Yoda
JF-Expert Member
- Jul 22, 2018
- 48,475
- 70,102
Baba gani wa maana anamuacha mtoto wake mdogo kwa mwanamke asiyefaa? Hiyo inasema nini kuhusu huyo baba?Probably Ali ondoka kwenye ndoa Sababu ya huyo huyo mwanamke na akanyimwa mtoto!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baba gani wa maana anamuacha mtoto wake mdogo kwa mwanamke asiyefaa? Hiyo inasema nini kuhusu huyo baba?Probably Ali ondoka kwenye ndoa Sababu ya huyo huyo mwanamke na akanyimwa mtoto!
Kwa nini alimleta??Mungu kaamua kuchukua malaika wake mapema kabla dunia haijawa mbaya na katili zaidi juu yake
Ubinafsi ni kitu kibaya sanaMalezi ya watoto siku hizi watu wameyarahisisha?!!!
Unaachia mtoto bodaboda?? 😳
Bodaboda hawa hawa wanaovuta bhangi na kunywa k-vant??
Baba hajatajwa kuwepo na hiyo familia wakati huo, yeye hahusikiVipi kuhusu baba yake huyo mtoto mkuu?
Wana laana ni vile hawajitambui tu!Single maza
kwa haraka haraka unaweza ukahisi kama kuna kisa cha partenity fraudDaah! Mtoto wa miaka 6 unamuua kikatili namna hii. Kuna watu wana roho za ki shetani kabisa
Kuna kitu hapa sio bure.. Either wivu wa mapenzi ama ushirikinakwa haraka haraka unaweza ukahisi kama kuna kisa cha partenity fraud
Baba gani wa maana anamuacha mtoto wake mdogo kwa mwanamke asiyefaa? Hiyo inasema nini kuhusu huyo baba?
Dah huyo dogo naye alikuwa akipinga Serikali mtandaoni?Mtoto wa mfanyabiashara maarufu jijini Dodoma anayejulikana kwa jina la Jojo, Graison Kanyenye (6), anadaiwa kuuawa kwa kupigwa na kitu kizito kichwani wakati mama yake akiwa matembezini usiku wa kuamkia jana.
View attachment 3185386
Mbali na hilo, Jeshi la Polisi limesema mwili wa mtoto huyo ulikutwa ndani ya nyumba ukiwa na majeraha shingoni.
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma, George Katabazi amesema jana, Desemba 25, 2024 kuwa tukio litokea saa 1.00 asubuhi katika Mtaa wa Bwawani, Ilazo Extension jijini Dodoma, nyumbani kwa Ofisa Uvuvi wa Mtera, Hamis Mohamed.
Amesema Hamis (anatajwa kuwa mpenzi wa mfanyabiashara huyo) na mama yake walitoka kwenda matembezini na kumwacha mtoto huyo chini ya usimamizi wa dereva bodaboda wa Ilazo Extension, Kelvin Gilbert.
Bodaboda huyo anayetajwa kuwa walimfahamu kupitia huduma ya usafiri wanayoitoa kwa familia, aliachiwa mtoto ili amwangalie kipindi ambacho watakuwa kwenye matembezi wawili hao (Hamis na mfanyabiashara huyo).
View attachment 3185379
Ustawi wa jamii na mahakama huwa wanampa mtoto mzazi anayeweza kumtunza. Baba wa mtoto alifanya jitihada gani kupewa mtoto kisheria aishi naye yeye??Ni kwamba tu haujielewi, kwamba utampiga au utaiba mtoto au utafanyaje? Ulimwengu mzima unampa mwanamke power over Men!
Ustawi wa jamii na mahakama huwa wanampa mtoto mzazi anayeweza kumtunza. Baba wa mtoto alifanya jitihada gani kupewa mtoto kisheria aishi naye yeye??