Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Kuipita Arusha Kwa lipi labda? Misitu na Camp site au nini? Be specific.

Kama ni Kwa misitu huko tunaachia ngedere.

Mwisho nimegundua Arusha na Mwanza ni prone Kwa mafuriko sana
Eneo lolote lenye drainage na mito Huwa halikosi mafuriko sasa huko jangwani misri mafuriko yatokee wapi
 
Iyumbu Satellite City hiyo karibu na Udom....only in Dodoma proper planning huwezi kuipata popote East and Central Africa wewe endelea kujifariji tu [emoji3][emoji3]
Outdated planning....hamna jiji la kisasa linajenga bungalow kama hvyo

Kisesa housing
DJI_0054-Copy.jpg
 
Mkuu nafikiri una shida kidogo ume Count pesa ambazo serikali ime inject kwenye dodoma city development lake kwenye halmashauri ziko frame kama mapato. Ukutaka kujua angalia kwenye kodi ta TRA Dodoma mmefichwa
Aliyekudanya nani? Fedha za Miradi zinakuaje makusanyo ya Jiji? Uwe unasoma na kuelewa Bajeti za serikali
 
Back
Top Bottom