Dodoma kuna shida gani mbona kupata kazi kwenye Private Sector ni ngumu sana?

Dodoma kuna shida gani mbona kupata kazi kwenye Private Sector ni ngumu sana?

Kuna ndugu yangu alikuja Dodoma kutafuta pa kufanya kazi Baada ya kumaliza chuo, Ni mwaka wa pili huu kazi hapati, wala hata kuisikia zikitangazwa hamna. Kazi nyingi zinatangazwa location ni Dar, Bado naji uliza nafasi za kazi kwa Dodoma zinatangaziwa wapi?????
Bro, kampuni nyingi zipo Dar, huko mikoani ni matawi tu, ki takwimu, kwa, kila ajira 10,8 zinatoka Dar, ukimaliza chuo, baki/nenda Dar kama unatafuta ajira
 
Back
Top Bottom