kainoris
Senior Member
- Jul 1, 2022
- 197
- 228
Inafurahisha sanaKama poti wamekufa hiyo ni habari njema
Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inafurahisha sanaKama poti wamekufa hiyo ni habari njema
Mbwa kala mbwaWamekufa Kwa mshahara wa 500k
Atanasio Malenda anaingia kwenye daraja la HamzaAskari Polisi wawili wameuawa huko Mpwapwa baada ya kutokea majibizano ya Risasi Kati ya Polisi na Mtuhumiwa
Mtuhumiwa huyo Athanasia Malenda naye ameuawa.
---
Askari Polisi wawili wamefariki dunia wakati wakifanya majibizano ya risasi na Mtuhumiwa Atanasio Malenda (30) ambaye walienda kumkamata usiku wa kuamkia leo December 18,2024 katika Kijiji cha Msagali Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma ambapo Mtuhumiwa huyo pia amefariki baada ya majibizano hayo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amesema “December 18,2024 majira ya saa saba usiku huko katika Kijiji cha Msagali Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma Askari Polisi D/Cpl. Jairo Boniface Kalanda na Pc. Alfred John walifariki dunia katika mapambano ya risasi wakati wakimkamata Atanasio Malenda (30), Mkulima, Mkazi wa kijiji cha Msagali aliyekuwa anatuhumiwa kwa tuhuma za unyang’anyi wa kutumia silaha ambapo alilkuwa amemjeruhi Yohana Lameck na kumpora kiasi cha Tsh. milioni “
“Askari Polisi hao wakiwa na wenzao walipata taarifa kuwa Mtuhumiwa huyo aliyekuwa anatafutwa yuko nyumbani kwake katika Kijiji Cha Msagali na walifika Kijijini hapo na kutafuta Uongozi wa Kijiji na kuelekea nao nyumbani kwa Mtuhumiwa huyo ambapo Mtuhumiwa huyo alitoka ndani na kuanza kuwashambulia Askari na katika majibizano hayo ndipo vikatokea vifo hivyo”
“Mtuhumiwa Atanasio Maleda nae amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Wilata ya Mpwapwa kutokana na majeraha aliyoyapata wakati wa mapambano hayo, aidha katika majibizano hayo Askari D/cpl. Msuka na Raia mmoja anayefahamika kwa jina la Masima Nyau wamejeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa”
Source: Ayo TV
Inasikitisha sana 🐼
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Wamekufa Kwa mshahara wa 500k
Tatizo ni pale wasiojulikana wanapojiita police na police kufanya operation zao kama wasiojulikana.Dawa ya majambazi ni kuyauwa tu.
Polisi msicheleweshe mnapo enda kukamata Jambazi.
Poleni sana kwa Askari walio poteza maosha
Rest in Peace ✌️ Mkulima, umetuwakilisha vyemaInasikitisha sana 🐼
Askari Polisi wawili wameuawa huko Mpwapwa baada ya kutokea majibizano ya Risasi Kati ya Polisi na Mtuhumiwa
Mtuhumiwa huyo Athanasia Malenda naye ameuawa.
---
Askari Polisi wawili wamefariki dunia wakati wakifanya majibizano ya risasi na Mtuhumiwa Atanasio Malenda (30) ambaye walienda kumkamata usiku wa kuamkia leo December 18,2024 katika Kijiji cha Msagali Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma ambapo Mtuhumiwa huyo pia amefariki baada ya majibizano hayo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amesema “December 18,2024 majira ya saa saba usiku huko katika Kijiji cha Msagali Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma Askari Polisi D/Cpl. Jairo Boniface Kalanda na Pc. Alfred John walifariki dunia katika mapambano ya risasi wakati wakimkamata Atanasio Malenda (30), Mkulima, Mkazi wa kijiji cha Msagali aliyekuwa anatuhumiwa kwa tuhuma za unyang’anyi wa kutumia silaha ambapo alilkuwa amemjeruhi Yohana Lameck na kumpora kiasi cha Tsh. milioni “
“Askari Polisi hao wakiwa na wenzao walipata taarifa kuwa Mtuhumiwa huyo aliyekuwa anatafutwa yuko nyumbani kwake katika Kijiji Cha Msagali na walifika Kijijini hapo na kutafuta Uongozi wa Kijiji na kuelekea nao nyumbani kwa Mtuhumiwa huyo ambapo Mtuhumiwa huyo alitoka ndani na kuanza kuwashambulia Askari na katika majibizano hayo ndipo vikatokea vifo hivyo”
“Mtuhumiwa Atanasio Maleda nae amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Wilata ya Mpwapwa kutokana na majeraha aliyoyapata wakati wa mapambano hayo, aidha katika majibizano hayo Askari D/cpl. Msuka na Raia mmoja anayefahamika kwa jina la Masima Nyau wamejeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa”
Source: Ayo TV
Inasikitisha sana 🐼
Kumeanza kupambazukaAskari Polisi wawili wameuawa huko Mpwapwa baada ya kutokea majibizano ya Risasi Kati ya Polisi na Mtuhumiwa
Mtuhumiwa huyo Athanasia Malenda naye ameuawa.
