bandeko andeko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2021
- 1,080
- 2,143
nimesema kuna tetesi...Aisee.
Mtoto anaitwa Greyson Kanyenye Mabuya na huyo mchizi anajiita Godlove.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
nimesema kuna tetesi...Aisee.
Mtoto anaitwa Greyson Kanyenye Mabuya na huyo mchizi anajiita Godlove.
Tetesi itoke wapi wakati huyo Chief Godlove kasema alikuwa Baba yake wa Hiari,l.nimesema kuna tetesi...
Pole sana asee.Unamuachia boda mtoto wako wanaume wenyewe wafiraji kweli???? Unaaminije mtu kumuachia mtoto mdogo hata kama angekuwa na miaka 18 huwezi muacha na mwanaume ndani
Sasa km unajua chanzo si ukaisaidie polisi mkuu.Unaamini vipi kuwa aliachiwa bodaboda! Iyo boda anafanya kazi usiku wote! Uyo mama Na mwenzawake wanajambo la kueleza.
Mi sio boda tu hata kama ni ndugu ambae ni askofu siamini mtu kijinga juu ya mtoto wanguUnamuachia boda mtoto wako wanaume wenyewe wafiraji kweli???? Unaaminije mtu kumuachia mtoto mdogo hata kama angekuwa na miaka 18 huwezi muacha na mwanaume ndani
Hata baadhi ya Dada wa kazi walishaua watoto wa waajiri wao.Mwanamke Unaacha mtoto wako kwa mtu kama hivi na unaenda ku enjoy kabisa😭😭😭
Tetesi itoke wapi wakati huyo Chief Godlove kasema alikuwa Baba yake wa Hiari,l.
View: https://vm.tiktok.com/ZMkk1NtWj/
I.Q yako ndogo sana!hakuna ligi mzee kama uko sahihi sawa hatushindani, nimesema tetesi kama umeweka taarifa yenye ukweli hatushindani, suala la msingi ni kifo cha mtoto.
Baba wa kumzaa huyo mtoto amekufa au hajulikani??Daah pole sana kwa baba mtoto. Mama mtoto kicha nazi kabisa halafu inawezekana hito ndio tabia yake huyo mama. Baadae mtoto akikua unakuja kusikia keshaharibiwa kitambo kwa sababu alikua analala na bodaboda kipindi hicho.
Haya mambo lazima yanaanzia mbali sana. Huyo jamaa naye kuna namna hayuko sawa
Ajali kazini.Familia za kimalaymalay tu
Shnz typ
Ova
Baba huwa hazai, acha ushoga wewe chawa.Baba wa kumzaa huyo mtoto alikuwa wapi?
Ajali kazini.
Tusimlaumu mama wa mtoto, wa kulaumiwa ni huyo mwanaume aliyekuwa naye.
Naamini Polisi watafanya uchunguzi na kutoa taarifa kwa Watanzania