Mumeo anabaka na kulawiti watoto wenu? Ajabu sana, bado mnaishi pamoja hadi sasa?Asilaumiwe mwanamke anayeacha mtoto wa miaka sita na bodaboda? Hasa kipindi hiki ambacho hata wababa wanabaka watoto wao? Unatetea nini mkuu?
Maneno yako yanagusa mpaka moyoni,ukweli unao umaMwangalizi mkuu wa familia ni mama. Mama akiwa smart hata libaba liwe takataka familia mambo yataenda bila tatizo. Ila mama asipokuwa smart kuchukua nafasi yake sawasawa naye akaanza kuendekeza starehe na upuuzi mwingi hiyo familia haitoboi.
Mama mwenye akili unamkabidhije mwanao mdogo asiyejua hili wala lile kwa bodaboda ili wewe ukastarehe?
Halafu habari yenyewe inaning'inia na kuacha maswali mengi kwa hadhira."Single maza" nchi za watu wanawabana wanaume kutozaa ovyo sababu watawajibika katika malezi hapa naona mada imegeukia kuwa attack Single mother. Kuleta kiumbe duniani ni jukumu la wote wanaoshiriki to look after the baby sasa sijui wale ambao mmewafanya hawa single mother kama kituko ni uelewa mdogo au ni ushamba. Hili jukwaa nadhani lipo kwa ajili ya kupashana habari na kujifunza if you want it na lina ke/me. Humu kuna single mother and father so sioni kwa nini single mother wanakuwa attacked kila wakati.
Mumeo anabaka na kulawiti watoto wenu? Ajabu sana, bado mnaishi pamoja hadi sasa?
Upo umuhimu wa hizi sheria tulizoiga kwa weupe kubadilishwa,mwanamke kumlea mtoto akiwa peke yake hawezi watoto huwa wanageuka rubbish hawajui hata dunia inavyoenda.wako mnaenda kushenyetana...
Na ajabu mama mtoto hatakuwa na kesi ya kujibu ustawi wa jamii wala popote pale...
Lakini ingelikuwa ni shauri la baba au ndugu wa baba kumtaka mtoto, utetezi ungekuwa yungali chini ya 12 years of age hivyo bado anapaswa awe chini ya mama...
Jimbi umesoma ukaelewa alichoandika uliyem-quote?Mumeo anabaka na kulawiti watoto wenu? Ajabu sana, bado mnaishi pamoja hadi sasa?
Uko sahihiMama mtoto mwenye akili ndogo kapata anachostahili...
Mtoto wa miaka 6 unamuacha chini ya uangalizi wa bodaboda wakati huo wewe na mpenzi wako mnaenda kushenyetana...
Na ajabu mama mtoto hatakuwa na kesi ya kujibu ustawi wa jamii wala popote pale...
Lakini ingelikuwa ni shauri la baba au ndugu wa baba kumtaka mtoto, utetezi ungekuwa yungali chini ya 12 years of age hivyo bado anapaswa awe chini ya mama...
Hata Shetani hawezi kufanya kitu kama hicho !Daah! Mtoto wa miaka 6 unamuua kikatili namna hii. Kuna watu wana roho za ki shetani kabisa