ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Kuipita Arusha Kwa lipi labda? Misitu na Camp site au nini? Be specific.Bila picha ni ujinga tu...
habari maelezo sio mahala pake hapa
Hamtakuja kamwe kuipita Arusha View attachment 2961772
Eneo lolote lenye drainage na mito Huwa halikosi mafuriko sasa huko jangwani misri mafuriko yatokee wapiKuipita Arusha Kwa lipi labda? Misitu na Camp site au nini? Be specific.
Kama ni Kwa misitu huko tunaachia ngedere.
Mwisho nimegundua Arusha na Mwanza ni prone Kwa mafuriko sana
Unasingizia mito,sema slums ndio chanzo ππEneo lolote lenye drainage na mito Huwa halikosi mafuriko sasa huko jangwani misri mafuriko yatokee wapi
Outdated planning....hamna jiji la kisasa linajenga bungalow kama hvyoIyumbu Satellite City hiyo karibu na Udom....only in Dodoma proper planning huwezi kuipata popote East and Central Africa wewe endelea kujifariji tu [emoji3][emoji3]
Ona video ambayo inakuonesha jinsi Jiji linatakiwa kuwa.Eneo lolote lenye drainage na mito Huwa halikosi mafuriko sasa huko jangwani misri mafuriko yatokee wapi
Miti na misitu Iko wapi? ππππOutdated planning....hamna jiji la kisasa linajenga bungalow kama hvyo
Kisesa housing View attachment 2962051
Wako miaka 50 nyuma wacha wapige keleleA growing village πππ
Miaka 50 Nyuma inaendelea kutoa kichapo Kwa wenye miaka 50 mbele πππWako miaka 50 nyuma wacha wapige kelele
Mkuu nafikiri una shida kidogo ume Count pesa ambazo serikali ime inject kwenye dodoma city development lake kwenye halmashauri ziko frame kama mapato. Ukutaka kujua angalia kwenye kodi ta TRA Dodoma mmefichwaMiaka 50 Nyuma inaendelea kutoa kichapo Kwa wenye miaka 50 mbele πππ
Dom kamatia hapo hapo ππView attachment 2965941View attachment 2965942
Aliyekudanya nani? Fedha za Miradi zinakuaje makusanyo ya Jiji? Uwe unasoma na kuelewa Bajeti za serikaliMkuu nafikiri una shida kidogo ume Count pesa ambazo serikali ime inject kwenye dodoma city development lake kwenye halmashauri ziko frame kama mapato. Ukutaka kujua angalia kwenye kodi ta TRA Dodoma mmefichwa
Hayo mapato kwanin hayapo kwenye kodi??Aliyekudanya nani? Fedha za Miradi zinakuaje makusanyo ya Jiji? Uwe unasoma na kuelewa Bajeti za serikali
Hivi wewe umelewa mbege? Vyanzo vya Mapato ya Serikali niHayo mapato kwanin hayapo kwenye kodi??
Unakuaje mapato na kodi hutoi TRA
Kijiji gani Cha huko kwenu? Mkoa mzima wa Arusha umekaa kama nini?Yani dodoma nao wanashindana na ARUSHAπππππππππππ
Mkoa mzima umekaa kama kijiji