Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Dodoma City vs Arusha City (The Battle of Tanzania Capital City vs EAC Capital City)

Sasa kama huu utopolo umejengwa kwa trillion 10 arusha si itakua na thamani ya trillion 10000 sasa 🤔
Anyway sio mbaya atleast barabara ni pana japo ni nje sana ya mji
Ila baada ya miaka 5 had 10 itapata muunganiko mzuri zaidi
Ila kuifikia arusha mnajifarijigi tu atleast miaka 30 arusha isijengwe chochote ndio mtaifkia
Mbona sijaona hicho unachoita Mke ya Mji? Kwani kutoka Mtumba Hadi mjini wapi hakuna makazi?

Mwisho hiyo ni gharama ya kukamilisha Kwa Kila kitu ,Sasa hapo hata nusu Bado kufikia.
 
Sasa kama huu utopolo umejengwa kwa trillion 10 arusha si itakua na thamani ya trillion 10000 sasa 🤔
Anyway sio mbaya atleast barabara ni pana japo ni nje sana ya mji
Ila baada ya miaka 5 had 10 itapata muunganiko mzuri zaidi
Ila kuifikia arusha mnajifarijigi tu atleast miaka 30 arusha isijengwe chochote ndio mtaifkia
📌📌🔨 Kwa Mkuu Kwa Dom Bado hujasema Hadi useme 😆😆😆👇👇

View: https://twitter.com/HusseinBashe/status/1821537612022063402?t=iMQtvpTK96vMEr3nf-R38w&s=19
 
Kwani masikini akipata matako huliaje???
Yanaloana mamna hii🔥🔥👇👇

View: https://twitter.com/AgricomAfrica/status/1821544728959037915?t=UUt5ymnEY_JKX7o9MLKm7g&s=19
20240808_182541.jpg
 
japo ni nje sana ya mji
duuh unachekesha sana na inaonesha wazi umesimuliwa tu...Kwa sasa kutoka Dom City Center hadi Ikulu ambayo kiutawala eneo kubwa lipo wilaya ya Chamwino unafika kwa dakika 30 .Dom maeneo ya nje ya mji labda utaje Hombolo,Mpunguzi,Zuzu(kwa Pinda), Bihawana n.k
 
duuh unachekesha sana na inaonesha wazi umesimuliwa tu...Kwa sasa kutoka Dom City Center hadi Ikulu ambayo kiutawala eneo kubwa lipo wilaya ya Chamwino unafika kwa dakika 30 .Dom maeneo ya nje ya mji labda utaje Hombolo,Mpunguzi,Zuzu(kwa Pinda), Bihawana n.k
Kuwa mjinga alafu unaconfidence inacost sana ase 😢
 
Utofauti wa Dom na miji mingine ni kuwa umepangwa na kupangika...hakuna majenzi holela!
Miji haipangi kwa kuzagaa kama mkeka sikuiz miji inaenda juu walioplan dar ndio walikua sahihi waswahili ndio walikuja kuharibu badae kuanzia magomeni majenzi holela yakaanza ila wabongo walioplan dodoma ndio planners wa hovyo kuwah kutokea duniani tatizo hatutoki tuone miji ya wenzetu waliofanikiwa ilivyo
 
Miji haipangi kwa kuzagaa kama mkeka sikuiz miji inaenda juu walioplan dar ndio walikua sahihi waswahili ndio walikuja kuharibu badae kuanzia magomeni majenzi holela yakaanza ila wabongo walioplan dodoma ndio planners wa hovyo kuwah kutokea duniani tatizo hatutoki tuone miji ya wenzetu waliofanikiwa ilivyo
Kwa hiyo Kila sehemu ni CBD Hadi iende Juu? 🤣🤣

Excuses hazitawasaidia mbele ya Dom the HQ
luck_real_estates_dodoma_171964801913282.jpg
luck_real_estates_dodoma_1719648019132350.jpg
luck_real_estates_dodoma_1719648019132418.jpg
luck_real_estates_dodoma_1719648019132914.jpg
udomfame_1719760418692571.jpg
udomfame_1719760418692151.jpg
udomfame_1719760418693115.jpg
udomfame_171976041869284.jpg
udomfame_1719760418692510.jpg
20240807_143822.jpg
 
Kuwa mjinga alafu unaconfidence inacost sana ase 😢
Wewe Jamaa ni mbishi sana,nilikuuliza ni wapi hakuna makazi kati ya Chamwino-CBD? Yaani Morogoro Road ndio isiwe na makazi wakati ndio Iko na development?

Au huijui Dom au ukifika experienve life ya Dom the HQ
Screenshot_20240605-205518.jpg
Screenshot_20240526-195116.jpg
Screenshot_20240704-112209.jpg
Screenshot_20240711-154105.jpg
Screenshot_20240712-083527.jpg
Screenshot_20240713-151441.jpg
Screenshot_20240715-124816.jpg
 
Back
Top Bottom