Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Wewe sasa ndio umejibu kihisia na sio kiuhalisia ili kuisapoti Mwanza hauna point yoyote specifically ya kujustify zaidi ya blaaaah blaaaah
1.Bajaji sio usafiri mkuu wa Dodoma kama unavyosema.Dodoma ndio jiji pekee Tanzania lenye mtandao mpana wa barabara za lami.Mwanza,Shinyanga na Bukoba bado wanatumia usafiri wa baiskeli kwenye vichochoro/barabara zao za vumbi[emoji3][emoji3]
2.Biashara ya nyumba za kupanga Dodoma ni hot cake.Watu wametajirika ndani ya kipindi kifupi baada ya serikali kuhamia rasmi Dodoma.Demand ya nyumba za kupanga Dodoma ni kubwa sana na madalali wameitumia hiyo fursa vizuri.Nakushangaa unavyodanganya eti kuna nyumba zinakosa wapangaji.Waulize wafanyakazi wa serikali wanaohamishwa Dodoma wanavyopata taabu kutafuta nyumba za kupanga
3.Unakiri kwamba maghorofa mengi yanajengwa Dodoma lakini unasema yanajengwa na Serikali....tukuulize swali ni Serikali ya nchi ipi hiyo Rwanda au Burundi[emoji3][emoji3]
4.Unasema kipindi cha Bunge likiisha Dodoma kunakua hakuna watu....tukuulize huko Mwanza vyuo vya SAUT na Bugando vikifungwa mji unakua na the same vibe ya sikuzote au kuna biashara nyingine nazo zinafungwa kabisa
Kwamba bajaji sio usafir wa dodoma sabab dodoma inamtandao mpana wa barabara za lami ?
 
Arusha inaizidi Dodoma kwa mengi sana:
1. Kipato
2. Hali ya hewa nzuri
3. Mandhari ya kuvutia
4. Wingi wa mabilionea
5. Hoteli za kifahari. Inafahamika kuwa Dar ndilo jiji linaloongoza kwa kuwa na mahoteli mengi ya kutalii Tanzania, likifuatiwa na Arusha .
6. Watafutaji wenye bidii
7. Watu wenye "akili" nzuri.
Umemaliza?
 
Umeishi sehemu gani na umesoma wapi...?!

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Nimeishi Kwa mda mfupi Ilerai na nimesoma Karatu A level EGM
20230712_111218.jpg
20230712_111224.jpg
20230712_111222.jpg
 
Ila shule ina mandhari nzuri. Naupenda ukijani!
Hiyo shule ni nzuri balaa na Ina miundombinu ya Viwanja aina zote kuanzia tennis Hadi ule mchezo wanaopenda wahindi nimeusahau jina.

Watoto wakali walikuwa wakitoka Mikoa mingine wanafikia hapo shuleni kulikuwa na mabweni ya kukodi kama kitega uchumi.

Ukiwa shule unaenda darasani,bwenini ,bwaloni bila kukanyaga udongo walk away zipo na zimeezekwa safi kama kwenye hospital(Walitengeneza hizo njia Kwa sababu Karatu Ina udongo wa kunata hatari)

Hii ilikuwa shule ya Kanisa la KKKT zamani na jirani yake hapo Kuna Hospital nayo ya Kanisa ambayo ilikuwa inatumika kama Hospital ya Wilaya..

Ila.sasa hii ni shule ya kilimo.kuna mashamba balaa na matrekta kama kawaida
Screenshot_20230712-163625.jpg
Screenshot_20230712-163425.jpg
 
Kama mleta maada hii ni "the sunk cost fallacy" mwenye a.k.a yake "choice variable", basi mtakesha maana Huwa wenge lake linakuwaga la msimu. Mjue tupo kipindi Cha ubaridi lazima ukute hitilafu kwenye cerebellum. Nendeni Naye taratibu hachelewi kusema njombe ni nzuri kuliko Moshi.
 
Kwamba bajaji sio usafir wa dodoma sabab dodoma inamtandao mpana wa barabara za lami ?
Ni usafiri ila unatumika kwa kiwango kidogo sio kama jamaa anavyodai shukrani kutokana na mipango miji na mtandao mpana wa barabara za lami Dodoma.Angalia miji yenye idadi kubwa ya bajaji kwamfano Mbeya barabara za lami ni changamoto kubwa.
 
Ni usafiri ila unatumika kwa kiwango kidogo sio kama jamaa anavyodai shukrani kutokana na mipango miji na mtandao mpana wa barabara za lami Dodoma.Angalia miji yenye idadi kubwa ya bajaji kwamfano Mbeya barabara za lami ni changamoto kubwa.
Shukran kwa kuitaja mbeya ,ukitoa GDP mbeya ni stand ya SAULI. Ila mwanza hizo baiskel zipo wapi?
 
Huwezi kusoma Karatu halafu useme unaijua Arusha vizuri, vinginevyo ungekuwa angalau kule Ilboru Arumeru, au Monduli basi hata Longido maana kufika Arusha Town unaweza unaweza ukawa unafika, halafu sio Ilerai ni Elerai umekaa hapo kwa muda gani...?! yamkini ulipita kwa dada yako/ Shemeji yako ukakaa wiki...
Kwani wapi nimesema naijua vizuri? Kwanza sihitaji kujua Kila pande ya Mji.

Mfano wewe unaijua Mbeya yote?
 
Haya yanayoendelea dodoma yalishafanyika Arusha miaka 10 back
Ila sasa hivi Arachuga yetu imechakaa sana. Vijana pale Sakina Mataa wanakula Shisha na Nyagi kwa kwenda mbele baa ya Boss. Dodoma sasa hivi inakimbiza sana. Baada ya miaka 10 ijayo itakuwa habari ya mjini.

Mziki mpya kuhusu Arachuga umeusikia? Kautafute fasta.
 
Back
Top Bottom