Kuna nini?Uko Dar? au mikoani? Unafanya nini? Mpaka Bozi Boziana yuko Dodoma!
Ni mkutano mkuu wa chama long we kuliko vyote Afrika. Ni mkutano ambao unaenda kupanga sera za nchi kwa ajili ya vizazi vingi vijavyo.
Dodoma imejaa kushoto Julia, kaskazini na kusini. Karibu Dodoma View attachment 3203773View attachment 3203773View attachment 3203774View attachment 3203775
Huko kumebuma kilichowapeleka huko kingefanyika hata kwenye simu tu na laptop ikaishaUko Dar? au mikoani? Unafanya nini? Mpaka Bozi Boziana yuko Dodoma!
Ni mkutano mkuu wa chama kongwe kuliko vyote Afrika. Ni mkutano ambao unaenda kupanga sera za nchi kwa ajili ya vizazi vingi vijavyo. Baada ya kukaa na wana chadema wenzangu tukitukanana kwa karibu wiki nne, twende kwenye kongwe inayovusha
Dodoma imejaa kushoto kulia, kaskazini na kusini. Karibu Dodoma View attachment 3203773View attachment 3203773View attachment 3203774View attachment 3203775
Yaani nani afuatilie habari za chama la wazee. Cdm wana vibe bila hata wasanii. Ccm wanalazimisha mvuto kwa kutegemea wasanii ! Yaani ccm ni sawa na mzee anayetumia vumbi la kongo ili kuwa na kiwango.Mkuu, baada ya mkutano wa Bawacha, lemma ataendeleza utaratibu wa kusutana
Ujinga tu.Uko Dar? au mikoani? Unafanya nini? Mpaka Bozi Boziana yuko Dodoma!
Ni mkutano mkuu wa chama kongwe kuliko vyote Afrika. Ni mkutano ambao unaenda kupanga sera za nchi kwa ajili ya vizazi vingi vijavyo. Baada ya kukaa na wana chadema wenzangu tukitukanana kwa karibu wiki nne, twende kwenye kongwe inayovusha
Dodoma imejaa kushoto kulia, kaskazini na kusini. Karibu Dodoma View attachment 3203773View attachment 3203773View attachment 3203774View attachment 3203775
Kitu ganiTukio la kiwango cha dunia
Ungeingia bar ukatafuta mama moja, ungelala bure huku ukilipia kodi ya mbususu pekeeKuna kipindi nilipita Dom kulikuwa na mkutano kama huu.Kuzunguka tu na boda kutafuta lodge nilitumia 40 napoint .Kila lodge imejaa .Nikaja kuuziwa chumba kwa 80 pale fourways.Chumba lilikuwa linanuka mimavi na pombe .