min -me
JF-Expert Member
- Jul 20, 2022
- 23,322
- 64,738
Sure labda anatafuta ajira ila sio kazi 🤔Shida ya wasomi wetu hawajui kutofautisha kati ya ajira na kazi.
Ukisema huna kazi basi wewe unatakiwa uuawe kabisa. Kazi nyingi mnoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sure labda anatafuta ajira ila sio kazi 🤔Shida ya wasomi wetu hawajui kutofautisha kati ya ajira na kazi.
Ukisema huna kazi basi wewe unatakiwa uuawe kabisa. Kazi nyingi mnoo
Mkuu shemen yetu ephen_ umemficha wapi?Sure labda anatafuta ajira ila sio kazi 🤔
Sure labda anatafuta ajira ila sio kazi 🤔
Fafanua mkuuAjira na Kazi utofauti wake upo Katika income and salary.
hatupendi kujishugulisha nakutumia nguvu na jashoMtu kutafuta kazi na hapati kwenye taifa letu ambalo ni changa na bado vingi havijafanywa ni ugoigoi, labda aseme anachagua kazi na ajapata🤔
Unapataje kazi jangwani kirahisi? Kanyweshe maji ngamiaKuna ndugu yangu alikuja Dodoma kutafuta pa kufanya kazi Baada ya kumaliza chuo, Ni mwaka wa pili huu kazi hapati, wala hata kuisikia zikitangazwa hamna. Kazi nyingi zinatangazwa location ni Dar, Bado naji uliza nafasi za kazi kwa Dodoma zinatangaziwa wapi?
Hizo hizo wengine wanazofanyaYani kupiga kazi mpka apewe connection? Alipo achape kazi ambazo wengine wanazifanya
Hahaha hahahaUnapataje kazi jangwani kirahisi? Kanyweshe maji ngamia
Dom ni construction site Kila sehemu Kuna ujenzi,Kwa nini kazi akose? Au anatafuta za kuwa baharia? 😁😁Kuna ndugu yangu alikuja Dodoma kutafuta pa kufanya kazi Baada ya kumaliza chuo, Ni mwaka wa pili huu kazi hapati, wala hata kuisikia zikitangazwa hamna. Kazi nyingi zinatangazwa location ni Dar, Bado naji uliza nafasi za kazi kwa Dodoma zinatangaziwa wapi?
Bahati nzuri nazungukia karibu kila mahali penye miradi mikubwa ya ujenzi..Dom ni construction site Kila sehemu Kuna ujenzi,Kwa nini kazi akose? Au anatafuta za kuwa baharia? [emoji16][emoji16]
Hiyo ni kote sio swala la Dom hata DarBahati nzuri nazungukia karibu kila mahali penye miradi mikubwa ya ujenzi..
Mtawalaumu vijana bure tu.. kama hakuna anaekufahamu kwenye hizo site, kupata kazi ni ngumu sana!!