---
Askari Polisi wawili wamefariki dunia wakati wakifanya majibizano ya risasi na Mtuhumiwa Atanasio Malenda (30) ambaye walienda kumkamata usiku wa kuamkia leo December 18,2024 katika Kijiji cha Msagali Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma ambapo Mtuhumiwa huyo pia amefariki baada ya majibizano hayo.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amesema “December 18,2024 majira ya saa saba usiku huko katika Kijiji cha Msagali Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma Askari Polisi D/Cpl. Jairo Boniface Kalanda na Pc. Alfred John walifariki dunia katika mapambano ya risasi wakati wakimkamata Atanasio Malenda (30), Mkulima, Mkazi wa kijiji cha Msagali aliyekuwa anatuhumiwa kwa tuhuma za unyang’anyi wa kutumia silaha ambapo alilkuwa amemjeruhi Yohana Lameck na kumpora kiasi cha Tsh. milioni “
“Askari Polisi hao wakiwa na wenzao walipata taarifa kuwa Mtuhumiwa huyo aliyekuwa anatafutwa yuko nyumbani kwake katika Kijiji Cha Msagali na walifika Kijijini hapo na kutafuta Uongozi wa Kijiji na kuelekea nao nyumbani kwa Mtuhumiwa huyo ambapo Mtuhumiwa huyo alitoka ndani na kuanza kuwashambulia Askari na katika majibizano hayo ndipo vikatokea vifo hivyo”
“Mtuhumiwa Atanasio Maleda nae amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Wilata ya Mpwapwa kutokana na majeraha aliyoyapata wakati wa mapambano hayo, aidha katika majibizano hayo Askari D/cpl. Msuka na Raia mmoja anayefahamika kwa jina la Masima Nyau wamejeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa”
Source: Ayo TV
Inasikitisha sana 🐼
Tena wawiliKama poti wamekufa hiyo ni habari njema
Ila mshahara wa dhambi si mauti?Wamekufa Kwa mshahara wa 500k
Are you sure police wakiweka gear zao chini na wahalifu wakajua hawataguswa utakuwa kwenye nafasi ya kuandika upuuzi huu,utaweza kulala ucku na ukajamba kama kawaida yako?.Chuki yako dhidi ya police inaashiria yafuatayo either ulidhulumiwa/kuonewa na askari,mfuata mkumbo wa wanasiasa au muhalifu.Msitutoe kwenye reli na agenda zenu za kipumbavu kiasi cha kubariki uhalifu wa aina yoyote kisa tu una chuki na police.kwanini hakuua wote maaneeneer , hata aibu hawaoni eti walienda kumkamata usiku wa manane, nadhani dawa ndio hii mpaka waanze kuheshimu watu, maana hao jamaa wanajikuta sana.
Uandishi wako unaonesha kabisa we polisi.Are you sure police wakiweka gear zao chini na wahalifu wakajua hawataguswa utakuwa kwenye nafasi ya kuandika upuuzi huu,utaweza kulala ucku na ukajamba kama kawaida yako?.Chuki yako dhidi ya police inaashiria yafuatayo either ulidhulumiwa/kuonewa na askari,mfuata mkumbo wa wanasiasa au muhalifu.Msitutoe kwenye reli na agenda zenu za kipumbavu kiasi cha kubariki uhalifu wa aina yoyote kisa tu una chuki na police.
Sababu police ndo wanavyoandikaga? Au umeona nimeguswa?.kimsingi lazima tukubali Police wana mapungufu mengi especial linapokuja swala la utoaji wa haki bila kutoa pesa.Lakini hatuwezi fika point ya kuwashangilia majambazi kisa wameua police.Uandishi wako unaonesha kabisa we polisi.
wee polisi na hao wenzio wote umbwa tu tena omba mwana familia yako hata mmoja asije kurithi kazi zenu hizo za kuua wenzenu, huna weledi wa kuja kuvamia huu uzi na makasiriko yako ya kipolisiisiiemu hapa, angalia takwimu uone kama hata asilimia 1 ya watanzania kati ya 100 wana imani hata chembe na nyie umbwa, walaaniwa wakubwa, yaani mnaua wenzenu kama kuku mtegemee watu wakae kimya? Nonsense.Are you sure police wakiweka gear zao chini na wahalifu wakajua hawataguswa utakuwa kwenye nafasi ya kuandika upuuzi huu,utaweza kulala ucku na ukajamba kama kawaida yako?.Chuki yako dhidi ya police inaashiria yafuatayo either ulidhulumiwa/kuonewa na askari,mfuata mkumbo wa wanasiasa au muhalifu.Msitutoe kwenye reli na agenda zenu za kipumbavu kiasi cha kubariki uhalifu wa aina yoyote kisa tu una chuki na police.
wee polisi na hao wenzio wote umbwa tu tena omba mwana familia yako hata mmoja asije kurithi kazi zenu hizo za kuua wenzenu, huna weledi wa kuja kuvamia huu uzi na makasiriko yako ya kipolisiisiiemu hapa, angalia takwimu uone kama hata asilimia 1 ya watanzania kati ya 100 wana imani hata chembe na nyie umbwa, walaaniwa wakubwa, yaani mnaua wenzenu kama kuku mtegemee watu wakae kimya? Nonsense.