Dodoma: Majibizano ya Risasi Kati ya Polisi na Mtuhumiwa yaua askari Polisi Wawili na Mtuhumiwa mwenyewe!

Dodoma: Majibizano ya Risasi Kati ya Polisi na Mtuhumiwa yaua askari Polisi Wawili na Mtuhumiwa mwenyewe!

Askari Polisi wawili wameuawa huko Mpwapwa baada ya kutokea majibizano ya Risasi Kati ya Polisi na Mtuhumiwa

Mtuhumiwa huyo Athanasia Malenda naye ameuawa.
---

Askari Polisi wawili wamefariki dunia wakati wakifanya majibizano ya risasi na Mtuhumiwa Atanasio Malenda (30) ambaye walienda kumkamata usiku wa kuamkia leo December 18,2024 katika Kijiji cha Msagali Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma ambapo Mtuhumiwa huyo pia amefariki baada ya majibizano hayo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amesema “December 18,2024 majira ya saa saba usiku huko katika Kijiji cha Msagali Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma Askari Polisi D/Cpl. Jairo Boniface Kalanda na Pc. Alfred John walifariki dunia katika mapambano ya risasi wakati wakimkamata Atanasio Malenda (30), Mkulima, Mkazi wa kijiji cha Msagali aliyekuwa anatuhumiwa kwa tuhuma za unyang’anyi wa kutumia silaha ambapo alilkuwa amemjeruhi Yohana Lameck na kumpora kiasi cha Tsh. milioni “

“Askari Polisi hao wakiwa na wenzao walipata taarifa kuwa Mtuhumiwa huyo aliyekuwa anatafutwa yuko nyumbani kwake katika Kijiji Cha Msagali na walifika Kijijini hapo na kutafuta Uongozi wa Kijiji na kuelekea nao nyumbani kwa Mtuhumiwa huyo ambapo Mtuhumiwa huyo alitoka ndani na kuanza kuwashambulia Askari na katika majibizano hayo ndipo vikatokea vifo hivyo”

“Mtuhumiwa Atanasio Maleda nae amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Wilata ya Mpwapwa kutokana na majeraha aliyoyapata wakati wa mapambano hayo, aidha katika majibizano hayo Askari D/cpl. Msuka na Raia mmoja anayefahamika kwa jina la Masima Nyau wamejeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa”

Source: Ayo TV

Inasikitisha sana 🐼
Kawanyoosha ***** zao
 
wee polisi na hao wenzio wote umbwa tu tena omba mwana familia yako hata mmoja asije kurithi kazi zenu hizo za kuua wenzenu, huna weledi wa kuja kuvamia huu uzi na makasiriko yako ya kipolisiisiiemu hapa, angalia takwimu uone kama hata asilimia 1 ya watanzania kati ya 100 wana imani hata chembe na nyie umbwa, walaaniwa wakubwa, yaani mnaua wenzenu kama kuku mtegemee watu wakae kimya? Nonsense.
Sasa ntabishana na muuza/mvuta bangi kama wewe.Jina lako tu lina akisi akili ulizo nazo.
 
Wamekufa Kwa mshahara wa 500k
Sasa ulitaka walipwe milioni ngapi kwa nchi masikini kama tz,tuwape moyo askari wetu wanafanya kazi kubwa pamoja na mapungufu ya wachache wao,, kuna vikosi kazi vya polisi navifahamu,aisee wanapambana sana sana,kukosa wao nadhani mtaani kusingekarika,na sisi walevi huko maBar tungeporwa pesa kila siku.
 
Sababu police ndo wanavyoandikaga? Au umeona nimeguswa?.kimsingi lazima tukubali Police wana mapungufu mengi especial linapokuja swala la utoaji wa haki bila kutoa pesa.Lakini hatuwezi fika point ya kuwashangilia majambazi kisa wameua police.
Hii ni kweli KABISA...
 
Askari Polisi wawili wameuawa huko Mpwapwa baada ya kutokea majibizano ya Risasi Kati ya Polisi na Mtuhumiwa

Mtuhumiwa huyo Athanasia Malenda naye ameuawa.
---

Askari Polisi wawili wamefariki dunia wakati wakifanya majibizano ya risasi na Mtuhumiwa Atanasio Malenda (30) ambaye walienda kumkamata usiku wa kuamkia leo December 18,2024 katika Kijiji cha Msagali Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma ambapo Mtuhumiwa huyo pia amefariki baada ya majibizano hayo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amesema “December 18,2024 majira ya saa saba usiku huko katika Kijiji cha Msagali Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma Askari Polisi D/Cpl. Jairo Boniface Kalanda na Pc. Alfred John walifariki dunia katika mapambano ya risasi wakati wakimkamata Atanasio Malenda (30), Mkulima, Mkazi wa kijiji cha Msagali aliyekuwa anatuhumiwa kwa tuhuma za unyang’anyi wa kutumia silaha ambapo alilkuwa amemjeruhi Yohana Lameck na kumpora kiasi cha Tsh. milioni “

