ILAN RAMON
JF-Expert Member
- Sep 10, 2013
- 9,698
- 4,488
Usisahau populations ya Dodoma almost ni mara 2 ya population ya Arusha (kimkoa?) Labda kwa umaskini dodoma itaizidi Arusha nothing else sijisifii naongea ukweli mkuu dodoma bado sana kuleni tu ubuyu π π€£ π π πHuko shule ulienda kusoma ujinga eti....ndiomana huwa nakwambia uende Facebook ukabishane humu hupaweziππ....title ya thread ni Dodoma CC vs Arusha CC sio Dodoma RC vs Arusha RC.
Kama vp anzisha thread mpya ya kushindanisha mkoa wa Dodoma (wenye halmashauri 8) vs mkoa wa Arusha (na halmashauri zake 7)
UHuko shule ulienda kusoma ujinga eti....ndiomana huwa nakwambia uende Facebook ukabishane humu hupaweziππ....title ya thread ni Dodoma CC vs Arusha CC sio Dodoma RC vs Arusha RC.
Kama vp anzisha thread mpya ya kushindanisha mkoa wa Dodoma (wenye halmashauri 8) vs mkoa wa Arusha (na halmashauri zake 7)
Umetoa wapi izi takataka mkuu naomna source hahahahahπ¨π¨π¨π¨ Kanyaga twende Dom ππ
View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1787863231609876859?t=zaoi4f1Ab9kzJVif-ZNC8w&s=19
Nimetoa matraakoni kwako..U
Umetoa wapi izi takataka mkuu naomna source hahahahah
Mkuu mbona una jazba π π€£ π hahaha hiyo ni rate ya growth sio largest GDP kaangalie walichonacho NBS utashangaaNimetoa matraakoni kwako..
Wewe umeona gazeti limenukuu taarifa za NBS afu unauliza ujinga
Leo umeikubali Chuga? Nachukua hii video utaikuta kule Kwa Arusha vs Mwanza ππ
Hiyo imejituma tuππ alikua anashangaa video akakuta ametumaLeo umeikubali Chuga? Nachukua hii video utaikuta kule Kwa Arusha vs Mwanza ππ
Tupo kwenye Uzi wa dodoma vs Arusha... I will stand for ArushaLeo umeikubali Chuga? Nachukua hii video utaikuta kule Kwa Arusha vs Mwanza ππ
Dodoma inawashikisha ukuta wote Arusha & Mwanza hata mngesaidianaje ππTupo kwenye Uzi wa dodoma vs Arusha... I will stand for Arusha
Ukweli usemwe ile style ya dodoma kupaka rangi paa za nyumba kulingana na mitaa imevutia sana na kuleta mandhari nzuri ya mji imagine mabatini mwanza au ngarenaro arusha pangekua vile miji yetu inapanuka tu hujui hata maafisa mipango miji kama wapovdodoma chukua kongole kwa hili sio 2039 kama ulivosema baada ya miaka 5 tu projects nyingi zikikamilika na ukuaji unavoenda kwa mpangilio dodoma itakua bonge la mji wa mfano kwa Tanzania hii tutaenda kuchkua notes dodoma ya namna mji unapaswa kuaDodoma inawashikisha ukuta wote Arusha & Mwanza hata mngesaidianaje ππView attachment 2992096View attachment 2992097View attachment 2992098View attachment 2992099View attachment 2992100View attachment 2992101View attachment 2992102View attachment 2992103View attachment 2992104View attachment 2992105View attachment 2992106
Ukweli usemwe ile style ya dodoma kupaka rangi paa za nyumba kulingana na mitaa imevutia sana na kuleta mandhari nzuri ya mji imagine mabatini mwanza au ngarenaro arusha pangekua vile miji yetu inapanuka tu hujui hata maafisa mipango miji kama wapovdodoma chukua kongole kwa hili sio 2039 kama ulivosema baada ya miaka 5 tu projects nyingi zikikamilika na ukuaji unavoenda kwa mpangilio dodoma itakua bonge la mji wa mfano kwa Tanzania hii tutaenda kuchkua notes dodoma ya namna mji unapaswa kua
Wewe si ndio ulikuwa unasema mara Dom Haina vivutio mara sijui nini yaani blaa blaa kibao.Ukweli usemwe ile style ya dodoma kupaka rangi paa za nyumba kulingana na mitaa imevutia sana na kuleta mandhari nzuri ya mji imagine mabatini mwanza au ngarenaro arusha pangekua vile miji yetu inapanuka tu hujui hata maafisa mipango miji kama wapovdodoma chukua kongole kwa hili sio 2039 kama ulivosema baada ya miaka 5 tu projects nyingi zikikamilika na ukuaji unavoenda kwa mpangilio dodoma itakua bonge la mji wa mfano kwa Tanzania hii tutaenda kuchkua notes dodoma ya namna mji unapaswa kua
Kwanza iikute mara ngapi? Kwani Mwanza imezidi nini Dodoma? Kipi hasa zaidi ya slums na maskini walikojaa humo? Kuna Kingine tangible?ππDodoma itakua na mvuto na mpangilio ila kuikuta mwanza jidanganyeni ngoja nimwite ndugu yangu Kitombile
Wewe si ndio ulikuwa unasema mara Dom Haina vivutio mara sijui nini yaani blaa blaa kibao.
Takwimu za uwekezaji Kwa robo ya 3 Dom imezidi kina Mwanza and the likes ππView attachment 2992497
Kwanza iikute mara ngapi? Kwani Mwanza imezidi nini Dodoma? Kipi hasa zaidi ya slums na maskini walikojaa humo? Kuna Kingine tangible?ππ
View: https://twitter.com/TheCitizenTz/status/1787863231609876859?t=4XQ7_8aLOaac4mMGig11Ww&s=19
My Take:Hakuna Mkoa wa kuzidi Jiji la Dodoma by 2030 ukitoa Dar
Haiwezi kuifikia labda kwenye population tu manake kanda ya ziwa wanazaliana sana...πππmvuto na mpangilio wa Dom haujaanza leo umeanza tangu kuanzishwa kwa CDA 1973Dodoma itakua na mvuto na mpangilio ila kuikuta mwanza jidanganyeni ngoja nimwite ndugu yangu Kitombile
Hata kwenye population Mwanza itapitwa tuu by 2032-35 Kwa kuzingatia growth rate iliyoko Sasa.Haiwezi kuifikia labda kwenye population tu manake kanda ya ziwa wanazaliana sana...πππmvuto na mpangilio wa Dom haujaanza leo umeanza tangu kuanzishwa kwa CDA 1973
Ujenzi wa Balozi za Nchi umeanza Jijini Dodoma.Soma.hiyooo ππ
Ujenzi wa Balozi za Nchi umeanza Jijini Dodoma.Soma.hiyooo ππ
View: https://twitter.com/mfa_tanzania/status/1791492004939022661?t=ogOiqb8lBR9x5FqRRr_g0A&s=19
Kwahiyo ni kusema dodoma imepitwa na manyara kwa gdpππ
Hilo ndio jibu sahihiKwahiyo ni kusema dodoma imepitwa na manyara kwa gdpππ