Dodoma: Makamu wa Rais, Mpango amtembelea Festo Dugange Hospitali ya Benjamin Mkapa

Kama ni kweli, inakuwaje tuwe na viongozi wazinzi?!!! Uadilifu unatokea wapi hapo wakati kiongozi ni mzinzi?!!!!

Ndio maana kila mwaka ripoti ya CAG inaonyesha ubadhirifu wa fedha za umma kwasababu walio wengi sio waadilifu.....hili ni Janga, inatupasa kama Taifa kutengeneza viongozi waadilifu na wenye hofu ya Mungu.
 

Kwa mtu ambaye ni waziri tena Tz maswali yako yote hayana jibu maana hakuna mtu ambaye anajipenda wawe polisi au nani atagusa!
 
Amuonye kama yanayosemwa ni kweli,kuchepuka na mke wa mtu,siyo vema.
... na wala sio kosa kisheria kwa mujibu wa sheria za Tanzania kuchepuka na mke wa mtu as long as mmekubaliana. Tena mumewe akiwakuta kuna taratibu za kufuata na sio kuleta fujo au kuumiza watu!
 
M
Mchepuko noma
 
nitakuwa wa mwisho kuamini uadilifu wa hawa viongozi wakuu si makamu wa rais, si waziri mkuu. Waziri mkuu ndiyo amenikatisha tamaa kupitiliza. Hawa wote ni waovu na wanafiki wakubwa. Hivi wananchi wanapoona mambo km haya watawezaje kuwaamini ktk kusimamia maadili? Bila hata haya wanamtembelea badala hata wangekaa kimya. Hizi ni dharau kubwa sana kwa wananchi.
 
Je ni vipi kuhusu gari yetu, au kwa kuwa wamezoea kuchezea pesa zetu?
 
Tabia za watu wachache zikachelewesha mradi wa kimkakati duh
 
Maelezo ya picha,Pole,punguza speed mzee,siunaona sasa mambo yenyewe yalivokaa vibaya...
 
Niece. Maadili ni Bora kuliko ovyo na ovyo kabisa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…