Dodoma, Mbeya, Mwanza na Tanga sio majiji; zirudishwe kuwa halmashauri au manispaa

Dodoma, Mbeya, Mwanza na Tanga sio majiji; zirudishwe kuwa halmashauri au manispaa

Nyumba zinachungulia kutokea milimani pale mwanza.
Zinachungulia kama hv [emoji116]
JamiiForums1831260420.jpg
JamiiForums-158471847.jpg
JamiiForums1938392144.jpg
JamiiForums-1295655434.jpg
 
Naona umechukua picha za kule arusha umeleta hapa.
[emoji2957][emoji2957][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]eti Arusha... Arusha inapata wap nguvu za kuwa hvyo [emoji16][emoji16][emoji16]
 
[emoji2957][emoji2957][emoji14][emoji14][emoji14][emoji14][emoji12][emoji12][emoji12][emoji12]eti Arusha... Arusha inapata wap nguvu za kuwa hvyo [emoji16][emoji16][emoji16]
Arusha ndio kuna vitu vizuri ukiondoa dar.

images.jpeg
 
Unatetea mkoa wako hamna kitu nyie mwanza mandhari iko poa sana !!iko fully kama mji ulio kamili
Watu hua hawajui Miki mikubwa na iliyo mwambao wa maji inakuaje, kama ni mji mdogo sawa lakini MWANZA inayozidi ukubwa wa mji na population ya watu baada ya Dar es Salaam mtu eti anaibeza
 
Watu hua hawajui Miki mikubwa na iliyo mwambao wa maji inakuaje, kama ni mji mdogo sawa lakini MWANZA inayozidi ukubwa wa mji na population ya watu baada ya Dar es Salaam mtu eti anaibeza
Ni haters tu.hawanaa maana
 
Back
Top Bottom