili soon zitaanza kutumika (NSSF 5 Star hotel na Kapri 5 star hotel) trust me hivi vitu vitaiamsha sana Mwanza, kibiashara Dom inamisi vitu vingi sana hakuna maduka makubwa ukiwa Dom kuna bidhaa bado ili kuipata ni lazima uifuate Dar

Kwenye population hapa ndio bado kabisa nenda Dodoma kipindi bunge halipo lkn pia vyuo vimefunga utashangaa asilimia kubwa nyumba za Dodoma wanaishi watu sio zaidi ya 4-6 nyumba moja na kuna nyumba zingine zimejengwa hazina watu kabisa tembea Mkonze, Chidachi, Kisasa, Iyumbu kuna nyumba nyingi sana zimekamilika lkn hawaishi watu, watu walijenga kwaajili ya kupangisha

Mwanza nyumba yako kukosa mpangaji utake wewe, vile vile kwa Arusha
Mwanza hakuna sehemu ya mji Daladala hazifiki the same to Arusha

1 Dar
2 Mwanza
.
.
.

Kwingine watajua nani awe 3
 
Sasa Kuna jipya gani ambalo hatulijui hata Kwa njia ya mitandao? Nilikuwepo huko miaka 3 tuu iliyopita,hakuna kipya kimeongezeka..

Dom ukienda Kila baada ya miezi 6 unakuta Mji Mpya,Dom ni kama kiwanda kikubwa Kwa Sasa huwezi linganisha na Kijiji Cha Utalii Cha Arusha.
Eti Kijiji Cha utalii....
Jibu hapa
JamiiForums-895146374.jpg
IMG-20230530-WA0009.jpg
IMG-20230627-WA0008.jpg
 

Attachments

  • JamiiForums1610813786.jpg
    JamiiForums1610813786.jpg
    55.9 KB · Views: 38
Nitasimama na Dodoma
Hatimae arusha kapata mshindan baada ya kuchezea konzi la utosi kwa ROCK CITY

UZI MPYA 2025....

MWANZA VS DAR --LOCALLY

MWANZA FT DAR VS DUBAI--INTERNATIONALLY

GEITA VS MBEYA---Hatuchagui uwanja vyovyote fresh tu kimataifa au kinyumban [emoji23]


[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Hatimae arusha kapata mshindan baada ya kuchezea konzi la utosi kwa ROCK CITY

UZI MPYA 2025....

MWANZA VS DAR --LOCALLY

MWANZA FT DAR VS DUBAI--INTERNATIONALLY

GEITA VS MBEYA---Hatuchagui uwanja vyovyote fresh tu kimataifa au kinyumban [emoji23]


[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]

Ngoja waje wenye kijiji chao huko kwa mromboo na sakina 😅 wait wait
 
Hatimae arusha kapata mshindan baada ya kuchezea konzi la utosi kwa ROCK CITY

UZI MPYA 2025....

MWANZA VS DAR --LOCALLY

MWANZA FT DAR VS DUBAI--INTERNATIONALLY

GEITA VS MBEYA---Hatuchagui uwanja vyovyote fresh tu kimataifa au kinyumban [emoji23]


[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Lini Geita iliishinda Kahama?
 
Back
Top Bottom