Dodoma: Mapokezi ya Alhad Musa Salum yazua Taharuki, Waislam Wamwandikia barua Mufti

Mtu yeyote anahaki ya kuomba escort ya polisi ata kuwekewa kingora kama anataka..huonagi team za mpira zinapewaga escort ya polisi kwenda uwanjani..unalipia tu huduma unapata
 
Hakuna Hoja Zaidi Majungu.

Utaratibu Wa Police Unajulikana Ni Huduma Unalipia Unapewa Escort Sasa Maulid. Analeta Uchochezi Kwenye Imani.

Mufti Atoke Hadharani Azungumzie Pikipiki Ama Hiyo Escort.
wanao pigiwa ving,ora nchii wana julikana alahadi kawa nani?nchi hii inavituko sana
 
kwakweli huyu anaviashiria vya ubinafsi ya kutaka kujiona ye ni bora kuliko wengine.Hata mapokezi atakuwa ameyatengeneza hao si wanalipwa tu kumtisha sheikh mkuu ahisi maamuzi yake siyo.
 
Video ipo wapi sasa mkuu. By the way Alhad bado ana makoti mengine ya uongozi au amevua yote?
Alhad TISS. Si mnajua Bakwata Ni CCM (b) na huyu sheikh ndio alikua kiunganishi Cha Bakwata na tiss. Alikua ameandaliwa kua muftih sema tu fitna za hapa na pale.
 
Alhad TISS. Si mnajua Bakwata Ni CCM (b) na huyu sheikh ndio alikua kiunganishi Cha Bakwata na tiss. Alikua ameandaliwa kua muftih sema tu fitna za hapa na pale.
Sio Tiss yule sema anajikomba ni informer tu
 
Hatujawahi kuzusha
 
Duuuuuuh mnataka aishi kinyonge kisa katolewa kwenye nafasi yake? huu nao ni uchawi
 
Atakuwa ameenda Makao makuu ya Chama kumsemelea Dr Mwaka PhD
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…