Dodoma: Mama na mwanaye walawitiwa na kisha kuuliwa na watu wasiyojulikana

Dodoma: Mama na mwanaye walawitiwa na kisha kuuliwa na watu wasiyojulikana

Attachments

Wamelawiti kwanza halafu wakaua,kwanini waliamua kuwalawiti na sio kuwabaka,halafu kwanini baada ya kuwalawiti wakawaua,hapa kuna kitu nyuma ya pazia,hawa sio wahuni tu,kuna kitu nyuma ya hilo tukio,Polisi fuatilieni kwa umakini mtajua tu,hapa kuna kila dalili ya kulipiza kisasi...
 
Dodoma sahv kuna muingiliano wa wageni wengi sana

Ova
Haya mambo yanawezekana huu muingiliano wa watu wa ghafla umesababisha mazito Dom kabla ya serikali kuhamia kina mihanyenye walikua washaridhika na mlenda wao ila baada ya watumishi kuingia na mafedha na ukiangalia jamii nyingi za kina mihanyenye ni duni sana akipata mtu wa kumpa mia mbili mia tatu hadi mumewe anamuona mbuzi maji matokeo yake hayo ,kwa kifupi jamii hiyo haikuandaliwa kupokea muingiliano wa ghafla
 
Maskini wameuliwa kikatili sana. R.I.P
 
Mama na mtoto wake wa kike, wakazi wa mtaa wa Muungano jijini Dodoma, wameuawa baada ya kufanyiwa vitendo vya ukatili na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo Septemba 6, 2024.

Waliouawa ni Mwamvita Mwakibasi (33) na binti yake Salma Ramadhan (13), mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Mkonze, jijini Dodoma.

Dada wa marehemu, Pendo Mwakibasi, ameeleza kuwa alipigiwa simu na mama yao mzazi kutoka Mbeya saa 8:00 usiku wa kuamkia leo, akiambiwa kuwa mdogo wake amevamiwa nyumbani kwake.

Pia soma: Miili ya wanawake wawili yaokotwa Dodoma

Alipofika nyumbani hapo, aliwakuta mdogo wake na mtoto wake wakiwa katika hali mbaya, wakitokwa damu sehemu mbalimbali za miili yao na wakiwa hawawezi kuongea.

Amesema waliwapeleka hospitali, lakini alihisi mdogo wake tayari alikuwa amefariki. Salma aliwekewa oksijeni na dripu, lakini baadaye wote wawili walifariki dunia.
R.I.P , niliuliza hapa shida ni nn?mbona watu wamekua makatili hvi jamani!!
 
R.I.P
Kasi ndogo ya vyombo vya dola kushughulikia au kukaa kimya juu ya utekaji, upotevu au mauaji ya watu, raia nao wamezidi kupata ujasiri wa kuteka, kupoteza, kuumiza au kuua raia wenzao!!
Nadhani raia sasa anapaswa kupata mafunzo maalumu ya kujilinda.
 
Watanzania siku hizi niwanafiki sana... Majirani wameshindwa toa msaada lakini ukiwakuta wanavyo hadithia tukio utachoka...

Siku moja nilikiwa zangu stand ya daladao maeneo ya chanika... Mishale kama ya saa 12 hivi asubuhi... Kule Kuna shida ya sana ya usafiri hasa kwa wanafunzi... Nipo stand gari ikaja mwanafunzi wa kiume akawa anaikimbilia konda alimsukuma vibaya mno... Nusura ateleze aingie uvunguni mwa gari... Maajabu watu wamekausha nadhani walikuwa wanajifanya hayawahusu.... Nilimaindi sana ikabidi nisogee nimuulize konda kwa nini kamsukuma mtoto na je angemuimiza konda anatoa matusi afu watu bado wancheka wanaona kama anafurahisha NILIBADILIKA GHAFLA NIKAMSHIKA YULE MWANAFUNZI MKONO NIKAPANDA NAE KWENYE GARI INGAWA HAIKUWA ROOTI... NIKAJISEMEA HUYU NAENDA NAE HADI MWISHO... NIKAMWAMBIA KONDA UKIONGOEA CHOCHOTE NITAKUTIA MIKONDE HADI USHANGAE... AKANYWEA... GARI IMEEENDA MWISHO WA SIKU AKASHUKIA NJIANI NIKAONA KONDA MWENGINE ANATOKEA NYUMA GARI ANAIUSANYA NAULI.... NIKASEMA BAHATI YAKE... LAKINI YOTE KWA YOTE WATZ WANAFIKI SANA SIKU HIZI

Tuna wajinga wengi mno takribani kila idara
 
Mama na mtoto wake wa kike, wakazi wa mtaa wa Muungano jijini Dodoma, wameuawa baada ya kufanyiwa vitendo vya ukatili na watu wasiojulikana usiku wa kuamkia leo Septemba 6, 2024.

Waliouawa ni Mwamvita Mwakibasi (33) na binti yake Salma Ramadhan (13), mwanafunzi wa darasa la sita katika Shule ya Msingi Mkonze, jijini Dodoma.

Dada wa marehemu, Pendo Mwakibasi, ameeleza kuwa alipigiwa simu na mama yao mzazi kutoka Mbeya saa 8:00 usiku wa kuamkia leo, akiambiwa kuwa mdogo wake amevamiwa nyumbani kwake.

Pia soma: Miili ya wanawake wawili yaokotwa Dodoma

Alipofika nyumbani hapo, aliwakuta mdogo wake na mtoto wake wakiwa katika hali mbaya, wakitokwa damu sehemu mbalimbali za miili yao na wakiwa hawawezi kuongea.

Amesema waliwapeleka hospitali, lakini alihisi mdogo wake tayari alikuwa amefariki. Salma aliwekewa oksijeni na dripu, lakini baadaye wote wawili walifariki dunia.
Hii dunia ni kama imefika mwisho. Matukio mabaya Kila siku hadi inatisha.
 
Hivi vyombo vya plastiki

Kweli ukiona silaha ujue usalama ni mdogo
 
Back
Top Bottom