Dodoma kuna shida gani mbona kupata kazi kwenye Private Sector ni ngumu sana?

Dodoma kuna shida gani mbona kupata kazi kwenye Private Sector ni ngumu sana?

Mtu kutafuta kazi na hapati kwenye taifa letu ambalo ni changa na bado vingi havijafanywa ni ugoigoi, labda aseme anachagua kazi na ajapata🤔
hatupendi kujishugulisha nakutumia nguvu na jasho
 
Ukitaka kazi nenda
1 Dar
2 Dar
3 Mwanza
4 Arusha

Uko kwingine labda ukafanye kazi sheli
 
Kuna ndugu yangu alikuja Dodoma kutafuta pa kufanya kazi Baada ya kumaliza chuo, Ni mwaka wa pili huu kazi hapati, wala hata kuisikia zikitangazwa hamna. Kazi nyingi zinatangazwa location ni Dar, Bado naji uliza nafasi za kazi kwa Dodoma zinatangaziwa wapi?
Unapataje kazi jangwani kirahisi? Kanyweshe maji ngamia
 
Huo ni mji wa serikali, ni wa mashirika na taasisi za serikali, sekta binafsi Mwanza, Dar, Arusha
 
Kuna ndugu yangu alikuja Dodoma kutafuta pa kufanya kazi Baada ya kumaliza chuo, Ni mwaka wa pili huu kazi hapati, wala hata kuisikia zikitangazwa hamna. Kazi nyingi zinatangazwa location ni Dar, Bado naji uliza nafasi za kazi kwa Dodoma zinatangaziwa wapi?
Dom ni construction site Kila sehemu Kuna ujenzi,Kwa nini kazi akose? Au anatafuta za kuwa baharia? 😁😁
 
Mambo ya mtandaoni bhana Kila mtu mjuaji asee, ukifatilia huu Uzi unaeza jiona fala .....ukweli mtaani kazi hamna yaani hadi saidia fundi inahitaji kujuana....yote hii inatokana na mfumo mbovu wa elimu yetu,yaani elimu ya Tanzania ni hovyo haimpi mtu skills za endapo hujaajiriwa ni nini kifate...shame.
 
Dom ni construction site Kila sehemu Kuna ujenzi,Kwa nini kazi akose? Au anatafuta za kuwa baharia? [emoji16][emoji16]
Bahati nzuri nazungukia karibu kila mahali penye miradi mikubwa ya ujenzi..

Mtawalaumu vijana bure tu.. kama hakuna anaekufahamu kwenye hizo site, kupata kazi ni ngumu sana!!
 
Back
Top Bottom