“Askari Polisi hao wakiwa na wenzao walipata taarifa kuwa Mtuhumiwa huyo aliyekuwa anatafutwa yuko nyumbani kwake katika Kijiji Cha Msagali na walifika Kijijini hapo na kutafuta Uongozi wa Kijiji na kuelekea nao nyumbani kwa Mtuhumiwa huyo ambapo Mtuhumiwa huyo alitoka ndani na kuanza kuwashambulia Askari na katika majibizano hayo ndipo vikatokea vifo hivyo”

“Mtuhumiwa Atanasio Maleda nae amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Wilata ya Mpwapwa kutokana na majeraha aliyoyapata wakati wa mapambano hayo, aidha katika majibizano hayo Askari D/cpl. Msuka na Raia mmoja anayefahamika kwa jina la Masima Nyau wamejeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa”

Source: Ayo TV

Inasikitisha sana 🐼
Haijalishi alikuwa mwizi ama laa simtetei lkn kitendo cha hao policcm kwenda kuwa malaika wa ulinzi ni jambo jema kwangu.
 
Are you sure police wakiweka gear zao chini na wahalifu wakajua hawataguswa utakuwa kwenye nafasi ya kuandika upuuzi huu,utaweza kulala ucku na ukajamba kama kawaida yako?.Chuki yako dhidi ya police inaashiria yafuatayo either ulidhulumiwa/kuonewa na askari,mfuata mkumbo wa wanasiasa au muhalifu.Msitutoe kwenye reli na agenda zenu za kipumbavu kiasi cha kubariki uhalifu wa aina yoyote kisa tu una chuki na police.
Ni bora raia tujipange kuliko kuwa na wahalifu wenye sare na kodi zetu zikiwalipa mishahara.
 
Mkulima, Mkazi wa kijiji cha Msagali aliyekuwa anatuhumiwa kwa tuhuma za unyang’anyi wa kutumia silaha ambapo alilkuwa amemjeruhi Yohana Lameck na kumpora kiasi cha Tsh. milioni “
Hizo milioni zitajwe ili kukamilisha habari
 
Askari Polisi wawili wameuawa huko Mpwapwa baada ya kutokea majibizano ya Risasi Kati ya Polisi na Mtuhumiwa

Mtuhumiwa huyo Athanasia Malenda naye ameuawa.
---

Askari Polisi wawili wamefariki dunia wakati wakifanya majibizano ya risasi na Mtuhumiwa Atanasio Malenda (30) ambaye walienda kumkamata usiku wa kuamkia leo December 18,2024 katika Kijiji cha Msagali Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma ambapo Mtuhumiwa huyo pia amefariki baada ya majibizano hayo.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amesema “December 18,2024 majira ya saa saba usiku huko katika Kijiji cha Msagali Wilaya ya Mpwapwa Mkoa wa Dodoma Askari Polisi D/Cpl. Jairo Boniface Kalanda na Pc. Alfred John walifariki dunia katika mapambano ya risasi wakati wakimkamata Atanasio Malenda (30), Mkulima, Mkazi wa kijiji cha Msagali aliyekuwa anatuhumiwa kwa tuhuma za unyang’anyi wa kutumia silaha ambapo alilkuwa amemjeruhi Yohana Lameck na kumpora kiasi cha Tsh. milioni “

“Askari Polisi hao wakiwa na wenzao walipata taarifa kuwa Mtuhumiwa huyo aliyekuwa anatafutwa yuko nyumbani kwake katika Kijiji Cha Msagali na walifika Kijijini hapo na kutafuta Uongozi wa Kijiji na kuelekea nao nyumbani kwa Mtuhumiwa huyo ambapo Mtuhumiwa huyo alitoka ndani na kuanza kuwashambulia Askari na katika majibizano hayo ndipo vikatokea vifo hivyo”

“Mtuhumiwa Atanasio Maleda nae amefariki dunia akiwa anapatiwa matibabu Hospitali ya Wilata ya Mpwapwa kutokana na majeraha aliyoyapata wakati wa mapambano hayo, aidha katika majibizano hayo Askari D/cpl. Msuka na Raia mmoja anayefahamika kwa jina la Masima Nyau wamejeruhiwa na wanaendelea na matibabu katika Hospitali ya Wilaya ya Mpwapwa”

Source: Ayo TV

Inasikitisha sana 🐼
kama ni mechi basi matokeo ni mbili kwa moja
 
Daaaah pumzika kwa Amani jirani yangu Alfred John, aisee alikuwa ni kijana mpole mno japo nilimuona kwa mwezi mmoja pale mpwapwa nimeumia sana [emoji24]
Upole wake ni danganya toto, kumbe Jambazi. Lol
 
Back
Top Bottom