Dodoma: Mtoto wa miaka 6 auawa kikatili na watu wasiojulikana

Dodoma: Mtoto wa miaka 6 auawa kikatili na watu wasiojulikana

Nimemuona mama wa huyu mtoto, bado ni mschana mdogo ingawa ni mfanyabiashara tayari.

Ushauri wangu kwa wasichana, kama bado hujaamua kuwa mama, tumia uzazi wa mpango. Kuwa mama maana yake ku sacrifice starehe na kulea watoto. Kama mama zetu Wangeendekeza starehe tusingekuwa hapa leo. Rip mtoto mzuri 🙏
 
Mtoto wa mfanyabiashara maarufu jijini Dodoma anayejulikana kwa jina la Jojo, Graison Kanyenye (6), anadaiwa kuuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani wakati mama yake akiwa matembezini usiku wa kuamkia jana.
View attachment 3185386
Mbali na hilo, Jeshi la Polisi limesema mwili wa mtoto huyo ulikutwa ndani ya nyumba ukiwa na majeraha shingoni.

Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amesema jana, Desemba 25, 2024 kuwa tukio litokea saa 1.00 asubuhi katika Mtaa wa Bwawani, Ilazo Extension jijini Dodoma, nyumbani kwa Ofisa Uvuvi wa Mtera, Hamis Mohamed.

Amesema Hamis (anatajwa kuwa mpenzi wa mfanyabiashara huyo) na mama yake walitoka kwenda matembezini na kumwacha mtoto huyo chini ya usimamizi wa dereva bodaboda wa Ilazo Extension, Kelvin Gilbert.

Bodaboda huyo anayetajwa kuwa walimfahamu kupitia huduma ya usafiri wanayoitoa kwa familia, aliachiwa mtoto ili amwangalie kipindi ambacho watakuwa kwenye matembezi wawili hao (Hamis na mfanyabiashara huyo).
View attachment 3185379
Dah huyo dogo naye alikuwa akipinga Serikali mtandaoni?
 
Mwanamke km hauko tayari kulea ni bora usizae......siyo kila mtu ni lazma aitwe mama jmn.

Kumuacha mtoto na mtu baki usiku kucha !!! inashangaza sana....kuna hisia na wasiwasi mama huwa nazo juu ya mwanae pale hatari inapoweza kutokea...sasa huyu vipi??

Inamana hakuhis kumuacha mtoto na huyo boda siyo salama tu?
 
Back
Top Bottom