ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 66,537
- 75,687
Enzi za Mwendazake kulikuwa na control gani ambayo haupo Sasa hivi?Sio kwamba imekosekana supervision? Sasa hivi ni kama wakubwa wanajifanyia wanacho kiona kinafaa, no control tofauti na enzi za mwendazake
Ndiyo maana binafsi sikuona sababu ya kuhamisha makao makuu sema nchi imekuwa kama ya waabudu mizimu.Acheni ujinga na ujuaji.80% ya wafanyakazi walikuwa Dar tena Wana familia huko ,unategemea Kwa mda mfupi Makao Makuu yata settle?
As we speak Bado viwanja vya ndege vipo Dar na Arusha in case unataka kusafiri hapo unategemea nini?
Mwisho Sgr yenu imewasaidia kiasi watu wa Dar.
Ijumaa na JumapiliDAR - DODOMA Inakuwa busy jumapili maana ni mashindano ya V8 barabarani
Sababu zipo na ishu ya kuseto Mji Mkuu sio la overnightNdiyo maana binafsi sikuona sababu ya kuhamisha makao makuu sema nchi imekuwa kama ya waabudu mizimu.
Yaani mnafanya maamuzi kwa vile tu wakati huo Nyerere alisema makao makuu yawe Dodoma!
Hapo wanatunga safari za uongo wanaondoka na wapenzi wao kwenda kula starehe, kimsingi nchi imeoza hii ni rushwa tupu1. V8 zinatembezwa mwanzo-mwisho (400-1000kms) ifikapo weekend kisha kurudi Dom J3 alfajiri. Hapo NI mbali na wanaosafiri na ndege, SGR kila weekend kwa gharama za mwajiri wao.
2. Hii si sawa kwa walipa Kodi. Maendeleo tutasikia kwa Wenzetu arabuni
Destinations: Dar, Arusha na Mwanza kuponda Raha.
Zinapigwa full tank na posho za madereva kuwapeleka mabosi kwenda kunywa pombe na familia zao, ni taifa la kijinga kabisa hili kuwa kutokeaIjumaa na Jumapili
Nchi nyingi tu zimehamisha lakini walikuwa na sababu zao lakini sisi hatukuwa na sababu tena baada ya kushindwa kutekeleza azma yetu kwa zaidi ya miaka 40 labda sababu pekee iliyokuwa imebaki ni kumridhisha Nyerere huko alipo.Mwisho kwani Tanzania pekee ndio imehamisha Mji Mkuu?
Nchi ni tajiri na viongozi wake ni matajiri ila wananchi ni maskini!Hii ni nchi tajiri sana.
Hivyo ndio inatakiwa AfrikaNchi ni tajiri na viongozi wake ni matajiri ila wananchi ni maskini!
MaKaNta