Dodoma: Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango ashiriki ibada Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska

Dodoma: Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango ashiriki ibada Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska

Mungu ni mwema sana...

Sema Kigogo huko alipo anagogokaaa
 
Mkuu karejea nchini leo na moja kwa moja akaenda kanisani pale pale airport ya Dodoma. Unajua kwanini katua Dodoma moja kwa moja? Pia ni kweli kuwa alikuwa nje ya nchi ila ni kwa matibabu. Mimi ninachojiuliza kwani kuugua ni dhambi mpaka wafiche?
Afanyiwe operation ya koo halafu anyonge tai!.
P
 
Awa Ndo Akina Kigogo limewashuka shwaaaa
Kweli limewashuka. Aibu yao kabisa. Tumesali naye leo parokia ya K- ndege Dodoma misa ya pili. Nimefurahi sana kumuona. MUNGU endelea kumlinda, ili wanaomtakia mabaya waendelee kuaibika.
 
Kuna watu wali komenti R.I.P kabisa.

Watanzania ni wanafiki sana, Hizi "R.I.P" zimekuwa fasheni sasa, kutafuta kiki na kutaka attention.
 
Dini na siasa ni utapeli tu,basi ukimuona Mwansiasa, Mchungaji,Padri,au shehe wakiongea utadhani kuna utu ndani yao-kumbe wote wanafanya kazi ya kulaghai tu watu.

Mtu anaye amini dini na siasa hana akili,maana wote wenye akili Duniani hawakuwahi kuiamini dini wala siasa.
 
Afadhali maana watu wa vinyongo walikuwa washaanza kwa kweli.

Angalia vijana wanaojaribu kuleta chuki baina yetu ,kwa husda zao 👇👇Mtu kashaingiza udini hapo na kuna watu wanamsapot

Screenshot_20231210-111643.png
 
Afanyiwe operation ya koo halafu anyonge tai!.
P
Wapi nimesema alifanyiwa operesheni ya koo? Mpango aliondoka kwenye ziara mkoa wa Njombe kimya kimya akaenda Ujeruman kutibiwa baada ya kitu fulani (Sitakitaja) kwenye mwili wake kubadilika ghafla
 
Back
Top Bottom