Dodoma: Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango ashiriki ibada Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska

Dodoma: Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango ashiriki ibada Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska

Mmoj
Tupe ushahidi kuwa ni leo!

Mmojawapo ni wewe. Ushahidi gani wakati picha unaziona. Tuliosali naye leo misa ya pili, parokia ya K-ndege dodoma ni ushahidi tosha. Yamewashuka kabisa. Na mkome. MUNGU endelea kumlinda . Mliomzushia msipotubu mtatangulia nyie. Sura zimewasinyaa.
 
Akubali kwa nani sasa?
Anyamaze, dunia ya sasa haina nafasi ya uongo.
Anaweza kutajiwa hosp. Alipokuwa anatibiwa, ugonjwa hata daktari wake.

Mambo mengine kama kiongozi unayanyamazia tu.

Ameahau corona ilivyomdhalilisha?
 
Carbon Markets
Alipaswa awepo Dubai COP28 Frontline...But hatukumuona huko.....
Carbon Markets in Africa ni GIZA TORORO....mbwa mwitu katika kundi la Kondoo

Mseminarist watu wamefurahi kukuona wana matumaini KWAKO....
 
bongo kuna watu wa ajabu sana!
mnalazimisha mpaka vifo?
mnahoji kabisa imekuaje kuaje mpaka yupo hai!?

sasa hata kama anaumwa wakificha wana halali mana kwa roho hizi! aisee nyi watu wachawi!
 
17 I will not die but live, and will proclaim what the LORD has done.
Zabuti ya 118.
Badala ya kupunguza maswali nukuu kama hii inaongeza maswali.
Kazi maalum. Toka lini kiongozi akaenda kufanya kazi maalim kimya kimya? Kwani yeye TISS?
Pia ametuondoa wasiwasi kwamba yenye siyo robotoid.
Mtu ametoweka,hataki kusema kusema alikwenda wapi,lakini sasa anatuondoa wasiwasi kwamba yeye siyo robotoid.
 
Mlokua mnamzushia kifo mna hali gani?Mlokua mnatangaza na kujiapiza kwamba akionekana mtafuta page zenu mshafuta?Mlokua mnapiga ngoma ya nchimbi na kuanza kumpost mpo wapi?Huwezi kushindana na Mungu hata kidogo!! Kwa mara nyingine wahuni na genge lenu mmefail again!!

Kama mnadhani mtafanikiwa kama mlivyofanikiwa kipindi kile basi safari hii mmechemka Mungu wetu hawezi kuruhusu hilo liwe labda atake yeye

Hii tabia ya kuzushia watu vifo siyo nzuri hata kidogo!! Na ingekua ni busara hawa wahuni washughulikiwe humo humo ndani ya chama na mtandao wao!!Lakini inakua ni vigumu maana wana mizizi kila mahali.

=======

Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na Mapadre mara baada ya kushiriki Ibada ya Jumapili ktk Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege Dodoma leo tarehe 10 Desemba 2023.

Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango ameungana na waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege mkoani Dodoma katika Ibada ya Jumapili leo Desemba 10, 2023. Ibada hiyo imeongozwa na Padre Dionis Paskal Safari.

Akizungumza mara baada ya kumalizika kwa ibada hiyo, Dk Mpango amewaasa Watanzania kutumia vema mitandao ya kijamii.

Amesema matumizi yasiofaa ya mitandao ya kijamii yamekuwa yakiumiza watu wengi hivyo yampasa kila mmoja kutumia vema pamoja na kuwa na hofu ya Mwenyezi Mungu.

Makamu wa Rais amewashukuru waumini hao kwa kuendelea kumuombea ili aweze kutekeleza vema majukumu yake.
View attachment 2838329
Mshana Jr leta mishumaa mingine
 
Asante Mungu!, maana...!.

Ila pia sisi Matomaso tupo!, kwa vile tulielezwa kuwa yupo nje ya nchi kikazi, tulitegemea picha ya kwanza ni picha ya akirejea nchini.

Picha ya pili ni VP akiwa popote kufanya lolote ni kumwakilisha rais, hivyo tulitegemea siku akirudi, apokelewe, aonekane akitoa mrejesho wa safari kwa aliyemtuma!.

Kama hii picha ni kweli ni ya leo, inamaana jana VP alikuwa Dodoma!, hivyo alitarajiwa kuonekana pale uwanjani kwenye maadhimisho ya uhuru!.

Anyway, kitu muhimu ni tumemuona yuko bukheri wa afya, tena amenyonga tai, hivyo kumaanisha hata ile taarifa kuwa ana hali fulani ni uzushi!, ingekuwa kweli, asingenyonga tai leo!. Hata hivyo asante kwa hii picha roho zetu zimetulia, ngoja nipitie meta data za hii picha kuithibisha ni ya leo!. Nimethibitisha
View: https://youtu.be/wytTpiQr4HA

Asante tena.

P

Mkutano wa COP28 Dubai....unganisha nukta...nisome kwa jicho la tatu
 
Wapi nimesema alifanyiwa operesheni ya koo? Mpango aliondoka kwenye ziara mkoa wa Njombe kimya kimya akaenda Ujeruman kutibiwa baada ya kitu fulani (Sitakitaja) kwenye mwili wake kubadilika ghafla
Dah! Life haliko fear mwanangu, tukaze tu hivyo hivyo,
 
Kama kichwa cha thread kinavyojisleza

Uungwana ni Vitendo ombeni radhi kwa PM

Ahsanteni sana 😄
 
Asante Mungu!, maana...!.

Ila pia sisi Matomaso tupo!, kwa vile tulielezwa kuwa yupo nje ya nchi kikazi, tulitegemea picha ya kwanza ni picha ya akirejea nchini.

Picha ya pili ni VP akiwa popote kufanya lolote ni kumwakilisha rais, hivyo tulitegemea siku akirudi, apokelewe, aonekane akitoa mrejesho wa safari kwa aliyemtuma!.

Kama hii picha ni kweli ni ya leo, inamaana jana VP alikuwa Dodoma!, hivyo alitarajiwa kuonekana pale uwanjani kwenye maadhimisho ya uhuru!.

Anyway, kitu muhimu ni tumemuona yuko bukheri wa afya, tena amenyonga tai, hivyo kumaanisha hata ile taarifa kuwa ana hali fulani ni uzushi!, ingekuwa kweli, asingenyonga tai leo!. Hata hivyo asante kwa hii picha roho zetu zimetulia, ngoja nipitie meta data za hii picha kuithibisha ni ya leo!. Nimethibitisha
View: https://youtu.be/wytTpiQr4HA

Asante tena.

P

Picha ya kurejea nchini mbona ipo mkuu
 
Mimi hata simtakiagi mtu kifa hata awe adui yangu.
Ukweli ni kwamba anajidhalilisha.

Kitendo cha kuonekana hadharani kilitosha kutoa ujumbe.

Mtu mkubwa kama yeye kujibu mapigo hana tofauti na ASHA NGEDERE😂😂😂
😂😂😂

Mamajusi wakapita njia nyingine hawakurudi kwa Herode!
 
Back
Top Bottom