Dodoma: Mama na mwanaye walawitiwa na kisha kuuliwa na watu wasiyojulikana

Dodoma: Mama na mwanaye walawitiwa na kisha kuuliwa na watu wasiyojulikana

Kwa nini Mungu hakuwalinda wasilawitiwe na kuuliwa?

Mungu kwa uwezo wake alionao angeweza kabisa kuwafanya waishiwe nguvu za kiume hao watu na hivyo kuwaepusha hao wahanga na kulawitiwa.

Pia, Mungu angeliweza kabisa kuzijaza nyoyo zao na wingi wa mapenzi na kuwaondolea chuki iliyopelekea kuwafanya wafanye walichokifanya.

Na kwa nini Mungu hakuingia vichwani mwa hao wauaji na kuwabadili mawazo yao?

Au Mungu alikuwa hawapendi hao wahanga?

Huyo Mungu ana kesi nyingi sana za kujibu….
 
Mama na mtoto wake wa kike, wakazi wa mtaa wa Muungano jijini Dodoma, wameuawa baada ya kufanyiwa vitendo vya ukatili na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo Septemba 6, 2024.

Waliouawa ni Mwamvita Mwakibasi (33) na binti yake Salma Ramadhan (13), mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Mkonze, jijini Dodoma.

Dada wa marehemu, Pendo Mwakibasi, ameeleza kuwa alipigiwa simu na mama yao mzazi kutoka Mbeya saa 8:00 usiku wa kuamkia leo, akiambiwa kuwa mdogo wake amevamiwa nyumbani kwake.

Pia soma: Miili ya wanawake wawili yaokotwa Dodoma

Alipofika nyumbani hapo, aliwakuta mdogo wake na mtoto wake wakiwa katika hali mbaya, wakitokwa damu sehemu mbalimbali za miili yao na wakiwa hawawezi kuongea.

Amesema waliwapeleka hospitali, lakini alihisi mdogo wake tayari alikuwa amefariki. Salma aliwekewa oksijeni na dripu, lakini baadaye wote wawili walifariki dunia.
Waliouawa ni Mwamvita Mwakibasi (33) na binti yake Salma Ramadhan (13), mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Mkonze, jijini Dodoma.😭😭😭
 
Haya yote ni matokeo ya uongozi legelege.... Kichwa cha familia kikishakuwa kibovu, familia nzima inakuwa mbovu, kila mtu Kambale

Leo hii hapa nikimtukana Rais vyombo vyote vya usalama vitakuwa busy kunitafuta na wanaweza kunipata ndani ya siku tatu tu. Kasheshe inakuja kwenye watuhumiwa wa mauaji au watekaji, miaka na miaka hadithi itakuwa ile ile ya "tunafanya uchunguzi"
 
Mama na mtoto wake wa kike, wakazi wa mtaa wa Muungano jijini Dodoma, wameuawa baada ya kufanyiwa vitendo vya ukatili na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo Septemba 6, 2024.

Waliouawa ni Mwamvita Mwakibasi (33) na binti yake Salma Ramadhan (13), mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Mkonze, jijini Dodoma.

Dada wa marehemu, Pendo Mwakibasi, ameeleza kuwa alipigiwa simu na mama yao mzazi kutoka Mbeya saa 8:00 usiku wa kuamkia leo, akiambiwa kuwa mdogo wake amevamiwa nyumbani kwake.

Pia soma: Miili ya wanawake wawili yaokotwa Dodoma

Alipofika nyumbani hapo, aliwakuta mdogo wake na mtoto wake wakiwa katika hali mbaya, wakitokwa damu sehemu mbalimbali za miili yao na wakiwa hawawezi kuongea.

Amesema waliwapeleka hospitali, lakini alihisi mdogo wake tayari alikuwa amefariki. Salma aliwekewa oksijeni na dripu, lakini baadaye wote wawili walifariki dunia.
Walio tumwa na afande wako wengi Dodoma!
 
Back
Top Bottom