Pre GE2025 Dodoma imejaa ikatapika: Kuna mtu kabaki Dar?! CCM yafunika, ni shangwe kila mahali kuelekea mkutano mkuu wa CCM

Pre GE2025 Dodoma imejaa ikatapika: Kuna mtu kabaki Dar?! CCM yafunika, ni shangwe kila mahali kuelekea mkutano mkuu wa CCM

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Uko Dar? au mikoani? Unafanya nini? Mpaka Bozi Boziana yuko Dodoma!

Ni mkutano mkuu wa chama kongwe kuliko vyote Afrika. Ni mkutano ambao unaenda kupanga sera za nchi kwa ajili ya vizazi vingi vijavyo. Baada ya kukaa na wana CHADEMA wenzangu tukitukanana kwa karibu wiki nne, twende kwenye kongwe inayovusha

Soma Pia: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinana

Dodoma imejaa kushoto kulia, kaskazini na kusini. Karibu Dodoma View attachment 3203773View attachment 3203773View attachment 3203774View attachment 3203775
Mwenye nipo safarini usiku huu naelekea Dodoma kwenye jambo kubwa kutoka kwa chama kubwa CCM
 
Habari iliyo mjini kwa sasa ni CHADEMA, hadi BBC hadi VOA. CCM wanafurukuta lakini wapi, hawana kiki.
Alafu ccm hawafanyi hivo kwaajili ya kiki, wamevuta watu wengi kule, hivo wanafanya kwaajili yao.
Kila mtu afanye anavyoweza, ccm ni kariba yake kuvuta wasanii na watu katika mikutano yao. Hivo sio dhambi. Ccm watajaza dodoma na wamejaza kama kawaida yao.
Kama chadema wanafanya ndani kwa ndani, au ACT, unyama tu.
Acha wanaccm waenjoy ccm yao. Kama chadema wanavyoinjoi media au kupigana tanganyika jeki.
 
Uko Dar? au mikoani? Unafanya nini? Mpaka Bozi Boziana yuko Dodoma!

Ni mkutano mkuu wa chama kongwe kuliko vyote Afrika. Ni mkutano ambao unaenda kupanga sera za nchi kwa ajili ya vizazi vingi vijavyo. Baada ya kukaa na wana CHADEMA wenzangu tukitukanana kwa karibu wiki nne, twende kwenye kongwe inayovusha

Soma Pia: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinana

Dodoma imejaa kushoto kulia, kaskazini na kusini. Karibu Dodoma View attachment 3203773View attachment 3203773View attachment 3203774View attachment 3203775
Wamejazana mpaka hakuna nafasi ya kukanyaga, huku mkutano wote jibu ni moja, ndiyooo! sawaa! Bora wangeokoa muda kwa kutumia facebook, CCM inahujumu maendeleo ya nchi huku ikijidai kukataza baa kuuza pombe mchana.
 
Uko Dar? au mikoani? Unafanya nini? Mpaka Bozi Boziana yuko Dodoma!

Ni mkutano mkuu wa chama kongwe kuliko vyote Afrika. Ni mkutano ambao unaenda kupanga sera za nchi kwa ajili ya vizazi vingi vijavyo. Baada ya kukaa na wana CHADEMA wenzangu tukitukanana kwa karibu wiki nne, twende kwenye kongwe inayovusha

Soma Pia: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinana

Dodoma imejaa kushoto kulia, kaskazini na kusini. Karibu Dodoma View attachment 3203773View attachment 3203773View attachment 3203774View attachment 3203775
Kwa sasa CHADEMA inamuhitaji sana LISSU kuliko MBOWE a.k.a Museveni.

Quote
 
Tangazo

Serikali itangaze tarehe 21/01/2025 kuwa siku ya mapumziko ili kuwezesha Watanzania wote kufuatilia uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

Hii itawapa fursa raia kushiriki na kuangalia mchakato wa uchaguzi kwa karibu, kuhakikisha kila mmoja anapata nafasi ya kutoa sauti yake katika demokrasia yetu.

