Dodoma: Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akutana kwa mazungumzo na Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba

Dodoma: Makamu wa Rais Dkt. Philip Mpango akutana kwa mazungumzo na Waziri wa Fedha Dkt. Mwigulu Nchemba

Katiba chama chake hakutaki.
2025 ahame chama agombee kupitia chama kingine ndo atakuwa tofauti sana.
Mkwere walimpiga mkwara akaamua kuiacha rasim inaninginia.
Hivi ukiwa Rais na Mwenyekiti nani atakutisha kweli ukiamua kwa dhati ? Labda jeshi pekee.....hao wazee na wastaafu mmmm mwendazake aliwanyamazisha woote...Mama anaweza akiamua
 
Hivi ukiwa Rais na Mwenyekiti nani atakutisha kweli ukiamua kwa dhati ? Labda jeshi pekee.....hao wazee na wastaafu mmmm mwendazake aliwanyamazisha woote...Mama anaweza akiamua
Mkuu huwezi kufurukuta, ndani ya CCM makundi yapo yanafunikwa tu na madaraka ya nchi.
Hata marehemu si kwamba alikuwa namtandao mkubwa.
JK yupo vizuri lakini aliiogopa katiba mpya.
 
Back
Top Bottom