Dodoma hapakaliki, Watu wa Jiji wanafunga biashara za Watu kisa Service Levy

Dodoma hapakaliki, Watu wa Jiji wanafunga biashara za Watu kisa Service Levy

Naona wameamua kudhibiti wafanya biashara wachache tu wawepo
Kama mnavyoambiwa msizaane na wazungu
Hapo kuna watu wakubwa nyuma ya biashara hizo
Wanataka muwaachie mji labda mkalime
 
Nchi ya hovyo utaijua tu. Serikali haijakusaidia kufungua biashara, haijakupa mkopo, haijakupa ujuzi namna ya kufungua biashara. Haijakufundisha namna ya kutengeneza product iendane na soko la kimataifa. Haijawasaidieni muweze hata kupeleka bidhaa zenu soko la kimataifa. Ila wanakuja na makufuli wanakufungia biashara Yako.

Ndo maana watu wanawarecord wanamtumia mange kimambi kuonesha upuuzi mmnaoufanya .

Hivi hamna organization iliyoko huko duniani ili tuwatumie video jinsi Tanzania tunavyonyanyasika?

Serikali zinakusanya zisipotapanya. Mnavuna mapato ambayo hata hamjayahangaikia . Nchi ya hovyo hii. Loh .

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Mshika Kibubu Mkuu alishasema " kama hatuendani na wanavyotaka tuhamie Burundi"

Ni wakati sasa wakufunga biashara na kutimkia Burundi.
 
Nchi ya hovyo utaijua tu. Serikali haijakusaidia kufungua biashara, haijakupa mkopo, haijakupa ujuzi namna ya kufungua biashara. Haijakufundisha namna ya kutengeneza product iendane na soko la kimataifa. Haijawasaidieni muweze hata kupeleka bidhaa zenu soko la kimataifa. Ila wanakuja na makufuli wanakufungia biashara Yako.

Ndo maana watu wanawarecord wanamtumia mange kimambi kuonesha upuuzi mmnaoufanya .

Hivi hamna organization iliyoko huko duniani ili tuwatumie video jinsi Tanzania tunavyonyanyasika?

Serikali zinakusanya zisipotapanya. Mnavuna mapato ambayo hata hamjayahangaikia . Nchi ya hovyo hii. Loh .

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Hakuna tatizo, maana nchi hii kila kitu anafanya mama wa shoka, iron lady, simba wa yuda, yule ambaye hajawahi tokea dunia nzima, chief wa machief, Dr Samia, jabali kuu.

Kazi iendelee
Cc Lucas mwanshambwa
 
Nchi ya ovyo utaijua tu. Serikali haijakusaidia kufungua biashara, haijakupa mkopo, haijakupa ujuzi namna ya kufungua biashara. Haijakufundisha namna ya kutengeneza product iendane na soko la kimataifa. Haijawasaidieni muweze hata kupeleka bidhaa zenu soko la kimataifa. Ila wanakuja na makufuli wanakufungia biashara Yako.

Ndo maana watu wanawarecord wanamtumia Mange Kimambi kuonesha upuuzi mnaoufanya .

Hivi hamna organization iliyoko huko duniani ili tuwatumie video jinsi Tanzania tunavyonyanyasika?

Serikali zinakusanya zisipotapanya. Mnavuna mapato ambayo hata hamjayahangaikia . Nchi ya ovyo hii. Loh .

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Labda ni kwaajili ya kunenepesha wabunge maana tunaambiwa wanapandishiwa posho toka 13 kwenda 18
 
Nchi ya ovyo utaijua tu. Serikali haijakusaidia kufungua biashara, haijakupa mkopo, haijakupa ujuzi namna ya kufungua biashara. Haijakufundisha namna ya kutengeneza product iendane na soko la kimataifa. Haijawasaidieni muweze hata kupeleka bidhaa zenu soko la kimataifa. Ila wanakuja na makufuli wanakufungia biashara Yako.

Ndo maana watu wanawarecord wanamtumia Mange Kimambi kuonesha upuuzi mnaoufanya .

Hivi hamna organization iliyoko huko duniani ili tuwatumie video jinsi Tanzania tunavyonyanyasika?

Serikali zinakusanya zisipotapanya. Mnavuna mapato ambayo hata hamjayahangaikia . Nchi ya ovyo hii. Loh .

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Serikali ya Tanzania inaongozwa na wasomi waliowekwa madarakani na wachawi, waganga pori na wasoma viganja ambao karibia wote ni TABULARASA.... Ukiona msomi anashiriki SHIRKI ujue alienda shule kama stages za ukuaji na siyo kuelimika

Kimsingi tunaishi kama mazombi ndani ya nchi huru inayopeperusha bendera yake kwa furaha huku wananchi WAKIHAHA
 
Nchi ya ovyo utaijua tu. Serikali haijakusaidia kufungua biashara, haijakupa mkopo, haijakupa ujuzi namna ya kufungua biashara. Haijakufundisha namna ya kutengeneza product iendane na soko la kimataifa. Haijawasaidieni muweze hata kupeleka bidhaa zenu soko la kimataifa. Ila wanakuja na makufuli wanakufungia biashara Yako.

Ndo maana watu wanawarecord wanamtumia Mange Kimambi kuonesha upuuzi mnaoufanya .

Hivi hamna organization iliyoko huko duniani ili tuwatumie video jinsi Tanzania tunavyonyanyasika?

Serikali zinakusanya zisipotapanya. Mnavuna mapato ambayo hata hamjayahangaikia . Nchi ya ovyo hii. Loh .

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Poleni.Hao wanaofunga wamepewa mamlaka na nani?
 
Nchi ya ovyo utaijua tu. Serikali haijakusaidia kufungua biashara, haijakupa mkopo, haijakupa ujuzi namna ya kufungua biashara. Haijakufundisha namna ya kutengeneza product iendane na soko la kimataifa. Haijawasaidieni muweze hata kupeleka bidhaa zenu soko la kimataifa. Ila wanakuja na makufuli wanakufungia biashara Yako.

Ndo maana watu wanawarecord wanamtumia Mange Kimambi kuonesha upuuzi mnaoufanya .

Hivi hamna organization iliyoko huko duniani ili tuwatumie video jinsi Tanzania tunavyonyanyasika?

Serikali zinakusanya zisipotapanya. Mnavuna mapato ambayo hata hamjayahangaikia . Nchi ya ovyo hii. Loh .

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
Leo nimesikiaa wapo ihumwa tra na jiji Kaz yao Ni kufunga maduka bila maelezo
 
Back
Top Bottom