Maelezo ya Ziada:
  • Tarehe: 21/01/2025
  • Madhumuni: Kufuata na kushiriki katika uchaguzi mkuu wa CHADEMA.

Tafadhali hakikisha unajiandaa na kuwa na taarifa sahihi kuhusu uchaguzi.
 
Uko Dar? au mikoani? Unafanya nini? Mpaka Bozi Boziana yuko Dodoma!

Ni mkutano mkuu wa chama kongwe kuliko vyote Afrika. Ni mkutano ambao unaenda kupanga sera za nchi kwa ajili ya vizazi vingi vijavyo. Baada ya kukaa na wana CHADEMA wenzangu tukitukanana kwa karibu wiki nne, twende kwenye kongwe inayovusha

Soma Pia: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinana

Dodoma imejaa kushoto kulia, kaskazini na kusini. Karibu Dodoma View attachment 3203773View attachment 3203773View attachment 3203774View attachment 3203775
Mwashambwa kashafika au kakosa nauli tuanze kububujikwa na machozi
 
Uko Dar? au mikoani? Unafanya nini? Mpaka Bozi Boziana yuko Dodoma!

Ni mkutano mkuu wa chama kongwe kuliko vyote Afrika. Ni mkutano ambao unaenda kupanga sera za nchi kwa ajili ya vizazi vingi vijavyo. Baada ya kukaa na wana CHADEMA wenzangu tukitukanana kwa karibu wiki nne, twende kwenye kongwe inayovusha

Soma Pia: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinana

Dodoma imejaa kushoto kulia, kaskazini na kusini. Karibu Dodoma View attachment 3203773View attachment 3203773View attachment 3203774View attachment 3203775
Kodi zetu zinatumika hovyo sana kwa kwenda kunajisi mji wa Dodoma!
 
Uko Dar? au mikoani? Unafanya nini? Mpaka Bozi Boziana yuko Dodoma!

Ni mkutano mkuu wa chama kongwe kuliko vyote Afrika. Ni mkutano ambao unaenda kupanga sera za nchi kwa ajili ya vizazi vingi vijavyo. Baada ya kukaa na wana CHADEMA wenzangu tukitukanana kwa karibu wiki nne, twende kwenye kongwe inayovusha

Soma Pia: CCM kufanya mkutano mkuu Januari 18 na 19 Dodoma, kumpata mrithi wa Kinana

Dodoma imejaa kushoto kulia, kaskazini na kusini. Karibu Dodoma View attachment 3203773View attachment 3203773View attachment 3203774View attachment 3203775
Nyie ambukizaneni tu ukimwi .
 
Nchi imeanza kuwa ngumu
 

Attachments

  • Snapinst.app_473984911_1134614028064911_7718193268126687777_n_1080.jpg
    Snapinst.app_473984911_1134614028064911_7718193268126687777_n_1080.jpg
    138.1 KB · Views: 2
Alafu ccm hawafanyi hivo kwaajili ya kiki, wamevuta watu wengi kule, hivo wanafanya kwaajili yao.
Kila mtu afanye anavyoweza, ccm ni kariba yake kuvuta wasanii na watu katika mikutano yao. Hivo sio dhambi. Ccm watajaza dodoma na wamejaza kama kawaida yao.
Kama chadema wanafanya ndani kwa ndani, au ACT, unyama tu.
Acha wanaccm waenjoy ccm yao. Kama chadema wanavyoinjoi media au kupigana tanganyika jeki.
Acha Chadema iendelee kukiki kwenye media mpaka za kimataifa kila siku zinafuatilia Minyukano. Faida zake zinakuja soon.

Ccm wakati huu ipo inapambana kuringishia ma-yuton na kukutanisha wasanii na wachawa. Kupanga ni kuchagua,Time will tell.
 
Back
Top Bottom