Pre GE2025 Dodoma imejaa ikatapika: Kuna mtu kabaki Dar?! CCM yafunika, ni shangwe kila mahali kuelekea mkutano mkuu wa CCM

Pre GE2025 Dodoma imejaa ikatapika: Kuna mtu kabaki Dar?! CCM yafunika, ni shangwe kila mahali kuelekea mkutano mkuu wa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uko Dar? au mikoani? Unafanya nini? Mpaka Bozi Boziana yuko Dodoma!

Ni mkutano mkuu wa chama kongwe kuliko vyote Afrika. Ni mkutano ambao unaenda kupanga sera za nchi kwa ajili ya vizazi vingi vijavyo. Baada ya kukaa na wana CHADEMA wenzangu tukitukanana kwa karibu wiki nne, twende kwenye kongwe inayovusha

Soma Pia: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinana

Dodoma imejaa kushoto kulia, kaskazini na kusini. Karibu Dodoma View attachment 3203773View attachment 3203773View attachment 3203774View attachment 3203775
Matapeli yamejaa Dom, yamesomba wasanii wote . Hayaamini katika siasa za kisayansi Bali mazingaombwe. Wananchi wananuka Shida. Hela zao zimeenda kununua mabasi na kuhonga machawa. Yana mwisho lakini hayatadumu milele
 
Uko Dar? au mikoani? Unafanya nini? Mpaka Bozi Boziana yuko Dodoma!

Ni mkutano mkuu wa chama kongwe kuliko vyote Afrika. Ni mkutano ambao unaenda kupanga sera za nchi kwa ajili ya vizazi vingi vijavyo. Baada ya kukaa na wana CHADEMA wenzangu tukitukanana kwa karibu wiki nne, twende kwenye kongwe inayovusha

Soma Pia: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinana

Dodoma imejaa kushoto kulia, kaskazini na kusini. Karibu Dodoma View attachment 3203773View attachment 3203773View attachment 3203774View attachment 3203775
Ndom zimeadimika pia.. Kuna wanaoenda kuacha mbegu kuna wanaoenda kuchukua
 
Hivyo vijisanii uchwara vinaenda kufanyishwa ufuska tu huko Dodoma.
 
Sasa CHADEMA ndio habari, ccm hamkusoma alama za nyakati
 
Acha upuuzi mtoa mada..eti Kuna mtu kabaki dar kweli..hovyo kabisa ...
 
Upuu
Uko Dar? au mikoani? Unafanya nini? Mpaka Bozi Boziana yuko Dodoma!

Ni mkutano mkuu wa chama kongwe kuliko vyote Afrika. Ni mkutano ambao unaenda kupanga sera za nchi kwa ajili ya vizazi vingi vijavyo. Baada ya kukaa na wana CHADEMA wenzangu tukitukanana kwa karibu wiki nne, twende kwenye kongwe inayovusha

Soma Pia: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinana

Dodoma imejaa kushoto kulia, kaskazini na kusini. Karibu Dodoma View attachment 3203773View attachment 3203773View attachment 3203774View attachment 3203775
Upuuzi!
 
Walipo Dodoma Wanasema Wengi Wanazurura Tu Pia Ikumbukwe Dodoma Ni Ndogo Na Maeneo Ya City Centre Ni Ulipo Ofisi Ya CCM Nyerere Square

Marburg Sasa Inakwenda Kusambazwa Kwa Kasi
 
Walipo Dodoma Wanasema Wengi Wanazurura Tu Pia Ikumbukwe Dodoma Ni Ndogo Na Maeneo Ya City Centre Ni Ulipo Ofisi Ya CCM Nyerere Square

Marburg Sasa Inakwenda Kusambazwa Kwa Kasi
Waongo hao
 
Nilianza safari usiku wa jana na asubhi hii nimefika makao makuu ya nchi na ya chama changu cha CCM, hakika mji mzima ni Kijani tu bendera ni za CCM.

Wafanyabiashara bishara zao zinafanyika balaa. Kwa kweli Hongereni sana viongozi wangu kwa maandalizi mazuri. Nasubiri muda ufike kesho tu tumfahamu Makamu mwenyekiti wetu wa CCM

Kwahili Mama kipenzi chetu Dkt Samia Mitano tena hadi 2030.
 
Back
Top Bottom