Tupe ushahidi kuwa ni leo!
Anyamaze, dunia ya sasa haina nafasi ya uongo.Akubali kwa nani sasa?
Mbona umekasirika sana?Anyamaze, dunia ya sasa haina nafasi ya uongo.
Anaweza kutajiwa hosp. Alipokuwa anatibiwa, ugonjwa hata daktari wake.
Mambo mengine kama kiongozi unayanyamazia tu.
Ameahau corona ilivyomdhalilisha?
Falasi sana weweπ€£π€£Huyu dingi anapenda kujificha ficha sana, kuna siku atajificha jumla awe makini.
Mshana Jr leta mishumaa mingineMlokua mnamzushia kifo mna hali gani?Mlokua mnatangaza na kujiapiza kwamba akionekana mtafuta page zenu mshafuta?Mlokua mnapiga ngoma ya nchimbi na kuanza kumpost mpo wapi?Huwezi kushindana na Mungu hata kidogo!! Kwa mara nyingine wahuni na genge lenu mmefail again!!
Kama mnadhani mtafanikiwa kama mlivyofanikiwa kipindi kile basi safari hii mmechemka Mungu wetu hawezi kuruhusu hilo liwe labda atake yeye
Hii tabia ya kuzushia watu vifo siyo nzuri hata kidogo!! Na ingekua ni busara hawa wahuni washughulikiwe humo humo ndani ya chama na mtandao wao!!Lakini inakua ni vigumu maana wana mizizi kila mahali.
=======
Makamu wa Rais Dkt. Philip Isdor Mpango akizungumza na Mapadre mara baada ya kushiriki Ibada ya Jumapili ktk Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege Dodoma leo tarehe 10 Desemba 2023.
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango ameungana na waumini wa Kanisa Katoliki Parokia ya Mwenyeheri Maria Theresa Ledochowska Kiwanja cha Ndege mkoani Dodoma katika Ibada ya Jumapili leo Desemba 10, 2023. Ibada hiyo imeongozwa na Padre Dionis Paskal Safari.
Akizungumza mara baada ya kumalizika kwa ibada hiyo, Dk Mpango amewaasa Watanzania kutumia vema mitandao ya kijamii.
Amesema matumizi yasiofaa ya mitandao ya kijamii yamekuwa yakiumiza watu wengi hivyo yampasa kila mmoja kutumia vema pamoja na kuwa na hofu ya Mwenyezi Mungu.
Makamu wa Rais amewashukuru waumini hao kwa kuendelea kumuombea ili aweze kutekeleza vema majukumu yake.
View attachment 2838329
Wengi wachawi tu hao,, wanajua wanayoyafanya
Uthibitisho ni huuTuthibitishie kama ni ya leo....Mungu ni mwema
Mkutano wa COP28 Dubai....unganisha nukta...nisome kwa jicho la tatuAsante Mungu!, maana...!.
Ila pia sisi Matomaso tupo!, kwa vile tulielezwa kuwa yupo nje ya nchi kikazi, tulitegemea picha ya kwanza ni picha ya akirejea nchini.
Picha ya pili ni VP akiwa popote kufanya lolote ni kumwakilisha rais, hivyo tulitegemea siku akirudi, apokelewe, aonekane akitoa mrejesho wa safari kwa aliyemtuma!.
Kama hii picha ni kweli ni ya leo, inamaana jana VP alikuwa Dodoma!, hivyo alitarajiwa kuonekana pale uwanjani kwenye maadhimisho ya uhuru!.
Anyway, kitu muhimu ni tumemuona yuko bukheri wa afya, tena amenyonga tai, hivyo kumaanisha hata ile taarifa kuwa ana hali fulani ni uzushi!, ingekuwa kweli, asingenyonga tai leo!. Hata hivyo asante kwa hii picha roho zetu zimetulia, ngoja nipitie meta data za hii picha kuithibisha ni ya leo!. Nimethibitisha
View: https://youtu.be/wytTpiQr4HA
Asante tena.
P
Dah! Life haliko fear mwanangu, tukaze tu hivyo hivyo,Wapi nimesema alifanyiwa operesheni ya koo? Mpango aliondoka kwenye ziara mkoa wa Njombe kimya kimya akaenda Ujeruman kutibiwa baada ya kitu fulani (Sitakitaja) kwenye mwili wake kubadilika ghafla
Mimi hata simtakiagi mtu kifa hata awe adui yangu.Mbona umekasirika sana?
Mchawi utamjua tu ππ
Picha ya kurejea nchini mbona ipo mkuuAsante Mungu!, maana...!.
Ila pia sisi Matomaso tupo!, kwa vile tulielezwa kuwa yupo nje ya nchi kikazi, tulitegemea picha ya kwanza ni picha ya akirejea nchini.
Picha ya pili ni VP akiwa popote kufanya lolote ni kumwakilisha rais, hivyo tulitegemea siku akirudi, apokelewe, aonekane akitoa mrejesho wa safari kwa aliyemtuma!.
Kama hii picha ni kweli ni ya leo, inamaana jana VP alikuwa Dodoma!, hivyo alitarajiwa kuonekana pale uwanjani kwenye maadhimisho ya uhuru!.
Anyway, kitu muhimu ni tumemuona yuko bukheri wa afya, tena amenyonga tai, hivyo kumaanisha hata ile taarifa kuwa ana hali fulani ni uzushi!, ingekuwa kweli, asingenyonga tai leo!. Hata hivyo asante kwa hii picha roho zetu zimetulia, ngoja nipitie meta data za hii picha kuithibisha ni ya leo!. Nimethibitisha
View: https://youtu.be/wytTpiQr4HA
Asante tena.
P
πππMimi hata simtakiagi mtu kifa hata awe adui yangu.
Ukweli ni kwamba anajidhalilisha.
Kitendo cha kuonekana hadharani kilitosha kutoa ujumbe.
Mtu mkubwa kama yeye kujibu mapigo hana tofauti na ASHA NGEDEREπππ
Wakkikujibu unitag. Hizi ni picha za 2020Tupe ushahidi kuwa ni leo!
Niko proud kuwa mchatolicSafi
Kanisa Moja Takatifu La Mitume π
Halijawahi Kushindwa popote duniani!