Dodoma kuna shida gani mbona kupata kazi kwenye Private Sector ni ngumu sana?

Mrs Gudman

JF-Expert Member
Joined
Jul 3, 2015
Posts
613
Reaction score
1,297
Kuna ndugu yangu alikuja Dodoma kutafuta pa kufanya kazi Baada ya kumaliza chuo, Ni mwaka wa pili huu kazi hapati, wala hata kuisikia zikitangazwa hamna. Kazi nyingi zinatangazwa location ni Dar, Bado naji uliza nafasi za kazi kwa Dodoma zinatangaziwa wapi?
 
Bro, kampuni nyingi zipo Dar, huko mikoani ni matawi tu, ki takwimu, kwa, kila ajira 10,8 zinatoka Dar, ukimaliza chuo, baki/nenda Dar kama unatafuta ajira
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…