Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 38,657
- 44,759
Vipi Lucas Mwashambwa hajaonekana huko?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Matapeli yamejaa Dom, yamesomba wasanii wote . Hayaamini katika siasa za kisayansi Bali mazingaombwe. Wananchi wananuka Shida. Hela zao zimeenda kununua mabasi na kuhonga machawa. Yana mwisho lakini hayatadumu mileleUko Dar? au mikoani? Unafanya nini? Mpaka Bozi Boziana yuko Dodoma!
Ni mkutano mkuu wa chama kongwe kuliko vyote Afrika. Ni mkutano ambao unaenda kupanga sera za nchi kwa ajili ya vizazi vingi vijavyo. Baada ya kukaa na wana CHADEMA wenzangu tukitukanana kwa karibu wiki nne, twende kwenye kongwe inayovusha
Soma Pia: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinana
Dodoma imejaa kushoto kulia, kaskazini na kusini. Karibu Dodoma View attachment 3203773View attachment 3203773View attachment 3203774View attachment 3203775
Ndom zimeadimika pia.. Kuna wanaoenda kuacha mbegu kuna wanaoenda kuchukuaUko Dar? au mikoani? Unafanya nini? Mpaka Bozi Boziana yuko Dodoma!
Ni mkutano mkuu wa chama kongwe kuliko vyote Afrika. Ni mkutano ambao unaenda kupanga sera za nchi kwa ajili ya vizazi vingi vijavyo. Baada ya kukaa na wana CHADEMA wenzangu tukitukanana kwa karibu wiki nne, twende kwenye kongwe inayovusha
Soma Pia: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinana
Dodoma imejaa kushoto kulia, kaskazini na kusini. Karibu Dodoma View attachment 3203773View attachment 3203773View attachment 3203774View attachment 3203775
Endelea kunengua huko dodoma tu, chama bila wasanii kinadodaMkuu, baada ya mkutano wa Bawacha, lemma ataendeleza utaratibu wa kusutana
Ujinga mtupu, kusanyiko la wezi na wauaji tuTukio la kiwango cha dunia
Nimemuona kadandia Lori hapa uyole.Mwashambwa kashafika au kakosa nauli tuanze kububujikwa na machozi
Nyie wapuuzi wa CCM ndiyo mnawaza ngonoUnawaza ngono tu
Eeh huku tuna jambo letu muhimu Tena ni la kistaarabu kabisa.Kuna nini?
Upuuzi!Uko Dar? au mikoani? Unafanya nini? Mpaka Bozi Boziana yuko Dodoma!
Ni mkutano mkuu wa chama kongwe kuliko vyote Afrika. Ni mkutano ambao unaenda kupanga sera za nchi kwa ajili ya vizazi vingi vijavyo. Baada ya kukaa na wana CHADEMA wenzangu tukitukanana kwa karibu wiki nne, twende kwenye kongwe inayovusha
Soma Pia: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinana
Dodoma imejaa kushoto kulia, kaskazini na kusini. Karibu Dodoma View attachment 3203773View attachment 3203773View attachment 3203774View attachment 3203775