Dodoma: Mama na mwanaye walawitiwa na kisha kuuliwa na watu wasiyojulikana

Dodoma: Mama na mwanaye walawitiwa na kisha kuuliwa na watu wasiyojulikana

Wamepiga simu hadi Mbeya ila majirani hawakusikia kabisa!

Hiyo ndiyo Tanzania ambako usiombe yakukute.

Watu kimyaaa!
Watanzania siku hizi niwanafiki sana... Majirani wameshindwa toa msaada lakini ukiwakuta wanavyo hadithia tukio utachoka...

Siku moja nilikiwa zangu stand ya daladao maeneo ya chanika... Mishale kama ya saa 12 hivi asubuhi... Kule Kuna shida ya sana ya usafiri hasa kwa wanafunzi... Nipo stand gari ikaja mwanafunzi wa kiume akawa anaikimbilia konda alimsukuma vibaya mno... Nusura ateleze aingie uvunguni mwa gari... Maajabu watu wamekausha nadhani walikuwa wanajifanya hayawahusu.... Nilimaindi sana ikabidi nisogee nimuulize konda kwa nini kamsukuma mtoto na je angemuimiza konda anatoa matusi afu watu bado wancheka wanaona kama anafurahisha NILIBADILIKA GHAFLA NIKAMSHIKA YULE MWANAFUNZI MKONO NIKAPANDA NAE KWENYE GARI INGAWA HAIKUWA ROOTI... NIKAJISEMEA HUYU NAENDA NAE HADI MWISHO... NIKAMWAMBIA KONDA UKIONGOEA CHOCHOTE NITAKUTIA MIKONDE HADI USHANGAE... AKANYWEA... GARI IMEEENDA MWISHO WA SIKU AKASHUKIA NJIANI NIKAONA KONDA MWENGINE ANATOKEA NYUMA GARI ANAIUSANYA NAULI.... NIKASEMA BAHATI YAKE... LAKINI YOTE KWA YOTE WATZ WANAFIKI SANA SIKU HIZI
 
Haya yote ni matokeo ya uongozi legelege.... Kichwa cha familia kikishakuwa kibovu, familia nzima inakuwa mbovu, kila mtu Kambale

Leo hii hapa nikimtukana Rais vyombo vyote vya usalama vitakuwa busy kunitafuta na wanaweza kunipata ndani ya siku tatu tu. Kasheshe inakuja kwenye watuhumiwa wa mauaji au watekaji, miaka na miaka hadithi itakuwa ile ile ya "tunafanya uchunguzi"
Kwahiyo boss kubwa ulitaka Kila mtu alindwe Kwa kufuatwa Kwa nyuma Kila aendapo?
 
Watanzania siku hizi niwanafiki sana... Majirani wameshindwa toa msaada lakini ukiwakuta wanavyo hadithia tukio utachoka...

Siku moja nilikiwa zangu stand ya daladao maeneo ya chanika... Mishale kama ya saa 12 hivi asubuhi... Kule Kuna shida ya sana ya usafiri hasa kwa wanafunzi... Nipo stand gari ikaja mwanafunzi wa kiume akawa anaikimbilia konda alimsukuma vibaya mno... Nusura ateleze aingie uvunguni mwa gari... Maajabu watu wamekausha nadhani walikuwa wanajifanya hayawahusu.... Nilimaindi sana ikabidi nisogee nimuulize konda kwa nini kamsukuma mtoto na je angemuimiza konda anatoa matusi afu watu bado wancheka wanaona kama anafurahisha NILIBADILIKA GHAFLA NIKAMSHIKA YULE MWANAFUNZI MKONO NIKAPANDA NAE KWENYE GARI INGAWA HAIKUWA ROOTI... NIKAJISEMEA HUYU NAENDA NAE HADI MWISHO... NIKAMWAMBIA KONDA UKIONGOEA CHOCHOTE NITAKUTIA MIKONDE HADI USHANGAE... AKANYWEA... GARI IMEEENDA MWISHO WA SIKU AKASHUKIA NJIANI NIKAONA KONDA MWENGINE ANATOKEA NYUMA GARI ANAIUSANYA NAULI.... NIKASEMA BAHATI YAKE... LAKINI YOTE KWA YOTE WATZ WANAFIKI SANA SIKU HIZI
Watu ni wanafiki sana
 
Mama na mtoto wake wa kike, wakazi wa mtaa wa Muungano jijini Dodoma, wameuawa baada ya kufanyiwa vitendo vya ukatili na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo Septemba 6, 2024.

Waliouawa ni Mwamvita Mwakibasi (33) na binti yake Salma Ramadhan (13), mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Mkonze, jijini Dodoma.

Dada wa marehemu, Pendo Mwakibasi, ameeleza kuwa alipigiwa simu na mama yao mzazi kutoka Mbeya saa 8:00 usiku wa kuamkia leo, akiambiwa kuwa mdogo wake amevamiwa nyumbani kwake.

Pia soma: Miili ya wanawake wawili yaokotwa Dodoma

Alipofika nyumbani hapo, aliwakuta mdogo wake na mtoto wake wakiwa katika hali mbaya, wakitokwa damu sehemu mbalimbali za miili yao na wakiwa hawawezi kuongea.

Amesema waliwapeleka hospitali, lakini alihisi mdogo wake tayari alikuwa amefariki. Salma aliwekewa oksijeni na dripu, lakini baadaye wote wawili walifariki dunia.
WaTz, wapenda Amani! Tunaelekea wapi na ukatili tangu serikali mpaka wananchi?!!
 
Mungu atuepusha na mitihani ya aina hii kama mimi ndo ndugu yangu anafanyiwa haya ningeenda kwetu Pemba tuu natoa uhai na mateso juu mpaka shetani alieshuhudia au binaadamu alieskia na kuhisi angekoma kuzaliwa Shenzii.
ndio kilichobaki. ila sisi huko bara ndio kutwa mauaji. huwezi kuyasikia haya Zanzibar. inabidi watu wa bara tujitathmini. bado tuna unyama mwitu ndani mwetu.
 
Watu wanafanyiziana,wana malizana wenyewe kwa wenyewe
Maana ukiwafatilia hapo,hatujasikia uwizi au hao watu kuchukua kitu chochote

Ova
 
Wagogo tupumzisheni mbona mmechachuka hivi? Hizo nguvu mnazotumia kuuana kikatili mngezitumia kubadilisha jangwa lenu hilo mngekua mbali sana
 
Back
Top Bottom