Dodoma: Maadhimisho ya Mei Mosi, Waliofukuzwa kwa vyeti feki kulipwa, ahadi ya Nyongeza ya Mishahara yatolewa, Unyanyasaji kazini wakemewa

Mkuu wewe subiri siku ya Saba Saba(siku ya wakulima) ukalilie ongezeko la Bei ya mazao, sisi tuache tulilie nyongeza ya mshahara, unadhani Kila mtu akiacha kazi kisa kuogopa kudai masrahi mazuri nani atalitumikia taifa letu?
 

Inawezekana kweli huyaoni kutegemea na jicho unalotumia - lakini wao wakitimiza wajibu wao, na siasa iwashinde nguvu- wao wafanyeje!!! Tafakari
 
Albert Bashite Nenda kawachape Viboko
 

Attachments

  • VID-20211019-WA0063.mp4
    577.6 KB
Hakuna kikubwa na cha ajabu atakachofanya kwa wafanyakazi wa Tanganyika huyo mkoloni kutoka Zanzibar

Kama hela nyingi anapeleka sehemu ndogo kama Zanzibar je hiyo ya kuwaongezea watanganyika mishahara kwa rate za maana ikowapi?
Kuwa na heshima huyo si mkoloni ni MTANZANIA mwenzako
 
Inatakiwa Mei Mosi iwe inatangulia kabla Jenister Mhagama kuongea au kusoma bajeti yake pale Dodoma!!!


Nadhani mnanielewa na mnafahamu alichokisema Bungeni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…