Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Kwa mtu aliyetembea na mwenye exposure, Huwezi linganisha Arusha na Dodoma. Wala hata Dar es salaam haifiki Arusha., kwa viwango vya hospitality. Hospitality ya Arusha….inaelekea viwango vya Nairobi. Hata ukienda hotelini, menu ya Arusha ni kiwango. Hata accommodation, Usafi, wahudumu kujielewa, …Kiufupi Dodoma kufikia viwango vya Arusha badooo sana. Siyo leo wala kesho. Ukienda Arusha ukaagiza hata stake….ni misosi kiwango.

Ila kama tunaangalia maghorofa ya vioo, basi nadhani Dodoma very soon ataipita hata Dar.
Wewe unaonyesha ni mtu unayetembea 👏 shida ya Arusha ni miundombinu tu in the near future naamini Arusha ikipata miundombinu sahihi utakua ndio mji pekee wa kuiwakilisha nchi bila kusahau uzuri wa hali ya hewa inayovutia kwa wageni
 
Soma kwa kutulia wewe Acha kukurupuka unaelewa maana ya hospitality
Nchi hii sehemu pekee inaweza kushindana na Arusha ni Zanzibar bas
Sehem pekee mtu atawaza kuhusu nchi yetu akiwa huko nje ni Arusha na Zanzibar
Dar ni mji wetu wa kibiashara
Dodoma ni makao makuu yetu
Hiyo ndio miji notable
Umesoma vizuri!?
Unaposema kuwa majengo ya blue Dodoma sio muda itaipita Dar it means Arusha ambayo iko vizuri kuliko DODOMA nayo iko vizuri kuliko Dar es Salaam.
 
Umesoma vizuri!?
Unaposema kuwa majengo ya blue Dodoma sio muda itaipita Dar it means Arusha ambayo iko vizuri kuliko DODOMA nayo iko vizuri kuliko Dar es Salaam.
Wewe ndio ulioleta mada za kujengeka na majengo hayo
 
Kwa mtu aliyetembea na mwenye exposure, Huwezi linganisha Arusha na Dodoma. Wala hata Dar es salaam haifiki Arusha., kwa viwango vya hospitality. Hospitality ya Arusha….inaelekea viwango vya Nairobi. Hata ukienda hotelini, menu ya Arusha ni kiwango. Hata accommodation, Usafi, wahudumu kujielewa, …Kiufupi Dodoma kufikia viwango vya Arusha badooo sana. Siyo leo wala kesho. Ukienda Arusha ukaagiza hata stake….ni misosi kiwango.

Ila kama tunaangalia maghorofa ya vioo, basi nadhani Dodoma very soon ataipita hata Dar.
Kwani Dodoma inahitaji mambo ya hospitality Ina Utalii? Dom inalinganishwa Kwa mambo mengine kama Kasi ya Ukuaji wa Mji,Mipango Miji,Ukubwa wa Jiji,Majengo na Makazi ya Kisasa, miundombinu Bora nk.

Sasa Kwa mambo hayo Arusha is Slum inawezaje kuikaribia Dodoma?👇👇

View: https://youtu.be/qgTZFTc7oSo?si=Yl2OAn1v1X8A1Tlx
 
Wewe unaonyesha ni mtu unayetembea 👏 shida ya Arusha ni miundombinu tu in the near future naamini Arusha ikipata miundombinu sahihi utakua ndio mji pekee wa kuiwakilisha nchi bila kusahau uzuri wa hali ya hewa inayovutia kwa wageni
Miundombinu mpate kutoka wapi? AFCON ikipita hamjapata basi hesabuni imewakata
 
Wakati mnabishana kuhusu hospitality,Dom the Capital City is on 🔥🔥👇👇
luck_real_estates_dodoma_1719648019132418.jpg
luck_real_estates_dodoma_1719648019132350.jpg
luck_real_estates_dodoma_171964801913282.jpg
luck_real_estates_dodoma_1719648019132914.jpg
udomfame_1719760418692571.jpg
udomfame_1719760418692510.jpg
udomfame_171976041869284.jpg
udomfame_1719760418692151.jpg
udomfame_1719760418693115.jpg
 
Umesoma vizuri!?
Unaposema kuwa majengo ya blue Dodoma sio muda itaipita Dar it means Arusha ambayo iko vizuri kuliko DODOMA nayo iko vizuri kuliko Dar es Salaam.
Acha upotoshaji,Arusha haijawahi na haitakuja kuwahi kuipita Dodoma unless unazuzuka na Yale majengo marefu ya Serikali.

Samia housing Scheme kujenga Magorofa 1,000(20%) Dom pekee ,harafu wewe unaongea nini? 👇👇

View: https://twitter.com/twendenamama/status/1808487862762926398?t=Bw-ny_IDD9fg_RsYIPIc7g&s=19

View: https://twitter.com/twendenamama/status/1808488012637934001?t=4L2qEOA8zsgJJ_VIJJ7LuA&s=19
 
Acha upotoshaji,Arusha haijawahi na haitakuja kuwahi kuipita Dodoma unless unazuzuka na Yale majengo marefu ya Serikali.

Samia housing Scheme kujenga Magorofa 1,000(20%) Dom pekee ,harafu wewe unaongea nini? 👇👇

View: https://twitter.com/twendenamama/status/1808487862762926398?t=Bw-ny_IDD9fg_RsYIPIc7g&s=19

View: https://twitter.com/twendenamama/status/1808488012637934001?t=4L2qEOA8zsgJJ_VIJJ7LuA&s=19

Wagogo mna shida sana.
Kipindi Arusha inaitwa jiji Dodoma haikua na hadhi ya kuitwa jiji.
Wagogo mna tabuuuu.
 
Na hiyo Dodoma si kwasababu ni capital city ndio maana!?
Isingekuwa mji mkuu ungeona ufukara wake.
Mji wenyewe unajengwa hapo hapo tu.Nenda nje ya CC uone huo ufukara.
Hivyo hivyo,hata Arusha si ni Capital City ya EAC au? 😁😁

Arusha huko Nje ya Mji kumejaa mabanda ya nguruwe tena ya udongo.

Excuses hazitawasaidia nyie masai.Bado hujasema Hadi useme 👇👇

View: https://youtu.be/55l2y4uIaUY?si=RbsS-8pUlb1Rlxw7

My Take: Mind you hiyo ni phase 1 tuu.Kazi nzuri ya Samia haitakuja kufutika
 
Hizo wanajenga kila mkoa wameanza na mbeya na dodoma awamu ya pili wanapiga moro na arusha
Msitutishe bhana
Wanajenga Kila Kanda ila Kwa hadhi tofauti.

Uwanja wa Dodoma na Mbeya ni viwanja vya Maonesho vya Kimataifa,hivyo vya kwenu ni vya Kanda 😁😁
 
Back
Top Bottom